Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,496
- 19,332
Tunatumia dola za kimarekani kwa vile hatuna fedha zetu wenyewe, au tumeshindwa kutunza fedha zetu.
Ni kama ambavyo Zimbabwe walivyoshindwa kutunza fedha zao na wakaamua kutumia dola za kimarekani hata katika kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali. Huu ni ujinga kweli kweli kwa taifa lililo huru kwa miaka 50!
Mwaka 1999, China ilifikisha miaka 50 ya uhuru wake, na mwaka 1997 India nayo ilifikisha miaka 50 ya uhuru wake. Je Tanzania ya leo inalingana na China ya mwaka 1999 au India ya mwaka 1997?
Ni kama ambavyo Zimbabwe walivyoshindwa kutunza fedha zao na wakaamua kutumia dola za kimarekani hata katika kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali. Huu ni ujinga kweli kweli kwa taifa lililo huru kwa miaka 50!
Mwaka 1999, China ilifikisha miaka 50 ya uhuru wake, na mwaka 1997 India nayo ilifikisha miaka 50 ya uhuru wake. Je Tanzania ya leo inalingana na China ya mwaka 1999 au India ya mwaka 1997?