engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
karibia redio zote zinazo tangaza kwa lugha ya kiswahili zipo kenya,hii inamaanisha nini juu ya hii lugha yetu ya kiswahili?
sasa hata wachina wanaredio yao ya kiswahili ipo kenya,je lugha hii ya kiswahili mwanzo wake ni wapi?
Redio hii ina taarifa, habari, burudani za muziki, vipindi vya salamu na vipindi vingine vingi. Redio hii hurusha matangazo kwa saa nne kwa siku, asubuhi, kisha mchana sita hadi saba na mbili hadi nne usiku (wakati wa habari na salam huu).
hata watangazaji wake ni kutoka Kenya ambao hata kiswahili chenyewe hawajui,kunatatizo gani ktk nchi yetu?
Tovuti ya Radio China Kimataifa inapatikana katika anwani hii china radio international
sasa hata wachina wanaredio yao ya kiswahili ipo kenya,je lugha hii ya kiswahili mwanzo wake ni wapi?
Redio hii ina taarifa, habari, burudani za muziki, vipindi vya salamu na vipindi vingine vingi. Redio hii hurusha matangazo kwa saa nne kwa siku, asubuhi, kisha mchana sita hadi saba na mbili hadi nne usiku (wakati wa habari na salam huu).
hata watangazaji wake ni kutoka Kenya ambao hata kiswahili chenyewe hawajui,kunatatizo gani ktk nchi yetu?
Tovuti ya Radio China Kimataifa inapatikana katika anwani hii china radio international