Kwanini udanganye watu jinsia yako?unafaidika na nini?

Jamani shida iko wapi??

Kila mtu analengo lake la kujiunga na mitandao hii ya kijamii.
Wee ukiingizwa mkenge songa mbele, kulia lia ni kukosa ukomavu tu.

hata watu tuna viungo vya sawa lakini hatufanani, tungefanana kama kumbi kumbi maisha yangekuwa so boring!
 
Za leo?i hope wote ni wazima wa afya...nashindwa kuelewa binadamu wa siku hizi tunafikiria nini.Siku hizi kuna tabia ambayo imekua sugu tena inakera.Unakuta watu kwenye mitandao ya kijamii na internet wanajibadilisha jinsia ili wachezee akili za watu...Tatizo hili limekua sugu haswa kwa jinsia ya kiume ambapo wengi hujifanya wanawake.Je, nauliza nyie wanaume mnataka kuolewa? Ama kazi ya kupinda mgongo mnaipenda?mnaona wanawake wanafaidi mpaka mnataka muwasaidie?mi naona ni ukosefu wa akili na ulimbukeni!

ukiona hivyo ujue boga hilo... linatafuta duduz
 
Ha ha ha ha, katuma M-Pesa, laki mbili labda lol

hiyo ndo hasara ya kuchat na ku sms,

ikipewa no ya sim uwe unapiga randomly utagundua kitu kabla ya kutuma M-pesa.

pole kaka mpiganaji hakati tamaa, hilo ni somo songa mbele!!!
 
Jamani shida iko wapi??

Kila mtu analengo lake la kujiunga na mitandao hii ya kijamii.
Wee ukiingizwa mkenge songa mbele, kulia lia ni kukosa ukomavu tu.

hata watu tuna viungo vya sawa lakini hatufanani, tungefanana kama kumbi kumbi maisha yangekuwa so boring!

Tatizo watu wanakuja na mengi
Kwani unashindwa nini kuchangia mada na kusepa?
Shida ya kuPM kila avator ya kike ndio hii..
Mtatongoza hadi wake zenu humu!..lol!
 
Jamani shida iko wapi??

Kila mtu analengo lake la kujiunga na mitandao hii ya kijamii.
Wee ukiingizwa mkenge songa mbele, kulia lia ni kukosa ukomavu tu.

hata watu tuna viungo vya sawa lakini hatufanani, tungefanana kama kumbi kumbi maisha yangekuwa so boring!

ndio ndio mpinzani, na wengine furaha zao ni kuchezea akili za watu. Tunapunguza stress kihivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom