Don't i know it lol! Michelle hope your ok,very sad tumefungwa na refa last nite.
Michelle, tatizo langu ni kwamba ni wangapi wanamwomba Mungu?
Na hata kama tukimwomba Mungu yeye ndiye mwenye final answer kwamba akupe nini
Muhimu tumepewa uwezo/utashi wa kujua mema na mabaya na hata jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha, zikiwemo za mahusiano.
Kaizer mimi kweli humuomba Mungu,na ninaamini kwa kiasi najua mema na mabaya.....iweje unakutana na the worst as the list goes up??
it hurts and sometimes i question his love and power of my prayers......honestly!!!!
Ila kama ulivyosema yeye ndo mwenye jibu la mwisho....we have to keep up the faith....!!
Poleni sana Wewe na Michelle
Ila pamoja na yote hamna beki kwa kweli
Na kama wangekuwa makin mngepigwa hata 8
:focus:
Hebu elezea kidogo mada ya Michelle unaionaje?
thats what am saying
ukifika kuhoji uwezo wake, unakuwa unafanania Ayubu sasa...LOL
namtafuta Keren....umemuona mpenzi?
unapozungumza jizungumzie wewe binafsi maana unayoyazungumza siyo kwamba watu wote yanawakuta.
Maisha yaendelee, utamliliaje mtu ambaye hana muda na wewe?
Wanadai eti ooh siwezi kuishi bila wewe.. Khaa! Kwani tumezaliwa wote.
Keren will be here soon....yule mida yake ndo hii....nimemuona but hajatulia.....!!!nikimuona nimuambieje dear?:wink2:
Maisha yaendelee, utamliliaje mtu ambaye hana muda na wewe?
Wanadai eti ooh siwezi kuishi bila wewe.. Khaa! Kwani tumezaliwa wote.
aww..I see....hajatulia kwa nini jamani...tell her that I love her...I need her....I want to ask her what it takes to have her on my side....LOL
anaandaa chakula cha jioni,familia ikishakula atakuja hapa....nitamwambia....she is an angel please handle her with care!!!
Kaizer mimi kweli humuomba Mungu,na ninaamini kwa kiasi najua mema na mabaya.....iweje unakutana na the worst as the list goes up??
it hurts and sometimes i question his love and power of my prayers......honestly!!!!
Ila kama ulivyosema yeye ndo mwenye jibu la mwisho....we have to keep up the faith....!!
Mamaa, hivi ukorofi ni nini na kutumia laga na kachaso ni ukorofi?ni kweli ila kuna mwenye kasoro zinazovumilika (depending on individuals)
wengine ni mizigo kuwa nao.
Mfano kwangu mwanaume kuwa mkorofi kiasili si tatizo kiiivyoo ILA MVUTA SIGARA +LAGER siwezi kabisaaaaaaaaaa