Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,921
- 6,007
Kwaniini wasomi wengi wanaume particularly Tanzania are too boast-ful kwa wake zao ambao hawakubahatika kufuta ujinga??
Why too braggy about your Masters/Ph.D. e.t.c. ? Na ikumbukwe kuwa ni wao wenyewe (wanaume) waliowatongoza na hatimaye
kufunga ndoa bila kulazimishwa! Baada ya muda wanawake hawa uonekana mbumbumbu, maimuna si lolote si chochote ila raw-materials
tu kwa wanaume zao, why?
Hata gwiji la kufikiri sana kama Albert Einstein [E=Mc[SUP]2[/SUP]] hadi mauti yalipomkuta, bado tu alijiona falla tu asiyejua chochote! Kwanini
uonyeshe academic arrogance kwa mkeo; kama ukutaka kuoa maimuna si ungeamuaga zamani hivyo??? Unabaki kulalamika tuu,
ooh :" ningejua ningeli............"
Mwana-JF naomba uzoefu wako ktk suala hili.
Why too braggy about your Masters/Ph.D. e.t.c. ? Na ikumbukwe kuwa ni wao wenyewe (wanaume) waliowatongoza na hatimaye
kufunga ndoa bila kulazimishwa! Baada ya muda wanawake hawa uonekana mbumbumbu, maimuna si lolote si chochote ila raw-materials
tu kwa wanaume zao, why?
Hata gwiji la kufikiri sana kama Albert Einstein [E=Mc[SUP]2[/SUP]] hadi mauti yalipomkuta, bado tu alijiona falla tu asiyejua chochote! Kwanini
uonyeshe academic arrogance kwa mkeo; kama ukutaka kuoa maimuna si ungeamuaga zamani hivyo??? Unabaki kulalamika tuu,
ooh :" ningejua ningeli............"
Mwana-JF naomba uzoefu wako ktk suala hili.