Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo vuguvugu la mageuzi limepamba moto nyumbani na kila kukicha chama chetu kinazidi kujizolea umaarufu kwa sababu ni chama pekee kinachopambana na mafisadi bila ya woga.Kila kukicha Viongozi wetu wa taifa wanazunguka nchi nzima kueneza demokrasia ya kweli na huru. Hivyo basi ni wajibu wetu kuwaunga mkono kwa kuendeleza harakati hizi. Zile enzi za kuogopa au kufikiri kuwa uongozi wa nchi ni kwa ajili ya familia fulani au majina fulani ya vigogo zimepitwa na wakati. Mkumbuke sababu ya uprising ya egypt ilitokana na waarabu kuchoshwa na utawala wa familia moja kwa muda mrefu. Haya pia tumeyaona Libywa, na Tunisia. Watu hawa walisema tumechoka. Haiwezekani baba amuachie mwana na mwana endeleze utwawala kwa wajukuu, utaratibu huu hautakiwi tena duniani kote. Sisi hapa tumshukuru mwenyezi Mungu katujalia tuko kwenye nchi inayoongozwa kwa demokrasia ya kweli na huru tunaona matunda ya demokrasia hivyo ningependa mafanikio na faida tunazoziona hapa basi na ndugu zetu kule nyumbani waweze kuishi kama sisi. Bila woga wala hofu.
Nadhani wote mnakumbuka chama cha UNIP cha Keneth Kaunda wa Zambia. Chama hiki kilitawala Zambia kwa miaka mingi lakini vyama vingi vilipoingia Zambia Unip ilipotea kabisa kwenye Ramani ya zambia na uchaguzi uliopita UNIP walipata asilimia 0.38% ambayo ni chini ya asilimia moja. Hii ina maana waliopiga kura ni watoto wajomba na mashangazi. Kila mtu alichoka.
Tanzania ni kama gari , Chama kinachotawala ni kama engine na Kiongozi wa nchi ndio dereva.
CCM ni kama engine iliyochoka sana kwa kukosa matunzo mazuri kiasi kwamba hata leo hii ukibadilisha dereva au spare mpya engine hii haiwezi kulipandisha gari letu kwenye mlima mkali wa maendeleo. Engine hii iitwayo CCM haijawahi kufanyiwa overhaul au main service lakini badala yake wao humwaga oil chafu tu bila hata ya kubadilisha oil filter. Na tukifanya mchezo gari litaanza kuporomoka kurudi nyuma.
Ni wakati umefika kwa watanzania kubadilisha engine kwenye gari letu tanzania. Tunatakiwa tufunge engine mpya kabisa iitwayo Chadema.
Chadema Chini ya madereva wetu Dr Slaa na Mheshimiwa Mbowe tutaweza kupanda mlima huu mkali bila wasi wasi kwa kutumia rasilimali tulizonazo ambazo kila mtu anajua kuwa sisi ni matajiri wa rasilimali tatizo ni CCM, hawana maarifa wala plan ya jinsi ya kuzitumia rasilimali hizi walizozikalia kwa miaka 50 sasa.. Chama chetu kitawapa nafasi wasomi na watu wote wenye vipaji, walete maarifa yao kwenye sekta ya viwanda , madini na mariasili kitu ambacho
CCM imeshindwa kuwatumia. Badala yake utwasikia tu mara kilimo kwanza mara kilimo ni uti wa mgongo au kilimo cha kufa na kupona . Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea kilimo peke yake. Kama ni maboga kila mtu analima.
Mimi binafsi ninaamini utajiri wa nchi hutokana na viwanda pamoja na maliasili kama gesi, mafuta, madini mbalimbali nk.
Nchi haiwezi kuwa tajiri kwa kutegemea kilimo, kilimo huchangia asilimia ndogo sana ya uchumi wa nchi.
SIRI YA MAFANIKIO YA TAIFA BORA NI MAARIFA
MAARIFA HUTOKA KWA WASOMI PAMOJA NA WATU MBALI MBALI WENYE UJUZI
SERIKALI YETU IMESHINDWA KUWATUMIA WASOMI WETU BADALA YAKE IMEWATELEKEZA NA KUWAACHA WAKIBEBA BOKSI ULAYA NA MAREKANI.
Wachina walikuwa masikini sana miaka ya nyuma, na viwanda vingi vya wamarekani na nchi nyingine tajiri vilijengwa china kwa sababu ya cheap labour.
Wachina waliamua kutumia wasomi wao na watu wenye ujuzi kujifunza maarifa wanayotumia wamarekani na mataifa tajiri. Badaad ya hawa watu kuyapata maarifa waliamua kuanza kujenga viwanda vyao wenyewe nma kutengeneza malighafi kama zile za wamarekani kwa bei nafuu, hii iliwasaidia kumaliza masoko yote nchi za africa na asia.
Uchumi wa china umekua kwa maarifa, sasa kwa nini na sisi uchumi wetu usikue kwa maarifa.
Unasema kilimo kwanza halafu unanunua jembe la disc plough ulaya wakati hili jembe linaweza kutengenezwa pale ZZK au UFI? Disc plough inaweza kutengenezwa na fundi welder wa kawaida kabisa kama akipewa mafunzo madogo tu.
Unasema kilimo kwanza wakati pamba inayolimwa mwanza inapelekwa China kutengeneza nguo halafu hizo nguo zinarudishwa tanzania kuuzwa. kwa nini usiwachukue wasomi wakasomee mambo ya viwanda vya nguo China warudi nyumbani wakatengeneze hizo nguo pale Mwatex?
Viwanda tunavyo
Wasomi tunao
Malighafi tunazo
Mengine mtamalizia wenyewe
CCM kama UNIP ya Zambia ifikapo 2015 kura zao zitatoka kwa watoto wa vigogo, wajomba na close relatives
On 23 September, Chief Justice Ernest Sakala announced Sata the winner of the election with 1,150,045 votes, or 43%, with 95.3% of votes counted. Banda received 961,796 votes, or 36.1%, and other minor parties trailed in the poll.[SUP][5][/SUP][SUP][11][/SUP] Sata was sworn into office later that day
SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM
PIPOOOOZ!
Kama mjuavyo vuguvugu la mageuzi limepamba moto nyumbani na kila kukicha chama chetu kinazidi kujizolea umaarufu kwa sababu ni chama pekee kinachopambana na mafisadi bila ya woga.Kila kukicha Viongozi wetu wa taifa wanazunguka nchi nzima kueneza demokrasia ya kweli na huru. Hivyo basi ni wajibu wetu kuwaunga mkono kwa kuendeleza harakati hizi. Zile enzi za kuogopa au kufikiri kuwa uongozi wa nchi ni kwa ajili ya familia fulani au majina fulani ya vigogo zimepitwa na wakati. Mkumbuke sababu ya uprising ya egypt ilitokana na waarabu kuchoshwa na utawala wa familia moja kwa muda mrefu. Haya pia tumeyaona Libywa, na Tunisia. Watu hawa walisema tumechoka. Haiwezekani baba amuachie mwana na mwana endeleze utwawala kwa wajukuu, utaratibu huu hautakiwi tena duniani kote. Sisi hapa tumshukuru mwenyezi Mungu katujalia tuko kwenye nchi inayoongozwa kwa demokrasia ya kweli na huru tunaona matunda ya demokrasia hivyo ningependa mafanikio na faida tunazoziona hapa basi na ndugu zetu kule nyumbani waweze kuishi kama sisi. Bila woga wala hofu.
Nadhani wote mnakumbuka chama cha UNIP cha Keneth Kaunda wa Zambia. Chama hiki kilitawala Zambia kwa miaka mingi lakini vyama vingi vilipoingia Zambia Unip ilipotea kabisa kwenye Ramani ya zambia na uchaguzi uliopita UNIP walipata asilimia 0.38% ambayo ni chini ya asilimia moja. Hii ina maana waliopiga kura ni watoto wajomba na mashangazi. Kila mtu alichoka.
Tanzania ni kama gari , Chama kinachotawala ni kama engine na Kiongozi wa nchi ndio dereva.
CCM ni kama engine iliyochoka sana kwa kukosa matunzo mazuri kiasi kwamba hata leo hii ukibadilisha dereva au spare mpya engine hii haiwezi kulipandisha gari letu kwenye mlima mkali wa maendeleo. Engine hii iitwayo CCM haijawahi kufanyiwa overhaul au main service lakini badala yake wao humwaga oil chafu tu bila hata ya kubadilisha oil filter. Na tukifanya mchezo gari litaanza kuporomoka kurudi nyuma.
Ni wakati umefika kwa watanzania kubadilisha engine kwenye gari letu tanzania. Tunatakiwa tufunge engine mpya kabisa iitwayo Chadema.
Chadema Chini ya madereva wetu Dr Slaa na Mheshimiwa Mbowe tutaweza kupanda mlima huu mkali bila wasi wasi kwa kutumia rasilimali tulizonazo ambazo kila mtu anajua kuwa sisi ni matajiri wa rasilimali tatizo ni CCM, hawana maarifa wala plan ya jinsi ya kuzitumia rasilimali hizi walizozikalia kwa miaka 50 sasa.. Chama chetu kitawapa nafasi wasomi na watu wote wenye vipaji, walete maarifa yao kwenye sekta ya viwanda , madini na mariasili kitu ambacho
CCM imeshindwa kuwatumia. Badala yake utwasikia tu mara kilimo kwanza mara kilimo ni uti wa mgongo au kilimo cha kufa na kupona . Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea kilimo peke yake. Kama ni maboga kila mtu analima.
Mimi binafsi ninaamini utajiri wa nchi hutokana na viwanda pamoja na maliasili kama gesi, mafuta, madini mbalimbali nk.
Nchi haiwezi kuwa tajiri kwa kutegemea kilimo, kilimo huchangia asilimia ndogo sana ya uchumi wa nchi.
SIRI YA MAFANIKIO YA TAIFA BORA NI MAARIFA
MAARIFA HUTOKA KWA WASOMI PAMOJA NA WATU MBALI MBALI WENYE UJUZI
SERIKALI YETU IMESHINDWA KUWATUMIA WASOMI WETU BADALA YAKE IMEWATELEKEZA NA KUWAACHA WAKIBEBA BOKSI ULAYA NA MAREKANI.
Wachina walikuwa masikini sana miaka ya nyuma, na viwanda vingi vya wamarekani na nchi nyingine tajiri vilijengwa china kwa sababu ya cheap labour.
Wachina waliamua kutumia wasomi wao na watu wenye ujuzi kujifunza maarifa wanayotumia wamarekani na mataifa tajiri. Badaad ya hawa watu kuyapata maarifa waliamua kuanza kujenga viwanda vyao wenyewe nma kutengeneza malighafi kama zile za wamarekani kwa bei nafuu, hii iliwasaidia kumaliza masoko yote nchi za africa na asia.
Uchumi wa china umekua kwa maarifa, sasa kwa nini na sisi uchumi wetu usikue kwa maarifa.
Unasema kilimo kwanza halafu unanunua jembe la disc plough ulaya wakati hili jembe linaweza kutengenezwa pale ZZK au UFI? Disc plough inaweza kutengenezwa na fundi welder wa kawaida kabisa kama akipewa mafunzo madogo tu.
Unasema kilimo kwanza wakati pamba inayolimwa mwanza inapelekwa China kutengeneza nguo halafu hizo nguo zinarudishwa tanzania kuuzwa. kwa nini usiwachukue wasomi wakasomee mambo ya viwanda vya nguo China warudi nyumbani wakatengeneze hizo nguo pale Mwatex?
Viwanda tunavyo
Wasomi tunao
Malighafi tunazo
Mengine mtamalizia wenyewe
CCM kama UNIP ya Zambia ifikapo 2015 kura zao zitatoka kwa watoto wa vigogo, wajomba na close relatives
On 23 September, Chief Justice Ernest Sakala announced Sata the winner of the election with 1,150,045 votes, or 43%, with 95.3% of votes counted. Banda received 961,796 votes, or 36.1%, and other minor parties trailed in the poll.[SUP][5][/SUP][SUP][11][/SUP] Sata was sworn into office later that day
Zambian presidential election, 2011 | ||||
---|---|---|---|---|
Party | Candidate | Votes | Percentage | |
Patriotic Front | Michael Sata | 1,170,966 | 41.98% | |
Movement for Multi-Party Democracy | Rupiah Banda | 987,866 | 35.42% | |
United Party for National Development | Hakainde Hichilema | 506,763 | 18.17% | |
Alliance for Democracy and Development | Charles Milupi | 26,270 | 0.94% | |
National Restoration Party | Elias Chipimo Jnr | 10,672 | 0.38% | |
United National Independence Party | Tilyenji Kaunda | 9,950 | 0.36% | |
Forum for Democracy and Development | Edith Nawakwi | 6,833 | 0.24% | |
National Movement for Progress | N'gandu Peter Magande | 6,344 | 0.23% | |
Heritage | Godfrey Miyanda | 4,730 | 0.17% | |
Zambians for Empowerment and Development | Frederick Mutesa | 2,268 | 0.08% | |
Valid votes | 2,732,662 | 97.93% | ||
Invalid or blank votes | 56,678 | 2.03% | ||
Total votes | 2,789,340 | 100.00% | ||
Voter turnout | 53.98% | |||
Source: Electoral Commission of Zambia |
SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM
PIPOOOOZ!