Kwanini Tosamaganga isiwe chuo kikuuu? Wakatoliki mko wapi?

Hute

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,537
6,458
KWA WALIOSOMA TOSA, au wale ambao wameshafika, majengo yake ni mazuri sana, kwanza ukiondoa yale mabati ya juu, ukapiga vigae vya udongo vyekundu, nyumba zile zinafanana sana na nyumba za desturi za ujengaji wa ulaya. majengo yale yalifananishwa kabisa na yale ya ulaya....ni pazuri sana.

kwanini wakatoliki msiombe shule hii iliyokuwa yenu irudishwe kwenu kama ilivyorudishwa ile ya Mazengo, ili muweke chuo kikuu pale? sisi tunawaaminia....eneo lile ni zuri sana, alafu sio mbali saana na mjini iringa......mapadri na maaskofu mko wapi?
 
KWA WALIOSOMA TOSA, au wale ambao wameshafika, majengo yake ni mazuri sana, kwanza ukiondoa yale mabati ya juu, ukapiga vigae vya udongo vyekundu, nyumba zile zinafanana sana na nyumba za desturi za ujengaji wa ulaya. majengo yale yalifananishwa kabisa na yale ya ulaya....ni pazuri sana.

kwanini wakatoliki msiombe shule hii iliyokuwa yenu irudishwe kwenu kama ilivyorudishwa ile ya Mazengo, ili muweke chuo kikuu pale? sisi tunawaaminia....eneo lile ni zuri sana, alafu sio mbali saana na mjini iringa......mapadri na maaskofu mko wapi?

Binafsi siungi mkono wazo la Shule ya Tosamaganga kuwa Chuo Kikuu. Wazo lingekuwa kwa sisi tuliosoma Tosamaganga kuanzisha Tosamaganga University of science and Technology (si kwa kutumia majengo yaliyopo bali kutafuta eneo jipya na kujenga chuo kikuu) kwa kushirikiana na wananchi wa mkoa wa Iringa, mashirika ya Dini na Serikali kuu.
 
KWA WALIOSOMA TOSA, au wale ambao wameshafika, majengo yake ni mazuri sana, kwanza ukiondoa yale mabati ya juu, ukapiga vigae vya udongo vyekundu, nyumba zile zinafanana sana na nyumba za desturi za ujengaji wa ulaya. majengo yale yalifananishwa kabisa na yale ya ulaya....ni pazuri sana.

kwanini wakatoliki msiombe shule hii iliyokuwa yenu irudishwe kwenu kama ilivyorudishwa ile ya Mazengo, ili muweke chuo kikuu pale? sisi tunawaaminia....eneo lile ni zuri sana, alafu sio mbali saana na mjini iringa......mapadri na maaskofu mko wapi?

hizi zote zitarudi ondoa shaka.
 
yaani kama ni majengo tu, yanazidi ubora kuliko hata yale ya Tumaini university iringa, na majengo yale ni ya kihistoria, na ya utamaduni wa ulaya...safi sana hasa wakiondoa yale mabati wakaweka vigae vyekundu.
 
Aaagh!! Majengo yake yanafanana na yale ya ulaya kivipi?. Nani kasema kuwa nchi za ulaya zina style moja ya ujenzi?. Mimi siungi mkono suala la kuifanya secondary ya Tosamaganga iwe chuo, itakuwa ni muendelezo wa kujenga mivyuo mingi isiyo na kiwango ambapo matokeo yake tunatoa viongozi dhaifu dhaifu kama waliomo CCM.
 
Mkuu,pale bado wanamgogoro na jengo moja hivi lipo katikati ya tosa na ile shule ya msingi ya wasichana nimeisahau jina lake,serikali imegoma kuwarudishia jengo moja tu unadhani wanaweza kuwarudishia yote?.....
kwa majengo yako bomba sana ila kupafanya chuo bado wawaache vijana wa sekondari tu waendelee kutesa Ipamba!.....
 
Aaagh!! Majengo yake yanafanana na yale ya ulaya kivipi?. Nani kasema kuwa nchi za ulaya zina style moja ya ujenzi?. Mimi siungi mkono suala la kuifanya secondary ya Tosamaganga iwe chuo, itakuwa ni muendelezo wa kujenga mivyuo mingi isiyo na kiwango ambapo matokeo yake tunatoa viongozi dhaifu dhaifu kama waliomo CCM.
lazima utakuwa graduate wa chuo kile cha morogoro wewe, mbona unaogopa sana elimu? vitabu sio sumu wala pilipili, pendeni shule jamani......kwani kwa wakatoliki mnafikiri hayo matatizo yenu ya kushindwa kuviboresha vyuo au shule yapo? wao wanajua namna ya kuboresha elimu bwanaaa, majengo yale ni kama ya ulaya ndiyo, kama umefika ulaya usingeuliza swali kama hili...ni mazuri kama ya kihistoria fulani hivi,...acha ubishi, penda shule bwamdogo! vyuo hivi tu tulivyonavyo hapa tz havitutoshi kabisa kulingana na idadi ya watz iliyopo, kuna wanafunzi wangapi wanaomaliza form six wanakosa vyuo kila mwaka?...hata kama si kutegemea bumu lakini kuna watu wengi tu siku hizi wanaweza kuwalipia wadogo zao chuo kikuuu......napenda hata tungekuwa na vyuo vikuu kila mkoa....
 
Aaagh!! Majengo yake yanafanana na yale ya ulaya kivipi?. Nani kasema kuwa nchi za ulaya zina style moja ya ujenzi?. Mimi siungi mkono suala la kuifanya secondary ya Tosamaganga iwe chuo, itakuwa ni muendelezo wa kujenga mivyuo mingi isiyo na kiwango ambapo matokeo yake tunatoa viongozi dhaifu dhaifu kama waliomo CCM.

Hoja yake ni rahishi kuilewa. Kifupi yale majengo waliyajenga wajerumani na design walizotumia ni kama za kwao Ujerumani. Na popote pale kwenye majengo ya Wajerumani wanajitahihi sana kuyafaninisha na ya kwao Ujerumani. Nenda Peramiho, Ndanda, Kigonsera, Likonde na penginepo utaona huko kufanana. Kwa hiyo usibishe tu madamu unabisha.

Wazo ni zuri sana la kuichukua Tosamaganga Secondary lakini, kanisa linazingatia sana mgawanyo wa elimu sawa kwa watanzania wote. Mfano Iringa tayari chuo kipo na kinaendelea vizuri. Msisitizo sasa ni Mikoa ya Singida, Dodoma, Lindi, Mtwara, Sumbawanga na Kigoma ambako bado hawajapata fursa za huduma ya elimu ya juu.
 
Hoja yake ni rahishi kuilewa. Kifupi yale majengo waliyajenga wajerumani na design walizotumia ni kama za kwao Ujerumani. Na popote pale kwenye majengo ya Wajerumani wanajitahihi sana kuyafaninisha na ya kwao Ujerumani. Nenda Peramiho, Ndanda, Kigonsera, Likonde na penginepo utaona huko kufanana. Kwa hiyo usibishe tu madamu unabisha.

Wazo ni zuri sana la kuichukua Tosamaganga Secondary lakini, kanisa linazingatia sana mgawanyo wa elimu sawa kwa watanzania wote. Mfano Iringa tayari chuo kipo na kinaendelea vizuri. Msisitizo sasa ni Mikoa ya Singida, Dodoma, Lindi, Mtwara, Sumbawanga na Kigoma ambako bado hawajapata fursa za huduma ya elimu ya juu.

Mbona vipo vingi tu huko??
 
Mkuu,pale bado wanamgogoro na jengo moja hivi lipo katikati ya tosa na ile shule ya msingi ya wasichana nimeisahau jina lake,serikali imegoma kuwarudishia jengo moja tu unadhani wanaweza kuwarudishia yote?.....
kwa majengo yako bomba sana ila kupafanya chuo bado wawaache vijana wa sekondari tu waendelee kutesa Ipamba!.....

shule ya wasichana, unazungumzia Lyalamo? Coz ndo ilyopo karibu.
Majengo yale yalijengwa na wajerumani na ndo maana ukija Peramiho, Ndanda, kigonsera na kwingineko ambako Mjerumani alipita utaona majengo yanafanana sana.
Nafikiri maaskofu wanasikia ingawa chuo tayari kipo may be wanaweza fikiri another options. Lakini wakitaka waanze kurudisha majengo yao serikali itabaki masikini zaidi, na hawa wezetu ndo watapiga kelele mpaka mapovu yawatoke mdomoni. Sema serikali inayamissuse sana majengo yaliyojengwa na kanisa katoliki any sijui ya madhehebu mengine coz sijaona ninayoyaona mengi ni ya RC
 
shule ya wasichana, unazungumzia Lyalamo? Coz ndo ilyopo karibu.
Majengo yale yalijengwa na wajerumani na ndo maana ukija Peramiho, Ndanda, kigonsera na kwingineko ambako Mjerumani alipita utaona majengo yanafanana sana.
Nafikiri maaskofu wanasikia ingawa chuo tayari kipo may be wanaweza fikiri another options. Lakini wakitaka waanze kurudisha majengo yao serikali itabaki masikini zaidi, na hawa wezetu ndo watapiga kelele mpaka mapovu yawatoke mdomoni. Sema serikali inayamissuse sana majengo yaliyojengwa na kanisa katoliki any sijui ya madhehebu mengine coz sijaona ninayoyaona mengi ni ya RC
yap ni kweli kaka hiyo shule nimaanisha Lyalamo,nashukuru kwa kunikumbusha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom