Wengi ni vilaza. Prof anayeweza kujibu hoja yuko mamtoni anakula bataNimeona jinsi julius mtatiro akiwasilisha mada hapo hapo anatimua mbio hangoji kujibu hoja na mambo ambayo wanajf wanakuwa na shaka nayo
Hapakuwa na hoja ya msingi ya kujibu, bali matusi na kejeli za viwavi vya kanisani hivi vya chadema!
Wengi ni vilaza. Prof anayeweza kujibu hoja yuko mamtoni anakula bata
Nimeona jinsi julius mtatiro akiwasilisha mada hapo hapo anatimua mbio hangoji kujibu hoja na mambo ambayo wanajf wanakuwa na shaka nayo
kwa kuwa jf sio mahali pa kujibia masuala yanayokihusu chama chao
Kumbe tatizo ni hilo !,chama chenye waislamu wengi lazima kisambaratishwe lakini vyenye wakristo kama Chadema ni sawa!.Mtatiro amesilimishwa kisirisiri?