Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
KWA WALIOSOMA TOSA, au wale ambao wameshafika, majengo yake ni mazuri sana, kwanza ukiondoa yale mabati ya juu, ukapiga vigae vya udongo vyekundu, nyumba zile zinafanana sana na nyumba za desturi za ujengaji wa ulaya. majengo yale yalifananishwa kabisa na yale ya ulaya....ni pazuri sana.
kwanini wakatoliki msiombe shule hii iliyokuwa yenu irudishwe kwenu kama ilivyorudishwa ile ya Mazengo, ili muweke chuo kikuu pale? sisi tunawaaminia....eneo lile ni zuri sana, alafu sio mbali saana na mjini iringa......mapadri na maaskofu mko wapi?
kwanini wakatoliki msiombe shule hii iliyokuwa yenu irudishwe kwenu kama ilivyorudishwa ile ya Mazengo, ili muweke chuo kikuu pale? sisi tunawaaminia....eneo lile ni zuri sana, alafu sio mbali saana na mjini iringa......mapadri na maaskofu mko wapi?