Nahitaji kuolewa,niwe na familia yangu nitulie kwangu lakin kila anaejitokeza anakuwa tayari ana mtu mwingine kitu ambacho mi sitaki,yaan nawaza mpaka ht nashindwa nifanyeje manake umri nao km unazidi kwenda,iam 25 now.
Mambo mazuri hayaitaji haraka just kuwa na subira. Pia nikutahadharishe tu usijejishau ukamtafuta mwanaume kwa njia ya mtandao utakuja kujuta maishani mwako
Nahitaji kuolewa,niwe na familia yangu nitulie kwangu lakin kila anaejitokeza anakuwa tayari ana mtu mwingine kitu ambacho mi sitaki,yaan nawaza mpaka ht nashindwa nifanyeje manake umri nao km unazidi kwenda,iam 25 now.