Kwanini vijana wa siku hizi wanapenda mahusiano na watu waliowazidi sana Umri?

vijana wenyewe ndie nyie mumeishiwa nguvu, misumari legelege pumzi zero usharobaro tu ila game wanaremba badala ya kukanda kisawasawa.
Vijana ndio wanaopenda majimama ili walelewe hasa kiuchumi

waambie ao..wajaze wajaeeee...eti vjana wanajua shughuli ...shuguli zenyewe ndo izo kwa MSAADA WA KONJYAGI.VALUU?
ahh wap..wanapenda mijimama cz ntoke vip..mama anaprovide kilakitu nakaka zetu wa siku izi wnavyopenda maisha juu wakat uwezo hawana mwishowe ndo huo unaangukia mgongo ka jimama ....

na jimama pia shda yake ni kuwa na MFANYAKAZI WA MAPENZ..ambaye hatamsumbua kwa lolote wala kumpelekesha kwa chochote mama anafanya analotaka kijana kaz yake ni dudu tu na si kummiliki mama...na kijana ulimi anafyata no kauli no sentensi...
 
vijana
Kupenda
Hela
Asiyoitolea
Jasho.

Hiyo HAPO juu ndo main reason,nani anayependa kutembea na mtu wa umri wa mama ake?

Mimi binafsi na MPZ ambae kanipga gepu la umri,but hana hela,ni mwalimu wa shule ya msingi,na mimi ni mwanachuo.
Kwa mimi ni real lov cjui kwa wengine.
 
<br />
<br />
sasa kwa nini wasiufanye umaridadi huo na vijana wenzio? Huko kwa mamazao kuna nini?


apochachaaaaa!!!!!!!!!!

wanapenda vya dezo wakaka wa siku izi
wanataka wakimaliza tu chuo awe na gar fasta ,mavaz poa,awe anakula bata daily ,apange apartment...sasa gharama izi ataziweza kweli?
matokeo yake wakikutana na mikurumbembe uko basi atajichekesha mpk mmmama ataingia line ili ahudumiwe

kuna mtaa mmoja apa mjin ukienda atakuta kuna wakaka wenyewe fulll mapouda ....yaan km mastrpa vile kaz zao ni kujitongozesha kwa wadada/wamama wenye pesa..wao wapo kikaz zaid...
na hii yote utokana na ;


1.maadili kupungua
2.watu kutojali utu..wanajali zaidi pesa na starehe zao
3.malez mabaya ya watoto
4 utandawaz ..ahhh wanaona poa tu mbona ughaibun wanafanya...movies izi znadanganya pia
5.family problems
6.kuvunjika kwa ndoa ..so kila mtu anatafuta kiburudisho chake matokeo yake unaopt uburudishwe na kijana wa 25yrs wakat mam ana 53yrs
7.tamaa ya kuwa na maisha mazuri
8.wengine wanapenda tu vjana kwa madai ya damu changa kaz wanaiweza (kitu ambacho nakipinga mpk kaburin cz kuna vjana wadogo tu 25-30 may b lakin shughuli yao mbooovu awana tofaut na wababu wenye kisukari...)

NAENDA KUPASHA KIPORO ..wali naz kisamvu naz na maharage km vp karibuni .....mnaogopa kuota vtamb...?aya bana byee
 
Mpenzi ni tofauti,hapa wanaongelea mijimama mijitu mizima,utakuta sura zimekomaa kwa mkorogo yupo bize na kijana kama mwanae hivi
vijana<br />
Kupenda<br />
Hela<br />
Asiyoitolea<br />
Jasho.<br />
<br />
Hiyo HAPO juu ndo main reason,nani anayependa kutembea na mtu wa umri wa mama ake?<br />
<br />
Mimi binafsi na MPZ ambae kanipga gepu la umri,but hana hela,ni mwalimu wa shule ya msingi,na mimi ni mwanachuo.<br />
Kwa mimi ni real lov cjui kwa wengine.
<br />
<br />
 
wanawake wengi ssa hivi kiuchumi wapo juu hivyo kusababisha kuweza kuishi maisha ya kujitegemea na kuwa na uhuru wa kujichagulia maisha ya kuishi anavyotaka. kutokana na uwezo na uhuru walionao basi na wao km binadamu wanataka watulizwe ashki zao kisawasawa na si kuguswa guswa tuuu. hapo ndipo vijana huonekana wenye mvuto zaidi kwa kazi hiyo. kuna jamaa yangu tunapiga nae mzigo alikuwa anakaa na mtoto wa dada yake sinza mwaka 2007, dogo ndo alikuwa frm five aisee kuna jimama lilikuwa linamtongoza zawadi kila kukicha, asubuhi jimama kabla ya kwenda kazini lzm limpitie na kumpeleka dogo shule. yaani ilianza km msaada tuu dogo hakujua lolote yule maza anampeleka shule. jmosi anamwomba amsindikize shoping town dogo akirudi huko kapigwa pamba kibao na alfu hamsini pocket money. dogo hakushtukia lolote na jimama lilikuwa very careful. kuna siku likampeleka girrafe hotel kumbe maza kisha book room. likamdanganya dogo kuna mtu wanaenda kumwona njiani dogo akapewa wine aonje si akafakamia ikampanda kichwani, alipofika girrafe maza akaanza kumla denda jamaa hee dogo ikabidi ale mzigo toka hapo jamaa aikuwa analelewa km mume kabisa. mama anahamia hotel wiki mbili na dogo wanalala na kuamka. sijui hata waliishiaje, lkn uwezo walionao wanawake na uhuru uliopo sasa hivi kwao vinachangia sana hii tabia
 
Aslaam alekhum wana Jf.Wengine tumsifu yesu kristo/bwana asifiwe. Miaka 6 iliyopita nilikuwa nikiishi ugaibuni kula London, nikiwa kule nilibahatika kwenda safari za Netherland na Ubeligiji.sehemu zote hizo nimeshudia wimbi la vijana wakioa mama watu wazima bila aibu,binafsi ilipa taabu sana kichwani mwangu. Lakini sasa nimerudi hapa kwetu bongo nimekuta mtindo huu umeshamiri japo kwa style nyingine ambabo ni vijana wengi wanawekwa ndani kama wafanya kazi kumbe ndo viburudisho na wengine wanasaliti ndoa zao kwa kuzama kwenye mahaba ya watu wazima.Je, sasa nauliza sababu hasa ni nini? kuporomoka kwa maadili,mapenzi tu, ilikuwepo tangu enzi hizo au ndo mama wanajua mapenzi kuliko mabinti wa siku hizi?


na pia ujiulize mapenz ayo yapo kwa wamama wenye pesa zao tu?wamama wauza vtumbua au ambao wapo wapo tu mbona awafatwi?hawawi na wapenzi vjana?


ni lazima jimama liwe kurugenz ivi somewhre au mfanyabiashara au jimama lenye nafasi yake pesa ipo ndo kijana aseme jimama linajua mapenz?

thk twice na uangaliwe wamama wepi..wa kada ipi ..WANAOTAKIWA ZAIDI NA AO KAKA ZETU..
 
Sana sana hayo huwa ni majimama yenye pesa zao na huwa hayapendi kumilikiwa. So, linamchukua kijana linammiliki, linamfanya mtumwa na linamgea kila kitu kiasi kwamba likimhitaji wakati wowote linampata bila ubishi!
 
apochachaaaaa!!!!!!!!!!

wanapenda vya dezo wakaka wa siku izi
wanataka wakimaliza tu chuo awe na gar fasta ,mavaz poa,awe anakula bata daily ,apange apartment...sasa gharama izi ataziweza kweli?
matokeo yake wakikutana na mikurumbembe uko basi atajichekesha mpk mmmama ataingia line ili ahudumiwe

kuna mtaa mmoja apa mjin ukienda atakuta kuna wakaka wenyewe fulll mapouda ....yaan km mastrpa vile kaz zao ni kujitongozesha kwa wadada/wamama wenye pesa..wao wapo kikaz zaid...
na hii yote utokana na ;


1.maadili kupungua
2.watu kutojali utu..wanajali zaidi pesa na starehe zao
3.malez mabaya ya watoto
4 utandawaz ..ahhh wanaona poa tu mbona ughaibun wanafanya...movies izi znadanganya pia
5.family problems
6.kuvunjika kwa ndoa ..so kila mtu anatafuta kiburudisho chake matokeo yake unaopt uburudishwe na kijana wa 25yrs wakat mam ana 53yrs
7.tamaa ya kuwa na maisha mazuri
8.wengine wanapenda tu vjana kwa madai ya damu changa kaz wanaiweza (kitu ambacho nakipinga mpk kaburin cz kuna vjana wadogo tu 25-30 may b lakin shughuli yao mbooovu awana tofaut na wababu wenye kisukari...)

NAENDA KUPASHA KIPORO ..wali naz kisamvu naz na maharage km vp karibuni .....mnaogopa kuota vtamb...?aya bana byee

Rose huyo sharobaro uliyekutana nae akakutoa hamu usimrudie tena maana duh unavyowaongelea vijana as if wote wameoza au ni vijana wa valuer na onyagi wakati wengine hawatumiii hayo mambo na wako fit mbaya
Acha kukutana na wauza sura bana kutana na real kijana asiyejua burger ni nini wala chips mayai
 
Njaa kaka wamama wengine wako vizuri so vijana wanahamia kula maisha
 
ukweli ni kwamba wamama wanapenda misumari ya vijana,tena vijana wanaojituma kisawasawa.... me pi nimeshawaclick zaidi ya wanne nma mmoja wao tunafanya naye kazi pamoja ktk taasisi yetu. kingine ni kwamba wamama watu wazima hasa wale ambao ni updates wanavutia sana kuwapiga mashine coz wengi wao walishapoteza ujana wao so haina mambo ya kuchagua face or shape nk. wadada vijana mpaka awe mzuri,mrefu ana shape ndo uanze kumtokea its a wastage of time............ na pia ukitaka kupata wadada wazuri wakuone au wajue unapiga mamaza basi hapo na wenyewe wenajileta kiulaini sana!!!!!!!!!!!!!! hamna mambo ya fedha wala nini vijana wenzangu,tongozeni wamama afu pigeni kiukweli muone wadada wanavyopata wivu and then na wenyewe wanakuja baadae. me ninae mmoja,napigiaga kwangu au kwake,sometimes gesti yani poa tu. wadada pasua kichwa sana acha na wenyewe wapigwe na wababa..........
Too funny...
 
vijana wenyewe ndie nyie mumeishiwa nguvu, misumari legelege pumzi zero usharobaro tu ila game wanaremba badala ya kukanda kisawasawa.
Vijana ndio wanaopenda majimama ili walelewe hasa kiuchumi

Umeua mkuu... Ngoja niko araundi hivi
 
asilimia kubwa hakuna mapenzi,vijana wanapendwa kulelewa.ukichunguza wengi wanaowafuata ni wale wamama wenye uwezo wa kifedha.na wamama wengine bila aibu huwatongoza hao vijana,juu ya kuwa wao wana waume zao,kwa upande wa kinamama maybe wanapenda damu changa waburudishwe na wao
 
Tafadhali Marytina vijana wengi wanajua game na wananguvu na pumuzi kabambe, japo wapo wengine pengine wanamaradhi ambayo kila mtu yanaweza yakampata.Vijana TUNAWEZA DADA, TUPE NAFASI TUONYESHE UMAHIRI WETU.Uko tayari?
Umeua mkuu... Ngoja niko araundi hivi
<br />
<br />
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom