KAMANDA HANGA
Senior Member
- Sep 22, 2011
- 158
- 58
Ndg wana Jf!
Kutokana na serikali yetu corrupt kuendelea kuwakumbatia na kuwalinda mafisadi papa walio firisi BOT kwa kukwapua mabilion kibao, walioanzisha makampuni feki na baada ya wizi wakayakimbia, mnaonaje wanajanvi tukianzisha mkakati wa kuwataja hadharani humu jamvini wale wote tunao wajua waliwahi kumiliki makampuni hayo na baada ya wizi wakayakana ili walipo wajue kwamba watanzania wanawajua na kutambua wizi wao hata kama serikali inawalinda.
Makampuni yenyewe ni kama:-
1. Kagoda - Rostm Aziz
2. Deeep green -
3. Meremeta -
karibu wana jamvi ongeza makampuni, taasisi na wamiliki wake.
Naomba kuwasilisha.
Kutokana na serikali yetu corrupt kuendelea kuwakumbatia na kuwalinda mafisadi papa walio firisi BOT kwa kukwapua mabilion kibao, walioanzisha makampuni feki na baada ya wizi wakayakimbia, mnaonaje wanajanvi tukianzisha mkakati wa kuwataja hadharani humu jamvini wale wote tunao wajua waliwahi kumiliki makampuni hayo na baada ya wizi wakayakana ili walipo wajue kwamba watanzania wanawajua na kutambua wizi wao hata kama serikali inawalinda.
Makampuni yenyewe ni kama:-
1. Kagoda - Rostm Aziz
2. Deeep green -
3. Meremeta -
karibu wana jamvi ongeza makampuni, taasisi na wamiliki wake.
Naomba kuwasilisha.