Nicksixyo
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 944
- 263
Kapiga Lager zake na masigara yake hukoooo ,kaja akalalla zake fofofo...Au katoka kwa mwanamke mwingine hukooo kaja asubuhi anataka umchemshie maji ya kuoga,yupi nafuu dear..!!!??Ipo kama Marytina umeongea kwa upeo wa karibu....Anaweza akawa ananuka mdomo kwa maradhi mengine sio sigara na unanuka kuliko mavi,au anaweza akawa analewa vitu vingine na sio LAGER,maana we unadhani lager tu ndio ulevi,wanawake wengi ni ulevi pia,madawa ya kulevia ni ilevi pia,ugovi na hasira ni ulevi pia...nkUJAWAHI KUPATA DOZI ZA MENGINEYO UKAJISKIA....NADHANI UMEKUTANA NA KAMLEVI CHA LAGER NA SIGARA KAKAKUWEKA KA MEMORY CHA KITOTO...Kuwa uyaone dada yangu..!!ni kweli ila kuna mwenye kasoro zinazovumilika (depending on individuals)
wengine ni mizigo kuwa nao.
Mfano kwangu mwanaume kuwa mkorofi kiasili si tatizo kiiivyoo ILA MVUTA SIGARA +LAGER siwezi kabisaaaaaaaaaa