Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
halifichiki eeeeeeeeeeeeeeeeh halifichiki pembe la ngo'mbe.
Vp ndugu umemtokea mtu mwenye midevu nini ukidhani ka shori?
Za leo?i hope wote ni wazima wa afya...nashindwa kuelewa binadamu wa siku hizi tunafikiria nini.Siku hizi kuna tabia ambayo imekua sugu tena inakera.Unakuta watu kwenye mitandao ya kijamii na internet wanajibadilisha jinsia ili wachezee akili za watu...Tatizo hili limekua sugu haswa kwa jinsia ya kiume ambapo wengi hujifanya wanawake.Je, nauliza nyie wanaume mnataka kuolewa? Ama kazi ya kupinda mgongo mnaipenda?mnaona wanawake wanafaidi mpaka mnataka muwasaidie?mi naona ni ukosefu wa akili na ulimbukeni!
Ha ha ha ha, katuma M-Pesa, laki mbili labda lol
Tayari amenasa huyo!......Vp ndugu umemtokea mtu mwenye midevu nini ukidhani ka shori?
Jamani shida iko wapi??
Kila mtu analengo lake la kujiunga na mitandao hii ya kijamii.
Wee ukiingizwa mkenge songa mbele, kulia lia ni kukosa ukomavu tu.
hata watu tuna viungo vya sawa lakini hatufanani, tungefanana kama kumbi kumbi maisha yangekuwa so boring!
Jamani shida iko wapi??
Kila mtu analengo lake la kujiunga na mitandao hii ya kijamii.
Wee ukiingizwa mkenge songa mbele, kulia lia ni kukosa ukomavu tu.
hata watu tuna viungo vya sawa lakini hatufanani, tungefanana kama kumbi kumbi maisha yangekuwa so boring!
Mwanaume hajaribishi skirt.ndio ndio mpinzani, na wengine furaha zao ni kuchezea akili za watu. Tunapunguza stress kihivyo.