Kwanini unataka kuolewa katika familia yetu? Hapa ilikuwa kazi kubwa si mchezo

Benno

JF-Expert Member
Nov 21, 2009
332
51
Katika Pitapita Kijana alimchukua mchumba wake mpaka kwa ndugu zake,
Ndugu zangu nimekuja kuwatambulisha mchumba wangu?
Ndugu. Ahsante tumemwona,
Kaka mkubwa akuuliza maswali haya
1. Please express your self and let's us know Why do you want to Join our family?
2. Why should my young brother marry you and not any other woman?
3. Is it that you have a brand new car that why my young brother loves you or why?
4. If you love my young brother why since 2005 up to December 2010 ndio unamkubali kwanini miaka yote ulimkataa?

Hint: Huyu kaka amemtongoza binti toka mwaka 2005 mpaka December 2010 ndio binti amekubali.

Baada ya hayo maswali binti hajaonana na mchumba wake mpaka leo toka last week.

Wadau hapo Vipi?
 
Katika Pitapita Kijana alimchukua mchumba wake mpaka kwa ndugu zake,
Ndugu zangu nimekuja kuwatambulisha mchumba wangu?
Ndugu. Ahsante tumemwona,
Kaka mkubwa akuuliza maswali haya
1. Please express your self and let's us know Why do you want to Join our family?
2. Why should my young brother marry you and not any other woman?
3. Is it that you have a brand new car that why my young brother loves you or why?
4. If you love my young brother why since 2005 up to December 2010 ndio unamkubali kwanini miaka yote ulimkataa?

Hint: Huyu kaka amemtongoza binti toka mwaka 2005 mpaka December 2010 ndio binti amekubali.

Baada ya hayo maswali binti hajaonana na mchumba wake mpaka leo toka last week.

Wadau hapo Vipi?
KAWAONA HAO ANAOTAKA KUINGILIANA NAO KIUDUGU WA NDOA WATAMSUMBUA SANA BAADAE,,,, SUBHANALLAH SASA WEWE KAMA KAKA VIP UNAULIZA MASWALI KAMA HAYO KWAKE MWANAMKE NA SIO KUMUULIZA NDUGU YAKO?? IN SHORT WALIMUULIZA MASWALI YA KIJEURI HUYO MWANAMKE WA WATU,,, HATA MIMI NISINGERUDI KWANI MWANAMME NI YEYE TUU???:redfaces::redfaces:
 
Are You Marrying the Brother or the Family.....Upuzi huo, huyo dada akate mbuga, jamaa hajasimama bado, lazima apewe ushauri nyumbani.

Kama wewe ni Husband to be, kwenye intro....unasema: "Huyu ndo mchumba wangu nawajulisheni ndugu, na mwenye maswali na mawaidha, hayahitajika kwa sasa" yaani kijogooooo!
 
Nadhani huyo kaka alisomea mambo ya HR na hajawahi kufanya kazi yake aloisomea, hapo ndo alipata muda wa ku practise, nikama wanajeshi tu toka 78 hawajapigana sasa issue itokee ya kuwahusisha wanavyochangamkia, simshangai.
 
Ebwana!! hayo maswali yalilenga kumdhalilisha huyo dada! kwani kulikuwa na lazima ya yeye kukubali mapema? huo ni ulimbukeni maswali kama anaomba ajira.
 
Katika Pitapita Kijana alimchukua mchumba wake mpaka kwa ndugu zake,
Ndugu zangu nimekuja kuwatambulisha mchumba wangu?
Ndugu. Ahsante tumemwona,
Kaka mkubwa akuuliza maswali haya
1. Please express your self and let's us know Why do you want to Join our family?
2. Why should my young brother marry you and not any other woman?
3. Is it that you have a brand new car that why my young brother loves you or why?
4. If you love my young brother why since 2005 up to December 2010 ndio unamkubali kwanini miaka yote ulimkataa?

Hint: Huyu kaka amemtongoza binti toka mwaka 2005 mpaka December 2010 ndio binti amekubali.

Baada ya hayo maswali binti hajaonana na mchumba wake mpaka leo toka last week.

Wadau hapo Vipi?

Utambulisho unageuga interview, hata mimi nachapa mwendo na sirudi tena
 
Katika Pitapita Kijana alimchukua mchumba wake mpaka kwa ndugu zake,
Ndugu zangu nimekuja kuwatambulisha mchumba wangu?
Ndugu. Ahsante tumemwona,
Kaka mkubwa akuuliza maswali haya
1. Please express your self and let's us know Why do you want to Join our family?
2. Why should my young brother marry you and not any other woman?
3. Is it that you have a brand new car that why my young brother loves you or why?
4. If you love my young brother why since 2005 up to December 2010 ndio unamkubali kwanini miaka yote ulimkataa?

Hint: Huyu kaka amemtongoza binti toka mwaka 2005 mpaka December 2010 ndio binti amekubali.

Baada ya hayo maswali binti hajaonana na mchumba wake mpaka leo toka last week.

Wadau hapo Vipi?

Safi saaaaana kwa Dunia ya sasa kila kitu lazima kiwe wazi hasa kwa wanajamii maswala ya kuwa ooh... wamependana waacheni bila kupata maelezo ya kutosha kwa wahusika si sahihi kwa Dunia ya leo ambapo kuna akina LIYUMBA wengi na ningekuwa mimi ningewauliza kuhusu idadi ya watoto, mipango yao ya maendeleo nk, nk,. hata hivyo yaweza kuwa hivi,

1. Kwa kuwa mhusika ni mwanafamilia na he want to marry her Automatically lazima atajoin kweny hiyo family
2. Kwa kuwa yeye (Dada) ni mrembo, creative, majamboziii anayajua ndio maana dogo lazima am-marry
3. Kwa kuwa ameanza kumsotea siku nyingi hiyo Brand new car, siyo sababu ni upendo tu hapo, ingawa in some extend huyo dada anaiogopa hiyo familia yenu kama ipo juu(well to do) hivyo kwa kupata new Brand car some how anaona nae ana cha kuwaonyesha
4. kwa kuwa anamfahamu huyo dada kwa muda mrefu na likely anazijua tabia zake inawezekana sasa zimebadilika na aliokuwa anacompany nao wanamkimbia hivyo anajisalimisha kwa dogo
 
Safi saaaaana kwa Dunia ya sasa kila kitu lazima kiwe wazi hasa kwa wanajamii maswala ya kuwa ooh... wamependana waacheni bila kupata maelezo ya kutosha kwa wahusika si sahihi kwa Dunia ya leo ambapo kuna akina LIYUMBA wengi na ningekuwa mimi ningewauliza kuhusu idadi ya watoto, mipango yao ya maendeleo nk, nk,. hata hivyo yaweza kuwa hivi,

1. Kwa kuwa mhusika ni mwanafamilia na he want to marry her Automatically lazima atajoin kweny hiyo family
2. Kwa kuwa yeye (Dada) ni mrembo, creative, majamboziii anayajua ndio maana dogo lazima am-marry
3. Kwa kuwa ameanza kumsotea siku nyingi hiyo Brand new car, siyo sababu ni upendo tu hapo, ingawa in some extend huyo dada anaiogopa hiyo familia yenu kama ipo juu(well to do) hivyo kwa kupata new Brand car some how anaona nae ana cha kuwaonyesha
4. kwa kuwa anamfahamu huyo dada kwa muda mrefu na likely anazijua tabia zake inawezekana sasa zimebadilika na aliokuwa anacompany nao wanamkimbia hivyo anajisalimisha kwa dogo





We umechambua mpaka basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom