Kwanini sisi Waafrika ni Masikini?

Mungu aliumba ulaya baridi, na akawapa matunda machache ya baridi. Udongo usio na rutuba,hakuna hata mbuga moja ya Wanyama. Kisha akaumba Africa yenye kila kitu kizuri. Mbuga za wanyama kibao, udongo safi maziwa na gesi, maembe yapatikane tu Africa ulaya yasiwepo,madini kila aina.kisha wazungu eakamnungunikia Mungu why unaupendeleo. Bwana akajibu waacheni MTAONA VIONGOZI WAO. Kazi kweli asiye na akili ila tumbo.
 
mi naona hata huko ulaya na marekani tangia waachane na mungu mambo yao yanaenda ovyo...wakati walioanza kumpokea mungu juzi juzi kama china (inatabiriwa kuja kuwa na waumini wengi wa kikristo kuliko nchi yoyote) mambo yao safi...putin karudisha kanisa urusi coincidentally influence ya russia imeanza kurudi and he is named the most powerful man in the world....ulaya imebaki historia na ujerumani tu..

hapo umedanganya umma kaka! kiufupi comment yako umedanganya
 
Tutajitetea sana na issue ya bara la africa, nitanue mjadara, nchi kama Haiti, Jamaica n.k hazipo bara la Africa lakini kwanini nazo ni masikini!? Well hata huko Marekani, maeneo yanayokaliwa na Waafrika na yenyewe ni masikini, Zimbabwe (ipo Afrika) ilipofukuza wazungu tu, njaa na shida mbalimbali zikagusa nchi hiyo? Kuna nini na sisi Waafrika!?

Hapo sasa Mkuu, Maana hata Ukisema ukoloni kuna nchi hazikutawaliwa mf Ethiopia. Lakini duh.
 
ukoloni na utumwa zimeweka afrika nyuma bila shaka. Pia mwalimu Nyerere, kwa maoni yangu, amekosa kidogo kwa itikadi yake. Aliamini sana kwa uchumi ya ujamaa. Uchumi hauwezi kuongezeka katika mfumo ya ujamaa. Inabidi uchumi ufunguliwe kwa dunia, ingawa sio kabisa na kwa namna ya kulinda maslahi ya wananchi. Ukiangalia Afrika kusini na nchi zinginezo utaona vile sehemu ya afrika imeendelea vizuri. Vile wengine wameshasema, uzalendo utasaidia sana - Ndio huu Nyerere ameukuza sana katika nchi yake. Mwishowe mjivunie kuwa wafrika. Mimi sio mfrika lakini mara kwa mara nashtuka vile wafrika hawajivunii, yani wanataka kuiga wazungu na utamaduni wake lakini kazi ngumu sana katika mazingira maskini.
 
Kwa mujibu wa MWALIMU ili tuendelee tunahitaji mambo 4.....
1. Ardhi
2. Watu
3. Siasa safi
4. Uongozi bora
Kwa maoni yangu tuna miss namba 4 zaidi na pengine namba 3
 
Jibu unalo katika sentensi yako ya kwanza kabisa.

Mungu.

Kuamini mungu ndiko kunatufanya tuwe masikini. Wakati wenzetu wamemtumia mungu kwa sababu zao za kisiasa na ili kutajirika, sisi tunaamini kweli kweli.

Of course ukiamini mungu unaamini katika msaada na kuomba, ukiamini katika msaada na kuomba huwezi kutajirika.

Mhhhh sio kweli
 
Ni human nature, sisi binadamu ni mammalian tupo group moja na mbwa,nimechagua mbwa mfano uwe rahisi, mbwa wapo wa aina tofauti kuna Wakali,wenye akili, waoga na wengine akili hamna,

unachoweza fanya ni kuwachanganya wale waoga na akilindogo na wale mbwa wakali na akili hivyo wata adapt zile tabia, lakini hiyo haiwaondolei nature yao ya uoga hiyo ni dog nature,nature ipo tu

na binadamu ni hivyohivyo hatufanani kuanzia physical appearance mpaka internally, angalia mzungu,mhindi,muafrika,mchina nakadhalka hatufanani why? na hai ishii hapo Kwenye appearance tu mpaka internally thinking capacity zina differ ,human nature hiyo

na ushaidi upo wazi tu angalia kila mtu ana territory yake, sasa angalia kila mmoja anachokifanya jibu unalo, hiyo ndio thinking capacity ya hao watu na ndio human nature ni ukweli mchungu ,

mwanasayansi robert Watson anasema namnukuu, sisi wazungu tunafanya makosa makubwa tunapokaa na mwafrika na ku discuss matatizo ya dunia yetu tukiamini akili zetu na zao ziko sawa. mimi nimemuelewa sijui wenzangu
 
Ni human nature, sisi binadamu ni mammalian tupo group moja na mbwa,nimechagua mbwa mfano uwe rahisi, mbwa wapo wa aina tofauti kuna Wakali,wenye akili, waoga na wengine akili hamna,

unachoweza fanya ni kuwachanganya wale waoga na akilindogo na wale mbwa wakali na akili hivyo wata adapt zile tabia, lakini hiyo haiwaondolei nature yao ya uoga hiyo ni dog nature,nature ipo tu

na binadamu ni hivyohivyo hatufanani kuanzia physical appearance mpaka internally, angalia mzungu,mhindi,muafrika,mchina nakadhalka hatufanani why? na hai ishii hapo Kwenye appearance tu mpaka internally thinking capacity zina differ ,human nature hiyo

na ushaidi upo wazi tu angalia kila mtu ana territory yake, sasa angalia kila mmoja anachokifanya jibu unalo, hiyo ndio thinking capacity ya hao watu na ndio human nature ni ukweli mchungu ,

mwanasayansi robert Watson anasema namnukuu, sisi wazungu tunafanya makosa makubwa tunapokaa na mwafrika na ku discuss matatizo ya dunia yetu tukiamini akili zetu na zao ziko sawa. mimi nimemuelewa sijui wenzangu

Sasa inakuwaje waafrika wengine wanaweza kufanya vizuri?

Una uelewa wa kiasi gani kuhisu masuala ya genetics na baiolojia ya binadamu?

Unaweza kujadili kisayansi na sio kiushabiki?
 
Mimi naamini waafrika sisi sio masikini ila wengi wana ugonjwa unaitwa inferiority complex. Wanashindwa kujiamini. Kwa sababu ukiangalia wapo waafrika na wanafanya vizuri. Wana skills. Mfano Kenya wametop China juzi, Dunia inaongozwa na mtu mwenye genetics kutoka Afrika, Dangote, Mengi nk.

Sasa kutokana na inferiority complex tunashindwa ku elewa hii philosophy ya "survival of the fittest" na kuifanyia kazi positively.

Pia kutokana na inferiority complex unakuta wanaanguakia uchawi na mambo mengineyo. Uoga mbaya sana.

uoga na kukata tamaa ni mbaya sana.
 
Sasa inakuwaje waafrika wengine wanaweza kufanya vizuri?

Una uelewa wa kiasi gani kuhisu masuala ya genetics na baiolojia ya binadamu?

Unaweza kujadili kisayansi na sio kiushabiki?

Ndio maana nilitoa mfano wa mbwa iwe rahisi,waafrika wanaofanya vizuri ni wale wanao adopt Kama nilivyosema kwenye mbwa lakini nature yake ipo tu,

Sina uelewa wowote kuhusu genetic na baiologia ya binadamu zaidi ya logic tu, na ndio maana niliuliza why binadamu tunatofautiana hata kwa rangi na miili physical appearance, kwanini kuna black people, white people wengine black eye, blue, brown hizi tofauti zote haziwezi kuwa useless au urembo tu,na nikaogezea kwamba hii inaenda mpaka ndani kwenye ubongo, thinking capacity hatuko sawa na mfano nikatoa angalia hao binadamu kila mmoja anavyoishi katika mazingira yake huo ndio mfano hai ,hii ni logic tu,sasa Kama wewe unauelewa wa genetic na baiologia basi tueleze inakuwaje, hakuna ushabiki hapo jombaa!

Kisayansi Siwezi kujadili mimi sio mwanasayansi wewe Kama una facts shusha tu tutaenda sawa
 
ni kwa sababu tunaongozwa na viongozi wengi wao wakiwa ni maskini wa fikra ila matajiri wa mali na sisi kwa umasikini wetu tunawapigia kura kwa kuwa tunakuwa sawa na bidhaa zipangwazo kwa mafungu sokoni.
 
Ndio maana nilitoa mfano wa mbwa iwe rahisi,waafrika wanaofanya vizuri ni wale wanao adopt Kama nilivyosema kwenye mbwa lakini nature yake ipo tu,

Sina uelewa wowote kuhusu genetic na baiologia ya binadamu zaidi ya logic tu, na ndio maana niliuliza why binadamu tunatofautiana hata kwa rangi na miili physical appearance, kwanini kuna black people, white people wengine black eye, blue, brown hizi tofauti zote haziwezi kuwa useless au urembo tu,na nikaogezea kwamba hii inaenda mpaka ndani kwenye ubongo, thinking capacity hatuko sawa na mfano nikatoa angalia hao binadamu kila mmoja anavyoishi katika mazingira yake huo ndio mfano hai ,hii ni logic tu,sasa Kama wewe unauelewa wa genetic na baiologia basi tueleze inakuwaje, hakuna ushabiki hapo jombaa!

Kisayansi Siwezi kujadili mimi sio mwanasayansi wewe Kama una facts shusha tu tutaenda sawa

Umeandika kwamba huna uelewa wowote kuhusu genetics na baiolojia ya binadamu.

Then acha kuandika vitu usivyoelewa.

Ukifuata logic tu unaweza kubishana na watu wanaosema dunia ni mviringo kwa sababu kwa mujibu wa logic yako fupi kibaraza chako kinaonekana kiko flat.

Wewe unasema huna uelewa wowote kuhusu genetics na baiolojia ya binadamu halafu unataka ku judge akiki za watu jwa kuangalia rangi ya ngozi?

Wewe unayepima akiki za watu kwa kuangaloa rangibya ngozi bila kukia chochote kuhusu baiolojia au genetics una akili kweli?
 
Umeandika kwamba huna uelewa wowote kuhusu genetics na baiolojia ya binadamu.

Then acha kuandika vitu usivyoelewa.

Ukifuata logic tu unaweza kubishana na watu wanaosema dunia ni mviringo kwa sababu kwa mujibu wa logic yako fupi kibaraza chako kinaonekana kiko flat.

Wewe unasema huna uelewa wowote kuhusu genetics na baiolojia ya binadamu halafu unataka ku judge akiki za watu jwa kuangalia rangi ya ngozi?

Wewe unayepima akiki za watu kwa kuangaloa rangibya ngozi bila kukia chochote kuhusu baiolojia au genetics una akili kweli?

Mtu akisoma nilicho andika mimi na hiki ulicho andika wewe ni wewe ndio huna akili, jibu hoja mimi hoja yangu ipo hapo ubaoni tena kwa zalau nimekwambia hiyo ni logic tu,nikisubili hayo ma genetics yako nione kumbe huna cha genetic wala nini,hawa watu wote waliopost humu wanajua genetics ?wewe shusha hizo genetics zako tuone, umepewa logic tu ushapoteza mwelekeo, Kama huwezi kujadili hapa fungua thread yako Waite wenzako mliosoma genetics mjadili genetics zenu kenge we!
 
Mtu akisoma nilicho andika mimi na hiki ulicho andika wewe ni wewe ndio huna akili, jibu hoja mimi hoja yangu ipo hapo ubaoni tena kwa zalau nimekwambia hiyo ni logic tu,nikisubili hayo ma genetics yako nione kumbe huna cha genetic wala nini,hawa watu wote waliopost humu wanajua genetics ?wewe shusha hizo genetics zako tuone, umepewa logic tu ushapoteza mwelekeo, Kama huwezi kujadili hapa fungua thread yako Waite wenzako mliosoma genetics mjadili genetics zenu kenge we!

Umeandika hujui genetics wala baiolojia, halafu unataka kujadili akili ya binadamu kwa kuangalia rangi ya ngozi tu, siyo?
 
Back
Top Bottom