Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Wadau hili swali linaumiza sana.
Naombeni mwenye kujua,wakati waakoloni wanaligawa bara la afrika ujerumani ndiyo lilikuwa taifa kubwa na mkutano wa kugawa ulifanyika kwao na wao ndio walikuwa na sauti kubwa kuliko yeyote.
Sasa ni kwaa nini hawakuhitaji mataifa mengi na badala ya ke wakaichukua tanganyika tu?kwa nini isiwe somalia,jibout,kenya wala msumbiji?
Naombeni mwenye kujua,wakati waakoloni wanaligawa bara la afrika ujerumani ndiyo lilikuwa taifa kubwa na mkutano wa kugawa ulifanyika kwao na wao ndio walikuwa na sauti kubwa kuliko yeyote.
Sasa ni kwaa nini hawakuhitaji mataifa mengi na badala ya ke wakaichukua tanganyika tu?kwa nini isiwe somalia,jibout,kenya wala msumbiji?