Jamani hili ni swali ambalo mimi binafsi huwa najiuliza! Miaka karibu yote sherehe za Muungano huwa zinafanyikia uwanja wa Taifa jijini Dar-es-salaam kama sikosei ila kama nimekosea mwenye ukweli wa jambo hili atujuze.
Hii nayo inaweza kuwa ni kero mojawapo ya Muungano?
Jamani hili ni swali ambalo mimi binafsi huwa najiuliza! Miaka karibu yote sherehe za Muungano huwa zinafanyikia uwanja wa Taifa jijini Dar-es-salaam kama sikosei ila kama nimekosea mwenye ukweli wa jambo hili atujuze.
Hii nayo inaweza kuwa ni kero mojawapo ya Muungano?
Jamani hili ni swali ambalo mimi binafsi huwa najiuliza! Miaka karibu yote sherehe za Muungano huwa zinafanyikia uwanja wa Taifa jijini Dar-es-salaam kama sikosei ila kama nimekosea mwenye ukweli wa jambo hili atujuze.
Hii nayo inaweza kuwa ni kero mojawapo ya Muungano?
Jamani hili ni swali ambalo mimi binafsi huwa najiuliza! Miaka karibu yote sherehe za Muungano huwa zinafanyikia uwanja wa Taifa jijini Dar-es-salaam kama sikosei ila kama nimekosea mwenye ukweli wa jambo hili atujuze.
Hii nayo inaweza kuwa ni kero mojawapo ya Muungano?
Karume ni baba wa Taifa la Mchambawima
Nawewe kuwa makini basi mbona unaona visiwani tu je sisi wa Ntwara na Lindi hatutaki hizo sherehe?