Una ugomvi na salama?
kwa jay z c kweli coz ana bachelor of commerce,msomi mzuri kwenye masuala ya biashara!!!
Hapa unaejichanganya ni wewe unayeshindwa kutofautisha kati ya Elimu na vyeti, sijui kama Elimu unayoiongelea wewe ni hii ya hawahawa Degree holder wetu wa leo wanaoandikiwa Application letter na form Graduate? Hivi Bill Gates ana kipaji gani?
Msicomplicate sana maisha kila mtu ana style yake ya kutoka kimaisha, wewe unayejuwa umuhimu wa Elimu go ahead hujakatazwa maliza vyuo vyote hadi ukutane na chuo kilichoandikwa hapa mwisho.
Hii nimeipenda, pamoja na PhD zao wana-park gari pembeni akiwa anapita...
ghalib bilal nasikia ni mkali wa nyuklia, hajawahi kuunda hata kibatari.
Huyu binti amewashangaza wengi hasa ndugu zake kwa kitendo chake cha kukataa ushauri wa kwenda shule. Mtoto huyu mpemba
mwenye matusi, anahusudisha uhuni tu anajisahau kuwa ujana una mwisho, hivyo vipindi vyake vya hovyo itafika muda itabidi atolewe kwa kuwa ujana utakuwa umekwisha.
Familia kwa kuliona hili walimshauri aende shule akaongeze elimu zaidi, kwa sasa elimu yake ni Form IV Div 4 points 33. Ana elimu isiyopimika ya english course na hodari wa sigara zetu za Temeke.
Wadau, madam Ritta, na Master J mshaurini huyo bint azingatie ushauri wa familia yake.
umeongea la maana sana
kuzwaliwa mwanamke tayari fomu six
ujue kuchagua bwana tu, hata hiyo mi V8, sijui ford utaendesha.
Hivi hawamwoni Salma, ana degree ngapi na barabarani tunampisha?
Watu bwana mnacomplicate maisha kishenzi!! Mimi namuheshimu zaidi form 4 Failure aliyeprove kwamba kupambana kwenye maisha hakutegemei zaidi makaratasi na akatoka from zero to hero,Bado kama ni form failure haitafutika milele
Chuki binafsi amekataa kukusaga nini?