Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Ukiangalia matokeo ya kidato cha nne mwaka huu kama ilivyo miaka iliyopita private candidates wengi wamedondokea kwenye division Four na Zero. Miaka ya hivi karibuni binafsi nimeshuhudia wanafunzi wengi ambao ni private candidates kwa kidato cha nne na sita ( hasa kidato cha nne) wanafeli kwa kiwango cha kuhuzunisha.
Je, unadhani sababu ni nini? hawasomi ipasavyo? au usahihishaji wao unakuwa tofauti?
NB:
Binafsi sitaki kuamini kwamba wanafunzi hawa wana uwezo duni!!! ( mwenye kufahamu sababu ruksa kunisahihisha)
Je, unadhani sababu ni nini? hawasomi ipasavyo? au usahihishaji wao unakuwa tofauti?
NB:
Binafsi sitaki kuamini kwamba wanafunzi hawa wana uwezo duni!!! ( mwenye kufahamu sababu ruksa kunisahihisha)