Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Hahaa! That sounds like you gonna spank the stars out of her!! Hampigi kumbe mnapiga!
We unaonekana mtu wa bara tu..he he he..
Sisi twachapa lakini na uchelewa..teh teh teh..
Hahaa! That sounds like you gonna spank the stars out of her!! Hampigi kumbe mnapiga!
Tanzani 1 pamoia na mambo mengi kuzungumzia hata hay ya Tina ni mambo ya kujadili kama kwako hayana umhimu kwa wenzio yana umhimu uhuru wa mawazo ni muhimuNadhani aliyoyatoa sister Tina yanawawakilisha watu wengi tofauti tofauti. Labda ni utenzi fulani hivi.
KILA KITU KINA MAHALI PAKE NDUGU...
UFISADI NA FORUM YA MAHUSIANO, MAPENZI, URAFIKI NI WAPI KWA WAPI! UMEKOSEA NJIA, NDUGU!
- Wananipenda wakati nikiwa mzima nikiugua kidogo huanza kutoweka.
- Wananipendea uzuri wa sura na sauti yangu hawajui naweza kupata ajali nikapoteza reception hiyo na sauti ikawa ya kukoroma.
- Wanaangalia bambataa langu hawajui mwenyewe naona kero kwa kugeukiwa kila mara (wataweza kuvumilia nikitembea nao barabarani nikiangaliwa na wenzao?)
- Wanapenda waonje bila harusi, hawajui kuwa sina muda mchafu huo tena.
- Wanakuja kwa gia ya kudai bila mimi maisha hayaendi japo nimekutana nao wakiwa wanaishi vema tu.
- Wanadai mi mpole na mkarimu nafaa kuwa mke lakini wanasahau kuwa hivyo si vigezo vya mke bora.
- Wanadai niko mchangamfu na mwenye kuwa na haiba bila kujiuliza kama nikiwa nao watakubali kusikia wenzao wakinisifia hivi.
- Hawako wakweli, hata kama waliwahi kutembea na 'wenzangu' zaidi ya 20 wataniambia mimi ndiye wa tatu hiviiii
- Wanadai mimi ni msomi na naenda na wakati wakati si kipimo cha mapenzi katika ndoa.
- Wananipa ahadi kibao hata zisizoweza kutimilika kwa akili ya kibinadamu ili mradi niwaone bab kubwa.
- Wanadai wananipenda sana na nikiwambia nimeathirika wengi husahau hata kuniuliza nini kimeniathiri.
- Wengi wa habari, kila nikiwa nao naona wanageuka pindi 'wenzangu' wanapopishana nasi.
Sijui kina nani hawa? Wewe mmojawapo? Basi hunifai pia
- Wananipenda wakati nikiwa mzima nikiugua kidogo huanza kutoweka.
- Wananipendea uzuri wa sura na sauti yangu hawajui naweza kupata ajali nikapoteza reception hiyo na sauti ikawa ya kukoroma.
- Wanaangalia bambataa langu hawajui mwenyewe naona kero kwa kugeukiwa kila mara (wataweza kuvumilia nikitembea nao barabarani nikiangaliwa na wenzao?)
- Wanapenda waonje bila harusi, hawajui kuwa sina muda mchafu huo tena.
- Wanakuja kwa gia ya kudai bila mimi maisha hayaendi japo nimekutana nao wakiwa wanaishi vema tu.
- Wanadai mi mpole na mkarimu nafaa kuwa mke lakini wanasahau kuwa hivyo si vigezo vya mke bora.
- Wanadai niko mchangamfu na mwenye kuwa na haiba bila kujiuliza kama nikiwa nao watakubali kusikia wenzao wakinisifia hivi.
- Hawako wakweli, hata kama waliwahi kutembea na 'wenzangu' zaidi ya 20 wataniambia mimi ndiye wa tatu hiviiii
- Wanadai mimi ni msomi na naenda na wakati wakati si kipimo cha mapenzi katika ndoa.
- Wananipa ahadi kibao hata zisizoweza kutimilika kwa akili ya kibinadamu ili mradi niwaone bab kubwa.
- Wanadai wananipenda sana na nikiwambia nimeathirika wengi husahau hata kuniuliza nini kimeniathiri.
- Wengi wa habari, kila nikiwa nao naona wanageuka pindi 'wenzangu' wanapopishana nasi.
Sijui kina nani hawa? Wewe mmojawapo? Basi hunifai pia
- Wananipenda wakati nikiwa mzima nikiugua kidogo huanza kutoweka.
- Wananipendea uzuri wa sura na sauti yangu hawajui naweza kupata ajali nikapoteza reception hiyo na sauti ikawa ya kukoroma.
- Wanaangalia bambataa langu hawajui mwenyewe naona kero kwa kugeukiwa kila mara (wataweza kuvumilia nikitembea nao barabarani nikiangaliwa na wenzao?)
- Wanapenda waonje bila harusi, hawajui kuwa sina muda mchafu huo tena.
- Wanakuja kwa gia ya kudai bila mimi maisha hayaendi japo nimekutana nao wakiwa wanaishi vema tu.
- Wanadai mi mpole na mkarimu nafaa kuwa mke lakini wanasahau kuwa hivyo si vigezo vya mke bora.
- Wanadai niko mchangamfu na mwenye kuwa na haiba bila kujiuliza kama nikiwa nao watakubali kusikia wenzao wakinisifia hivi.
- Hawako wakweli, hata kama waliwahi kutembea na 'wenzangu' zaidi ya 20 wataniambia mimi ndiye wa tatu hiviiii
- Wanadai mimi ni msomi na naenda na wakati wakati si kipimo cha mapenzi katika ndoa.
- Wananipa ahadi kibao hata zisizoweza kutimilika kwa akili ya kibinadamu ili mradi niwaone bab kubwa.
- Wanadai wananipenda sana na nikiwambia nimeathirika wengi husahau hata kuniuliza nini kimeniathiri.
- Wengi wa habari, kila nikiwa nao naona wanageuka pindi 'wenzangu' wanapopishana nasi.
Sijui kina nani hawa? Wewe mmojawapo? Basi hunifai pia
Maneno matupu hayo!
Hakuna mwanamke mwenye ujanja kwa mwanaume ukinikataa mm utamkubalia mwenzangu km mm kwa hiyo hapo hujakwepa kitu.