KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Hili tunaambiwa lilitishiwa kufanywa na JK kama asingepitishwa na CCM kugombea urais 2005, likaja kurudiwa tena na samuel sitta baada ya kukabiliwa na kitisho cha kung'olewa kwenye uspika kabla ya 2010 na sasa inaelezwa Lowassa pia anatumia kitisho hicho hicho.
Pia baadhi ya viongozi wa UVCCM nao wameungana na wakubwa zao hao kutishia hilo! Je CHADEMA ndio kichaka cha kujifichia watu wa CCM??
Kama sio, je kuna siri gani kati ya vyama hivi viwili ambayo wananchi tunafichwa tusiijue?
Pia baadhi ya viongozi wa UVCCM nao wameungana na wakubwa zao hao kutishia hilo! Je CHADEMA ndio kichaka cha kujifichia watu wa CCM??
Kama sio, je kuna siri gani kati ya vyama hivi viwili ambayo wananchi tunafichwa tusiijue?