Wapendwa WanaJF,
Natoa wazo tu jamani. Hivi kwa nini Katiba yetu isibadilishwe ili angalau rais wetu kipenzi cha watanzania agombee tena ifikapo 2015. Ni pendekezo tu jamani.
Wacha mchezoooo!!!! Kwa hiyo unataka kusema mleta hoja apelekwe MILEMBE?? Ila panamfaaaaa.chizi si mpaka aokote makopo...
Nakubaliana na wewe lakini nadhani agombee nafasi ya"Kwa dhati kabisa napinga ukomo wa uongozi eti kuwa miaka 2015. Kwa kiongozi kama JK ambaye ni hazina kubwa ya Taifa, nadhani bado anastahili kupewa nafasi nyingine ya kugombea. After all, bado kijana, bado CCM na Taifa linamhitaji kiongozi huyu mahiri. Hata EA tunamhitaji sana. Mbona Kagame aliongeza muda, Museveni nk, mbona uingereza mama wa demokrasia hawana ukomo, sioni kama ni dhambi katiba mpya ikampa kiongozi huyu mpendwa nafasi ya kugombea ili aweze kutimiza yale ambayo hawezi kuyatimiza. Muhimu zaidi, itawanyongonyesha akina Lowassa na kuwazuia kabisa kuingia kwenye power." CCM itanusurika na will return to winning ways if this brilliant leader is allowed to stand again. Tunamwomba Rais Kikwete afikirie kuhusu maombi yetu hatya sisi watanzania tunaompenda sana.