Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,014
- 957
Mpaka sasa bado najiuliza jinsi swala zima la jf kuchukuliwa kama blog ya hovyo hovyo.
Hili swala linaniumiza kichwa kidogo kitendo cha wabunge kuugua JFRISM uku wabunge wenye tiba wapo.
Sasa hii imaanisha nn?hata hao n active memba wa jf nao wameunga mkono harakati hizi?hii inaonesha wabunge wetu ambao ni memba wa jf hawapend kuambiwa ukweli.
Hili swala linaniumiza kichwa kidogo kitendo cha wabunge kuugua JFRISM uku wabunge wenye tiba wapo.
Sasa hii imaanisha nn?hata hao n active memba wa jf nao wameunga mkono harakati hizi?hii inaonesha wabunge wetu ambao ni memba wa jf hawapend kuambiwa ukweli.