Nicazius
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 143
- 17
Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la viongozi wa serikali wasiojua nini wanafanya na wala hawana upeo na nini kifanyike kuleta maendeleo badala yake wamekuwa ni watu wa kulalamika kila kukicha bila kujenga hoja.
Mfano: Mbunge mmoja ametoa comment hii kwenye facebook:
Nanukuu
"Hivi ni kweli CHADEMA hawajui sababu za ukweli za mfumuko wa bei Tanzania? Kwa nini wameamua kuzunguka nchi nzima wakitafuta umaarufu wa bei chee kwa ku-take advantage ya uchumi mbovu wa kidunia? Napata wasiwasi kama watu hawa hawajui sababu na miongoni mwao kuna wabunge 'makini! ' Au wamekumbwa na upofu wa kutafuta umaarufu kwa gharama yoyote ile?"
Mwisho wa kunukuu.
Hivi mtu kama huyu, tena mbuge aliyesoma anaweza kulisaidia vipi jimbo lake kuleta maendeleo ikiwa kama upeo wake wa kufikiria na kiasi hiki, na kama wabunge wasomi ndiyo wapo hivi Je wale ambao hawajasoma kabisa watakuwa vipi na ndiyo wanatuwakirisha katika chombo muhimu kama bunge, nashindwa kuelewa nabaki nachanganyikiwa kabisa.
Ndugu zangu JF hebu nisaidieni kumsaidia Mhe. wetu ili aweze kubadirika na kuwasaidia wananchi wake.
Mfano: Mbunge mmoja ametoa comment hii kwenye facebook:
Nanukuu
"Hivi ni kweli CHADEMA hawajui sababu za ukweli za mfumuko wa bei Tanzania? Kwa nini wameamua kuzunguka nchi nzima wakitafuta umaarufu wa bei chee kwa ku-take advantage ya uchumi mbovu wa kidunia? Napata wasiwasi kama watu hawa hawajui sababu na miongoni mwao kuna wabunge 'makini! ' Au wamekumbwa na upofu wa kutafuta umaarufu kwa gharama yoyote ile?"
Mwisho wa kunukuu.
Hivi mtu kama huyu, tena mbuge aliyesoma anaweza kulisaidia vipi jimbo lake kuleta maendeleo ikiwa kama upeo wake wa kufikiria na kiasi hiki, na kama wabunge wasomi ndiyo wapo hivi Je wale ambao hawajasoma kabisa watakuwa vipi na ndiyo wanatuwakirisha katika chombo muhimu kama bunge, nashindwa kuelewa nabaki nachanganyikiwa kabisa.
Ndugu zangu JF hebu nisaidieni kumsaidia Mhe. wetu ili aweze kubadirika na kuwasaidia wananchi wake.