Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Mimi sioni haja ya Rais na Marais wastaafu watatu (Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa) kuwepo pale. Kwani ni national issue? Au kwa lipi jema alilofanya Polycarp Kadinali Pengo? Upuuzii mtupu. Watu wa dini waendelee na mambo yao ya kiroho na wanasiasa waendelee na siasa ...
Umeshasema wastaafu. Hawana kazi wenzio. Sasa kuna ubaya gani wao kwenda kujiachia sehemu mbalimbali na tofauti? Wewe ulitaka wawe wapi?