Kwanini sisi Waafrika ni Masikini?

Afrika kuwa moja hata Nyerere alishasema haiwezekani sababu ya tofauti nyingi Nyerere alitoa hoja kuwa afrika inaweza kuungana kwa makundi yanayofanana mfano Tanzania Kenya na Uganda zikawa nchi moja, Malawi, Zambia na Zimbabwe zikawa nchi moja, Congo Kinshasa, Congo Brazaville na Gabon zikawa nchi moja, Ethiopia, Somalia, Djibout na Eriteria zikawa nchi moja, Misri, Algeria, Tunisia, Libya na Morocco zikawa nchi moja. South Africa, Lethoto, Swaziland na Namibia zikawa nchi moja. Orodha ni ndefu kiini cha kusema haya Nyerere alinena kuwa kuna tofauti kubwa tano ya Kwanza weupe wa kaskazini yaani waarabu dhidi ya weusi wa kusini weupe wale watataka wao ndio wawe watawala, sababu ya pili kuna nchi za kuzungumza kiingereza na nchi za kuzungumza kifaransa kila kundi litataka kushika madaraka, sababu ya tatu kuna wa kaskazini wengi ni waislamu na wa kusini wengi ni wakristo, sababu ya nne wakati huo kulikuwa na nchi za kibepari na kijamaa na sababu ya tano kulikuwa na nchi zinazotawaliwa kijeshi na zile zinatawaliwa na serikali za kiraia hizi sababu mbili kwa sasa si tatizo ila zile tatu za mwanzo bado zinasimama na ni kikwazo kikubwa tunachoweza kufanya ni kuungana kwa makundi na kuwa na nchi saba au nane Afrika zenye sauti badala ya 51 za sasa

Hata ukifanya utafiti, wanainchi wa Morocco, Libya, Tunisia, Algeria..hawako proud sana kujiita waafrica (labda kidoogo Misri)
 
Umaskini wa waafrica ni wa kujitakia. Waafrika tuko wavivu sana kuliko maelezo. Kujilisha tu shida, unadhani kuna mtu atafikiria kutengeneza baiskeli wakati njaa inauma? Tuache uvivu, tupige kazi tujikwamue kutoka kwenye lindi la umaskini. Kusingizia ukoloni si sahihi kwani wazungu wanamzidi nani akili? Sote tu na akili sawa, isipokuwa za kwetu tunazitumia kufikiria tumbo zetu kwani njaa inatuuma kila wakati kutokana ulofa wetu wakati wao hawafikirii njaa, wabafikiri wataendekeaje kuishi maisha ya neema..

njia nyepesi na rahisi ni kupiga kazi, kuwa na ziada na na kuendeleza ziada hiyo kwa vizazi na vizazi.
 
Well said mkuu, Nimepata bahati ya kufanya kazi na wenzetu wanangu. Dah,jamani. Wanapiga kazi, halafu hata issue mdogo ambayo ambayo kubongo bongo tungemezea waibua na ku deal nayo mpaka inakamilika! Very focused! Kikao saa mbili mbongo anatinga saa tatu! Wapi na wapi! Halafu tunalalamika mara serikali mara Chama. Uwezo wa akili tunao lakini hatuna consistence katika kufanya vizuri. Tunaridhika haraka sana na pesa kidogo!
 
Najiuliza hivi Mungu kajificha au? Maana kwa sasa watu wamekuwa wakimpuuza wazi wazi lakini haoneshi kukasirishwa na hili watu wamekuwa wakipingana na vitabu vyake mfano ndoa za jinsia moja na mengine kibao.

Lakini mambo ya kumkataa na kumdharau Mungu yapo zaidi katika mataifa endelevu yenyewe yametoa kichwani dhana ya kuwa Mungu ndio mpangaji na chochote kinachotokea ni plan zake.

Maisha katika mataifa haya ni bora kabisa, mfano America. Kwanini sisi tunaomjua sana na kumuogopa Mungu Afrika bado masikini wa kutupwa? Hivi unaweza kuwa mjuzi na muweza wa yote halafu mtu akudharau au kukupuuza bado umbariki?

Kwanini usimuadhibu ili kujidhihirishia kuwa wewe ndo Alpha na Omega?!
 
Mkuu wa Anga hili Sio Mungu..mwenye fedha na Mali na fahari zote ni shetani..God is the owner but kashetani Ndo karuler..Mungu anaona vyote na trust me Mungu anatupenda Afrika..naomba uanze kuhesabu maafa mangapi yanatokeaga Uko unakosema kumeendelea ambazo Sisi maskini hatujawahi gusa..tafakari mwenyewe naomba nsianze mahubiri apa bt I hope u got wat am tryng to deliver
 
Wewe unataka kuchokoza watu na hadithi zako za kale. Kwanza unawadharau Waafrika na wewe umo. Kabla ya kuja kwa hao wageni Wazungu na Waarabu kulikuwa hakuna miungu?

MUNGU ni cheo, sasa kabla hujaja ndio katiririke uje na MUNGU yupi
  • Mungu wa kigogo Mulungu wa mababu zet?
  • Mungu wa kibaniani ( wanaoabudu pia ng'ombe)
  • Allah
  • Yesu
  • Yehova
  • Budha
  • nk
 
You hav to decide whether you abide in Him or not. If there's dark, why dont you believe that there is light too? The light that overcomes the darkness which is Jesus Christ. Fanya maamuzi mapema
 
Mkuu wa Anga hili Sio Mungu..mwenye fedha na Mali na fahari zote ni shetani..God is the owner but kashetani Ndo karuler..Mungu anaona vyote na trust me Mungu anatupenda Afrika..naomba uanze kuhesabu maafa mangapi yanatokeaga Uko unakosema kumeendelea ambazo Sisi maskini hatujawahi gusa..tafakari mwenyewe naomba nsianze mahubiri apa bt I hope u got wat am tryng to deliver

Umeandika point muhimu sana shetani ana miliki utajiri wa kidunia after all Africa si maskini ka watu walivo aminishwa wakiwa serious na kujirekebisha mapungufu yao tutaendelea vzuri tu.

Hao wanaojidai wameendelea kwa kuendekeza uchafu wa kishetani ambao ni against na Mungu. Ingawa tuna changamoto za hapa na pale lakini hili bara LA Africa limebarikiwa. Spiritually kwenye mabara yote isipokua Africa kote ni Giza totoro isipokua Africa ndo kuna mwanga.
 
Mkuu wa Anga hili Sio Mungu..mwenye fedha na Mali na fahari zote ni shetani..God is the owner but kashetani Ndo karuler..Mungu anaona vyote na trust me Mungu anatupenda Afrika..naomba uanze kuhesabu maafa mangapi yanatokeaga Uko unakosema kumeendelea ambazo Sisi maskini hatujawahi gusa..tafakari mwenyewe naomba nsianze mahubiri apa bt I hope u got wat am tryng to deliver

Ebola Ehh... Kweli Mungu Anatupenda
 
Ebola Ehh... Kweli Mungu Anatupenda

Mbna umeshkilia Ebola?? Ww ushapataga Ebola?? Nchi yako ishapata Ebola?? Ushawahi pata ma tornados mahuricanes maoverfreezing plz naomba usinpinge kwa hoja ambazo ww mwnyw wajua hazikugusi
 
Mkuu wa Anga hili Sio Mungu..mwenye fedha na Mali na fahari zote ni shetani..God is the owner but kashetani Ndo karuler..Mungu anaona vyote na trust me Mungu anatupenda Afrika..naomba uanze kuhesabu maafa mangapi yanatokeaga Uko unakosema kumeendelea ambazo Sisi maskini hatujawahi gusa..tafakari mwenyewe naomba nsianze mahubiri apa bt I hope u got wat am tryng to deliver

Haha we ubiri tu mkuu. Nimekuelewa sana
 
Hebu tukubali maneno ya mungu aliposema kuwa nitawafanya mafahari wa dunia na nitawaangamiza akhera..akimaanisha atawapa kila kitu wale wanaemkufuru Mungu na kuwapa wepesi kwa kila jambo watakalolifanya pia kwa wale wanaomuamini lazima atoe mitihani ili kupima imani na kiasi cha umwaminivyo
 
Maisha in the West sio bora ndugu, tena kwa mtu utakaetoka Africa kwenda kule ni balaa, Africa is blessed in deed ndio maana resources nyingi zinatoka huku, hukumbuki Cameron alivyosema tusipokubaliana na gay marriages hatupati mSaada na tukivyombadilikia tu akanyamaza mwnywe. kama sijakosea Malawi walimuambia watafungia makampuni yao yote, fungashia waondoke and wakapiga kimya.. Africa we are just beyond corrupt ndio shida yetu
 
Hebu tukubali maneno ya mungu aliposema kuwa nitawafanya mafahari wa dunia na nitawaangamiza akhera..akimaanisha atawapa kila kitu wale wanaemkufuru Mungu na kuwapa wepesi kwa kila jambo watakalolifanya pia kwa wale wanaomuamini lazima atoe mitihani ili kupima imani na kiasi cha umwaminivyo

kwanini awape mitihani kwani kuna mtu anapenda mambo yake yawe magumu?
 
Je wewe kwa akila zako unafikiri maendeleo ni kuiga walichofanya wengine au kubuni cha kwako kulingana na rasilimali ulizonazo?
 
mi naona hata huko ulaya na marekani tangia waachane na mungu mambo yao yanaenda ovyo...wakati walioanza kumpokea mungu juzi juzi kama china (inatabiriwa kuja kuwa na waumini wengi wa kikristo kuliko nchi yoyote) mambo yao safi...putin karudisha kanisa urusi coincidentally influence ya russia imeanza kurudi and he is named the most powerful man in the world....ulaya imebaki historia na ujerumani tu..
 
Back
Top Bottom