Ndo hali halisi mkuu,chuo hakina prosoectus,inasikitisha.
Ndo hali halisi mkuu,chuo hakina prosoectus,inasikitisha.
hahahahaha! daah eti prosoectus hahahahaaaNdo hali halisi mkuu,chuo hakina prosoectus,inasikitisha.
Pamoja na kuwa na watalaam Wazuri wa mawasiliano.
by the way kwanini mambo yake mengi yanakuwa slow? mfano majina ya sec round mpaka leo bado.
i catch u bt inachosha sanah mkuu...Mkuu inabidi mvute subira TCU bado yaendelea na mchakato wa kuchagua wanafunzi (4th round) nadhan ndo mana chuo kimetulia kwanza mpaka kipate majina kamili ndo wataachia!!
Mkuu inabidi mvute subira TCU bado yaendelea na mchakato wa kuchagua wanafunzi (4th round) nadhan ndo mana chuo kimetulia kwanza mpaka kipate majina kamili ndo wataachia!!
Prospectus mkuu...web ya udom haipo,chuo uchwara icho
Mi nataka nithibitishe ubora wa course mnazosoma hapo
umechanganya bangi kwenye chakula au??Mkuu 2nd round haipo we kaa kwenu tu na BRN hii,umeshindwa pata ata ka distinction