FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,809
- 109,087
kinachonitatiza ni kimoja tu!kwa nini serikali haifanyi maamuzi?kama kuwahukumu madaktari kifo basi ifanye hivyo sasa au kama ni kutekeleza mahitaji yao na iwe hivyo sasa na sio na kuendelea na danadana wakati watu wanateseka.
Wahukumiwe mara ngapi, au hujamsikia Pinda?