Kwanini viumbe vingi vina macho?

Ukitaka kujua umarekani umekuingia angalio mwitikio wako kwa huyo nyani. Kama wazo la mwanza lilikuwa "how cute" basi umeshauvaa umarekani. Kama ulisema "wazungu bana" basi umarekani umekataa kukuingia.

hahahahahahha......mkuu hapa umenifurahisha sana! waafrika mbona kazi tunayo!
 
This thread has been beshited.

Mkuu Megaman fuatilia hizi threads; is there life.... na proof of God... utaona kwamba thread ikifika baada ya page chache huwa inabadilika na kuwa muendelezo wa hii thred ambayo iko jukwaa la dini. Kwa hiyo kuwa muangalifu inabidi uwe adapted kwani H1N1, Kosher, Companero (na iron lady? ) ni kama hawaoni tofauti ya hizo threads. Ni kama umepanda basi la Tegeta-MbagalaR3 halafu kuna mtu anakuhubiria njia zima kwa sauti ya juu Neno la Bwana bila kujali kama upo tayari au unataka kusikiliza na kusababisha kero kwa baadhi ya abiria.
 
Mkuu Megaman fuatilia hizi threads; is there life.... na proof of God... utaona kwamba thread ikifika baada ya page chache huwa inabadilika na kuwa muendelezo wa hii thred ambayo iko jukwaa la dini. Kwa hiyo kuwa muangalifu inabidi uwe adapted kwani H1N1, Kosher, Companero (na iron lady? ) ni kama hawaoni tofauti ya hizo threads. Ni kama umepanda basi la Tegeta-MbagalaR3 halafu kuna mtu anakuhubiria njia zima kwa sauti ya juu Neno la Bwana bila kujali kama upo tayari au unataka kusikiliza na kusababisha kero kwa baadhi ya abiria.

Acha majungu, jicho ni moja ya kielelezo kikuu cha 'irreducible complexity':

Darwinism Refuted.com

The human eye is a very complicated system consisting of the delicate conjunction of some 40 separate components. Let us consider just one of these components: for example, the lens. We do not usually realize it, but the thing that enables us to see things clearly is the constant automatic focusing of the lens. If you wish, you can carry out a small experiment on this subject: Hold your index finger up in the air. Then look at the tip of your finger, then at the wall behind it. Every time you look from your finger to the wall you will feel an adjustment.This adjustment is made by small muscles around the lens. Every time we look at something, these muscles go into action and enable us to see what we are looking at clearly by changing the thickness of the lens and turning it at the right angle to the light. The lens carries out this adjustment every second of our lives, and makes no mistakes. Photographers make the same adjustments in their cameras by hand, and sometimes have to struggle for quite some time to get the right focus. Within the last 10 to 15 years, modern technology has produced cameras which focus automatically, but no camera can focus as quickly and as well as the eye.For an eye to be able to see, the 40 or so basic components which make it up need to be present at the same time and work together perfectly. The lens is only one of these. If all the other components, such as the cornea, iris, pupil, retina, and eye muscles, are all present and functioning properly, but just the eyelid is missing, then the eye will shortly incur serious damage and cease to carry out its function. In the same way, if all the subsystems exist but tear production ceases, then the eye will dry up and go blind within a few hours.The theory of evolution's claim of "reducibility" loses all meaning in the face of the complicated structure of the eye. The reason is that, in order for the eye to function, all its parts need to be present at the same time. It is impossible, of course, for the mechanisms of natural selection and mutation to give rise to the eye's dozens of different subsystems when they can confer no advantage right up until the last stage. Professor Ali Demirsoy accepts the truth of this in these words:

It is rather hard to reply to a third objection. How was it possible for a complicated organ to come about suddenly even though it brought benefits with it? For instance, how did the lens, retina, optic nerve, and all the other parts in vertebrates that play a role in seeing suddenly come about? Because natural selection cannot choose separately between the visual nerve and the retina. The emergence of the lens has no meaning in the absence of a retina. The simultaneous development of all the structures for sight is unavoidable. Since parts that develop separately cannot be used, they will both be meaningless, and also perhaps disappear with time. At the same time, their development all together requires the coming together of unimaginably small probabilities.350

What Professor Demirsoy really means by "unimaginably small probabilities" is basically an "impossibility." It is clearly an impossibility for the eye to be the product of chance. Darwin also had a great difficulty in the face of this, and in a letter he even admitted, "I remember well the time when the thought of the eye made me cold all over."351
278.jpg

The human eye works by some 40 different parts functioning together. If just one of these is not present, the eye will serve no purpose. Each of these 40 parts has its own individual complex structure. For instance, the retina, at the back of the eye, is made up of 11 strata (above right), each of which has a different function. The theory of evolution is unable to account for the development of such a complex organ.

In The Origin of Species, Darwin experienced a serious difficulty in the face of the eye's complex design. The only solution he found was in pointing to the simpler eye structure found in some creatures as the origin of the more complex eyes found in others. He hypothesized that more complex eyes evolved from simpler ones. However, this claim does not reflect the truth. Paleontology shows that living things emerged in the world with their exceedingly complex structures already intact. The oldest known system of sight is the trilobite eye. This 530-million-year-old compound eye structure, which we touched on in an earlier chapter, is an "optical marvel" which worked with a double lens system. This fact totally invalidates Darwin's assumption that complex eyes evolved from "primitive" eyes.
 
Mungu yupi huyu unayezungumzia kumhusu? There are thousands of existing gods, the Judeo-christian or Islamic (Abrahamic) is just one of these, I'm very interested to know how you came to the conclusion that it was specifically the one who you follow that created the universe ............ or light in this case.

 
Last edited by a moderator:
Mkuu Megaman fuatilia hizi threads; is there life.... na proof of God... utaona kwamba thread ikifika baada ya page chache huwa inabadilika na kuwa muendelezo wa hii thred ambayo iko jukwaa la dini. Kwa hiyo kuwa muangalifu inabidi uwe adapted kwani H1N1, Kosher, Companero (na iron lady? ) ni kama hawaoni tofauti ya hizo threads. Ni kama umepanda basi la Tegeta-MbagalaR3 halafu kuna mtu anakuhubiria njia zima kwa sauti ya juu Neno la Bwana bila kujali kama upo tayari au unataka kusikiliza na kusababisha kero kwa baadhi ya abiria.

Companero haambiliki kama mzee kifimbo.
 
Mose ananiandikia na kusema:

Pendo lililobarikiwa MM,

Natambua ni usadikifu wa wengi kuwa kuna Mungu japo uwengi wao haufanyi hilo kuwa ni hivyo hasa...

Nimezipenda mno hizo picha ulizochagua na kuambatanishia swali--kama kawaida, zimeikiwa kwenye kasha langu la picha mbalimbali... Kwangu huwa zinaamsha mambo mengine hata ya mbali na sayari ya dunia; japo nikikaza mawazo yangu kwa mambo ya hapa kwenye dunia yetu ninafurahia sana uzuri na urembo ajabu wa viumbe anuai katika sayari moja...

Mwanzo na mfanyiko wa viumbe vyote ni utukufu na sifa ya ua ndani ya ua... Ninazungumza kiushairi lakini kiufundi ukweli wa mambo ndivyo ulivyo; katika ulimwengu wote mzima na katika sura ya yaliyodhahiri na yasiyodhahiri, uzuri na urembo ni ishara ya uakili usiokifani na ishara ya nekta, mguso laini na hata manukato ya uhalisia unafutika mwingine--na yote kuwa basi mfano moja kuwa ndani ya mwenzake pasipo nukta ya kiini wala mzingo wa mapana... Ulimwengu uliodhahiri hauna mwanzo wala mwisho, na kama ilivyo ndani ndivyo ilivyo nje. Ilivyochini ndivyo ilivyo juu...

Viumbe hai vyote hufanyika kuwa na halafu humong'onyoka kwa kanuni zenye kufuatisha sifa ya utukufu wa hata kile tusichokiona kwa macho... Hicho chaweza kuwa ni 'Yabisi' kabisa katika ulimwengu wa namna yake lakini usioingiliana na miguso ya fahamu zetu za kawaida. Basi japo wengi katika hali ya kawaida hupenda kutazama sura ya mambo kwa kule kusema kitu 'kiliumbwa'--katika huu ulimwengu hakuna kitu kama kuumbwa hasa... Kuna 'uumbajikaji'--na huu upo wakati wote; daima umekuwa--milele unakuwa. Kila kifanyikacho kuwa dhahiri kwa muktadha, hali na picha fulani kwa namna ingine chaweza kuwa ni sehemu ya sifa yenye mapana marefu kuliko tuwezavyokumaizi kwa wakati. Ni kwa jinsi hii kidogo tu, watu wa visomo vya historia vya viumbe na masalia huleta zile nosha za ukuwakujia--evolution. hawa hupatia patia ukweli wa mambo wanavyozungumzia nasibu ya viumbe kubadilika katika vipindi virefu vya nyakati ili kupatia sura iliyobora kwa uzima na ustawi wa kiumbe lakini mengi wanayozungumza mpaka sasa ni nusu ya simulizi kwa kuwa nusu yake haijapata kusimuliwa...

Ulimwengu wote ni maua, haya huja kwa kanuni za uzima, kheri na utangamano uliofichika wa maumbo na uweza wa nguvu usiokoma nguvu. Nifupishe simulizi la kutanua mashauri ya msuko wa miili hai na ile isiyo hai ndani na muktadha usioonekana wa uhai kwa kudodosea jambo... Kadiri ya kufanyika kwa yote ni fumbo na hapo hapo ufunguo kwa siri za uzima. Wewe umevutiwa na macho, basi nitakuambia jambo... Macho mawili ya viumbe hufanyika hivi kwa kuwa kila mwili wa kiumbe ufanyikao kwa mapana ya sehemu ya 'uyabisi' usiodhahirika wa ua letu la uzima na tena wenye kutia uzima na maana ya maumbo na mienendo ya uzima huhifadhi neno kwa simetria ya unusu na unusu wa jinsi ya kiume na kike katika kila mwili wenye kuhaika... Lakini unusu huu pia hufungamana na siri za (1)damu za hisia ilivyo ni muktadha tiririvu na (2)miundo tuli ilivyo ni sura ya usimamivu na uyabisi wa maumbo hata yale yenye uhai.

Kuna siri katika hisia kwa maana ya kile ambacho mashauri ya kiingereza hutajwa ni 'Emotions' na ni dhumuni kuja kutafutia neno muafaka kwa hisia kwa muktadha kama hatua maandalizi ya kisomo rasmi cha ufunuo wa siri za maumbo yenye kunyambulika kiuhai. Hisia kwa namna ya neno hili 'emotions' ni kipitisho cha usumaku wa maumbo hata kwa mapana ya kweli tusizozielewa vizuri kwa sayansi yetu ya leo... Azma yangu sehemu ya kweli hizi tutazichimbua na zitatuleta uwezo hata wa ajabu katika ujuzi na maarifa juu ya siri za viumbe hai na uzima uliohifadhika--hii pia itakuwa ni kufunguo kwa tiba na uponyaji... Macho yanahusiana sana na akili, utambuzi na kujitambua kukidhi sifa maalum za kiumbe chenye hayo; tofauti ya kiumbe chenye macho na kile kisicho na macho ni kuwa mapana ya jaala ya kiumbe hata katika sura pana ya ukuwakujia yatakidhi sifa na hadhi tofauti katika ustawi wa kimazingira na kujitosheleza. Katika mapana ya hata mfumo wetu mkusanyiko wa majua--katika mpangilio wa falaki; nasibu ya viumbe hai vingi vinakadirisha hadhi ya fahamu tano za kimsingi--na ndivyo achitipu, kudra na hadhi za kiakili huchachuka katika kunasibu uzuri wa maumbo ya uzima kwa kujitahidi kutangamana na mawimbi ya hisia na kheri ya maumbo mapana zaidi ya falaki zilizodhahiri na kusema basi katika muktadha usiodhahiri wa ulimwengu tuutambuao...

Kadri unawezavyo kutambua siri za majimaji ya uzima wote umejua 1/3 ya mpango mzima... Ulimwengu kwa sifa na utukufu kamili ni 3/3 kote na mote.

Katika umajimaji huu vyote vyafanyika na milele yote... Usipotoke kamwe na vina vya tafsiri kwa udhanifu na nosha za mafikara ya kuendesha fikra ulizozizoea kwa mapelekeo ya uwezo na mazoea yake. Kuna upande mwingine wa mambo utaokubidi wewe kurudi kuwa kama mtoto mdogo na kukana unachofikiri unajua... Naam hata mafikara, usadikifu na imani isiyochujwa ili kuwa safi kuelekea kwenye hakika na kweli ya yote. Kwa kuwa kabla ya hapo, maombi yote kwa miujiza ya maisha ni kimvuli cha ujinga, laana ya tabu na kifungo cha hiyari katika uwanda wa kiza.

Kuelekea miujiza kamili na kuachana na jicho la mwili lenye kutenda kwa mafikara ya makusudio ya miili kwa neema isiyobayana kwake. Kufanya macho mawili kuwa moja kunaweza kukuingiza katika utambuzi wa kweli kuu kupita tafsiri za uzima wa maumbo kwa jinsi na kadri udhaniavyo... Kuyashinda macho ya mwili hadi kuelekea moja unakuwa katika 2/3 ya mpango mzima...

Itoshe kwa leo
 
Ni Kweli kua viubme hutofautiana ila pia twahitaji connection kati ya jicho na ubongo kwa ku-process hiyo information. The shorter that connection the better.
Nakubaliana sana na wewe mkuu. Kwa mfano kwenye sound system kadiri waya wa kutoka kwenye amplifire kwenda kwenye speaker unavyokuwa mrefu ndivyo na sauti inavyochelewa kufika. hebu fikiria kama ubongo ungekuwa miguuni na macho kichwani ingekuwa ukimuita mtu anaitika utadhani unavyoongea kwa simu na mtu aliyeko marekani lazima usubiri sekunde mbili ndio aitike.
 
How does evolution reason that way...? Halafu kila kiumbe kina physiological make up yake ya kutengeneza macho, chemicals zake za kwenye brain (sijui kama Crabs na wenyewe wana seratonin na dopamine na vinginevyo).

Mwanakijiji unataka kuharibu uondo, acha tuendelee kuufirikia uumbaji achana na mambo a evolution
 
Macho ni kitu muhimu sana katika maisha ya viumbe hai, idadi ya macho na mahali yalipo ukubwa ama udogo wa macho hayo yaweza kuwa imepaswa kuwa hivyo ama wameumwa hivyo kutokana na mahali waishipo viumbe hai hao, na wengine hawana macho kwa sababu mazingira waishio viumbe hao wangeharibu macho hayo na ndio maana wakapewa vitu vingine viwasaiidiavyo kujikinga na hatari mbalimbali.

wanasayansi kama huyo darwin wamejaribu sana kusoma viumbe hai na tabia zao lakini hadi mwisho walikiri kuwa it was not by chance that living organism are the way they are. hata ukitazama jamii moja ya viumbe utakuta kuna utofauti mkubwa sana baina yao kitabia na wakati mwingine wanafanana baadhi ya vitu na kutofautiana kabisa katika vitu fulani fulani. ukija kwa kiumbe binadamu ndio kabisa kila leo wanasayansi wanakuja na kipya na kuweka pembeni theories za zamani.
sitaki kusema kuwa kila tushindwapo majibu tunakimbilia uumbaji, ila nataka kusema kwa hizi facts za viumbe hai na tabia zao, then there is a hand of the most intelligent designer.
 
Kuna mambo mengine hakika hatuna majibu yake au wenye imani husema bado hawajafunuliwa na Mungu.

Cha ajabu zaidi ni kwamba size ya jicho huendelea kubaki ile ile toka kuzaliwa wakati viungo vingine kama masikio na pua vyenyewe vinaongezeka na umri (hadi kufikia umri fulani)! Je na hii ni kwa nini?
 
Macho ni jina tu.... ila hakuna kiumbo asiyekua na macho. ..

Ni sawa na mikono ya mmbwa we unaita miguu....

Macho ya viumbe wengine ni papasi....

Wengine macho yao ni ubongo.

Na kuna wanaotumia jicho la dharura (watangazaji wa clouds na eatv haswa fashion show)
 
Viumbe wote wenye macho wanatembea! Na wale wasio na macho hawatembei/hapa namaanisha aina zote za mjongeo wa miili yao kutoka sehem moja kwenda nyingine!
 
Back
Top Bottom