Sinai
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 288
- 47
Jamani, siku hizi kama wewe ni mfanyakazi au hata mwananchi wa kawaida kila unapojaribu kuhoji kitu hasa serikali au kwenye mashirika ya umma unaambiwa wewe ni Chadema.
Hivi hawa watu waliopo serikalini wanataka watu/wananchi wakae tu kimya? Wasidai hata haki zao za msingi?
Jana kuna Mbunge mmoja wa CCM alipotutembelea kama wapiga kura wake, watu walimuuliza sana maswali juu ya ahadi alizotoa wakati wa kampeni, baada ya kujibu hoja, yeye akawaka, eti hao wanaoulizauliza maswali ni watu wa Chadema, hivyo hawezi kuwajibu kwani yeye anatekeleza ilani ya CCM! Haki ipo wapi hapo??
Je wana-CCM hawana utamaduni wa kuwauliza maswali viongozi wao?
Nawakilisha!
Bored, help.
Hivi hawa watu waliopo serikalini wanataka watu/wananchi wakae tu kimya? Wasidai hata haki zao za msingi?
Jana kuna Mbunge mmoja wa CCM alipotutembelea kama wapiga kura wake, watu walimuuliza sana maswali juu ya ahadi alizotoa wakati wa kampeni, baada ya kujibu hoja, yeye akawaka, eti hao wanaoulizauliza maswali ni watu wa Chadema, hivyo hawezi kuwajibu kwani yeye anatekeleza ilani ya CCM! Haki ipo wapi hapo??
Je wana-CCM hawana utamaduni wa kuwauliza maswali viongozi wao?
Nawakilisha!
Bored, help.