Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
- Thread starter
- #21
me nchojua wawili mnapoamua kuanzisha mahusiano amabayo ni focused,
basi lazima hua kuna "submission of self mandate" kwa mwenzako.yaani maamuzi yako unakua huyamiliki kwa asilimia 100.
inamaana kuana vitu ambavyo inakubidi uache kama ulikua unafanya au ufanye kama ulikua hufanyi,
ili kuweza kudumisha mapenzi,na hii hua paletu kunapokua na mapenzi ya kweli.
bila kufanya hivi penzi kudumu ni kazi ngumu.
so kumbadilisha mtu ni sawatu ila cha msingi ni nia inayotumia.
ni kweli tasia, maamuzi yako huwezi kuyamiliki 100% kuna vitu ambavyo lazima mjadili mfikie muafaka. Ina maana huwezi kujiamulia.
Ila suala la interests za mtu sio suala la mtu mwingine kulifanyia maamuzi.
Unaweza kujifunza kukikubali kile anachopenda mwenzio. Au waonaje?