Kwanini Rais aende Ulaya badala ya majimboni kwao akaone shida zao?

Safari za ulaya tulizokuwa tunakataa ni zile za kwenda kubembea na kukaa na kupigapiga mapicha na wasanii lakini safari chache za muhimu hazikwepeki kwa nchi kama hii.
Tatizo mkwere alishajenga taswira kuwa kwenda ulaya ni kutembeza bakuli la kuomba omba. Rais anaweza kusafiri kwenda kushinikiza hata biashara ya bidhaa zetu au kutafuta teknolojia mpya ambazo hatuna.
Lakini kujifanya hutoki eti unapambana hapa hapa ni sawa na mkulima wa Nanjilinji agomee kwenda Lindi mjini kisha mazao yake yanamuozea na soko liko mjini anagoma kwenda kisha umasikini unazidi kumtafuna.
Hao wanaosema atembelee majimboni hivi ni kipi asichokijua huko? Miaka 20 waziri na Mbunge hajajua tuu kukoje?
 
Bro hilo lofa tu lilikuwa ccm linamshabikia lowasa akiwa ccm alipoama likaondoka nae kwenda chadema kesho ukiona lowasa ameenda kuwa rais wa TFF bila shaka ataenda nae huko
So kijana asiye na falsafa ya kile anachokiamini ktk misha yake ni mzigo
USHAIDI angalia hata comment ZAKE utajua kichwani mwake kuna nini?
Nimekusoma bro, ni mtupu kabisa, hawa wanaitwa wapambe, wakipewa senti kidogo tu wanaanza kuongea kila siri wanayoijua, hopeless kabisa.
 
Ndgu usiangaike bure na hawa watu unafiki ni jadi yao bahati mbaya au nzuri tushawagundua kipindi cha uchaguzi.wanachokiongea always sio wanachokiamini
 
Safari za ulaya tulizokuwa tunakataa ni zile za kwenda kubembea na kukaa na kupigapiga mapicha na wasanii lakini safari chache za muhimu hazikwepeki kwa nchi kama hii.
Tatizo mkwere alishajenga taswira kuwa kwenda ulaya ni kutembeza bakuli la kuomba omba. Rais anaweza kusafiri kwenda kushinikiza hata biashara ya bidhaa zetu au kutafuta teknolojia mpya ambazo hatuna.
Lakini kujifanya hutoki eti unapambana hapa hapa ni sawa na mkulima wa Nanjilinji agomee kwenda Lindi mjini kisha mazao yake yanamuozea na soko liko mjini anagoma kwenda kisha umasikini unazidi kumtafuna.
Hao wanaosema atembelee majimboni hivi ni kipi asichokijua huko? Miaka 20 waziri na Mbunge hajajua tuu kukoje?
Ni siku 100 kwenye miaka mitano atakwenda lkn isiye ndo hoja ya msingi kwetu Obama amekuja afrika baada ya muda gani?
Na je mnajua kuwa asilimia 70% ya malighafi zinazoendesha viwanda ulaya zinatoka afrika mbona wao wakipata urais hawaji haraka afrika ,ni unyani wa kifikra unawasumbua vibaraka wa wazungu,
 
Bro kitila mkumbo alisema chini ya rais magufuli kuna wanasiasa kazi YAO itakuwa kama ya fisi kusubili mzoga adi kunakucha
Ndo wanasiasa wanavyofanya HAWANA jipya LA kusema kwa masila ya watanzania Bali wanasubili rais afanye kosa furani NDO wapate cha kusema,kwa hali hii utajua makosa tunayofanya kupata viongozi
==FURANI==
 
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh, hata ukikesha mtandaoni kazi ya udc hupati
Nilisha kwambia nafasi niliyonayo mungu akikujalia kuifikia kwa uwezo wako wa akili bro ukatoe shukrani ya kudumu ndani ya kanisa au msikiti
 
Ni siku 100 kwenye miaka mitano atakwenda lkn isiye ndo hoja ya msingi kwetu Obama amekuja afrika baada ya muda gani?
Na je mnajua kuwa asilimia 70% ya malighafi zinazoendesha viwanda ulaya zinatoka afrika mbona wao wakipata urais hawaji haraka afrika ,ni unyani wa kifikra unawasumbua vibaraka wa wazungu,
Asant kaka Kanone, boooonge la point, hao ni watumwa wa fikra.....aisee yule Mmawia kweli ni bwege, hana hoja inayoingia akilini hata moja.
 
Nilisha kwambia nafasi niliyonayo mungu akikujalia kuifikia kwa uwezo wako wa akili bro ukatoe shukrani ya kudumu ndani ya kanisa au msikiti
Hata nami nafasi yangu ukiijua utakaa kwenye matope
 
Kwenye mtandao ya kijamii na kwenye vijiwe na baadhi ya wanasiasa aswa wabunge wote kwa pamoja wamekuwa wakimtaka rais magufuli aende ulaya kwenye mikutano ya kimataifa lakini cha ajabu ambacho Mimi.sielewi
Kwanini sauti na midahalo hiyo haipazi sauti kumtaka rais aende MAJIMBONI kwao wakmuonyeshe shida za wapiga kura wao na wananchi kwa ujumla shida zinazowapata wananchi ili akazitafutie majibu ya kudumu,

Kipi ni cha muhimu kwa.masikini wa kitanzania rais wao kwenda ulaya au rais wao kwenda KUONA shida zao,?
Je watanzania tunajua kipi chenye faida ya mojakwamoja kwetu?

Ni lini fikra za kitumwa tutaondokana nazo aswa sisi waafrika?
mkuu labda wanaogopa asiende majimboni wakajikuta wanatumbuliwa,au wanataka aende mbali wapigaji waendelee kujipigia huku wakipumua kutumbuliwa.
Hata hivyo wana haraka gani na Rais kusafiri wakati muda bado upo mwingi tu,Rais hata miezi sita hajatimiza ofisini kwake mpeni muda apangilie mambo yake ili atutumikie,tusimpeleke puta.
 
Ni siku 100 kwenye miaka mitano atakwenda lkn isiye ndo hoja ya msingi kwetu Obama amekuja afrika baada ya muda gani?
Na je mnajua kuwa asilimia 70% ya malighafi zinazoendesha viwanda ulaya zinatoka afrika mbona wao wakipata urais hawaji haraka afrika ,ni unyani wa kifikra unawasumbua vibaraka wa wazungu,
Hiyo ulaya na afrika ni nani anamuhitaji Mwenzie zaidi?
Juzi tuu kipindupindu kimetaka kutumaliza lakini utakuta dawa za kutuponya zinatoka ulaya ambakowatu wake hawajui kipindupindu in nini. Jeuri haitasaidia
 
mkuu labda wanaogopa asiende majimboni wakajikuta wanatumbuliwa,au wanataka aende mbali wapigaji waendelee kujipigia huku wakipumua kutumbuliwa.
Hata hivyo wana haraka gani na Rais kusafiri wakati muda bado upo mwingi tu,Rais hata miezi sita hajatimiza ofisini kwake mpeni muda apangilie mambo yake ili atutumikie,tusimpeleke puta.
Mkuu kuna prof moja uwa namfatilia anaitwa p,l,o, lumuba ukimsikiliza utajua waafrika bado sana na kwanini bado hatujui tunataka nini na pia utumwa bado uliacha vidodo vikubwa sana akili mwetu ukiondoa kizazi kile kilichoona ukoloni,
 
Hiyo ulaya na afrika ni nani anamuhitaji Mwenzie zaidi?
Juzi tuu kipindupindu kimetaka kutumaliza lakini utakuta dawa za kutuponya zinatoka ulaya ambakowatu wake hawajui kipindupindu in nini. Jeuri haitasaidia
Akili za namna hii AMBAZO zinaamini pasipo wazungu hatuwezi kuishi naimani kizazi kijacho tukikiachia fikra hizo ipo siku utumwa utarudi
 
Raisi Kikwete akisafiri alikuwa akiongozana na wabunge wa upinzani katika msafara wake. Akiwa safari labda ya kukutana na makampuni ya utalii basi unakuta na waziri kivuli au mbunge wa upinzani naye anakuwemo. Kukiweko safari labda ya mambo yanayohusiana na mambo ya nchi za nje unakuta waziri kivuli wa upinzani au mbunge wa upinzani naye anakuwemo. Yaani misafara yake mingi nao walikuwemo

Sasa hivi wanalia njaa ndio maana unakuta wabunge Wa UKAWA wote wanalalamika kuwa Raisi Magufuli asafiri kwenda nje. Wanalalamika mno kuanzia bungeni, wakiwa kwenye vipindi vya vyombo vya habari. Lengo lao wanajua labda akianza safari na wao ataondoka nao

KIKWETE aliwaambia Mtanikumbuka nikiondoka. UKAWA wakabeza wakasema akukumbuke nani wewe kwenda zako! Sasa hivi wanalialia njaa hawana cha uzalendo wala nini ni njaa tu inawasumbua.

Magufuli akisafiri nje si tu asafiri safari zenye tija lakini asafiri na watu watakaoongeza tija kwenye hizo safari. Asisafiri na wauza sura wa UKAWA ambao wataishia kurudi na picha zilizojaa kwenye ALBUM ambazo wakirudi watashinikiza zionyeshwe TBC zikionyesha walivyokuwa mitaa mbali mbali ulaya na marekani nk wakila bata.
 
Back
Top Bottom