Bangi na gongo zinawafanya wawe wazalendo, shime shime serikali tuhalalishie matumizi ya gongo na bangi.
Tuna stress za waume zetu, stress za mafisadi na stress za chama tawala
Mwl Nyerere vs - Mwinyi/Mkapa/Kikwete
J. Warioba vs Msuya/Lowasa/
Prof. Sospeter (Nishati na madini) vs Karamagi/Ngereja
Maswi Katibu (Nishati na Madini) vs Jairo etc
the list goes on
vp jaji mkuu fredrick werema ana uadilifu gani nipe japo moja!
hata Nimrod Mkono ni mwadilifu au huyu sio kutoka Mara?
unamjua Nimrod Mkono au umamsikia na kumsifia wewe subiri sakata la Tanesco lifumuke vizuri ndani ya wiki hili utamjua alivyokuwa wakili wa kuitetea mafisadi atakapokuwemo kwenye list ya mabilioni 93 ya kuwalipa Dowanshata Nimrod Mkono ni mwadilifu au huyu sio kutoka Mara?
Mbona hujamtaja Edward moringe sokoine,think big acha ubaguzi wa kishamba .
Wassira vipi?