Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,029
- 8,637
Komaa utapata ukuu wa wilayaWho are you kutaka kumuita rais wetu muongo? .
Jee kumuita rais ni muongo ni kosa la jinai la kumchonganisha na wananchi wake walimchagua kwa imani kubwa kufuatia ahadi hizo? .
Jee alipoahidi yote hayo, alitoa time frame?.
Acha kumuita rais muongo, ahadi zote zitatekelezwa tuu in due time hadi kufikia 2020 zitakuwa zimekamilika.
Pasco