Kwanini Patrick Rutabanzibwa (katibu mkuu wa ardhi) anaenda jela?

Ndugu zangu tutunze heshima ya kuitwa "Great Thinkers", kama humjui mtu usitende dhambi ya ushabiki na kuchafua hali ya hewa au kumsafisha asiyesafishika. Kwa wanaomfahamu PR na utumishi wake, Tanzania haina watumishi wengi waadilifu kama mtu huyu. Alipinga vikali IPTL, leo (miaka 17 baadaye) hata mtoto mdogo anajua ubaya wa dili la IPTL. Amefanya mengi mazuri kwa taifa hili, wewe nami hatuwezi. Kwanza ukikaa naye nusu saa unagraduate digrii ya kwanza.

Amesafisha Wizara ya Maji, kasafisha Wizara ya Mambo ya Ndani, na sasa anasafisha Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi. Akiwa Wizara ya Mambo ya Ndani, alishauri kuwa Mradi wa Vitambulisho ulivyobuniwa na wanaotakiwa kutunza usalama wa watu na mali zao utaiingiza Serikali kwenye kashfa nzito (wakamuhamisha) subiri kidogo uone madudu yajayo.

Huku aliko kakuta UFISADI PAPA WA ARDHI uliokubuhu kwa zaidi ya miongo minne. Huku kuna ka-mchezo ka kuuza viwanja vilivyopangwa kubaki kwa matumizi ya wazi. Kamchezo ako ni kati ya Mahakama, Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali na Mafisadi wa Ardhi na ni ka muda mrefu. Kwa mchezo huo, mafisadi huchukua maeneo rasmi ya wazi, wakipigwa stop na mamlaka husika (Kamishna wa Ardhi) hukimbilia Mahakama ya Ardhi kudai "settlement out of court" kwa kuwatisha watumishi wasiojiamini (au wala mlungula) kwamba wakikaidi watafungwa, ili hatimaye, Waheshimiwa wasio waaminifu watumie rungu la Nyumba inayoheshimiwa (Mahakama) kubariki DHULUMA KWA UMMA. Mabadiliko ya matumizi ya viwanja vya wazi hayawezi kufanywa kwa manufaa ya kikundi kidogo au mtu. Huu ni uvunjifu wa Sheria za Ardhi.Safari hii wamegonga mwamba wa kale (PR), hatishwi mtu, hafungwi mtu, na wala halipwi mtu. Wamechimba shimo, wataingia wenyewe. Hata majaji hawako juu ya sheria.

Ndugu zangu, watumishi wa ardhi wala rushwa na MAFISADI PAPA WA ARDHI, PR kawasambaratisha, baadhi yao naona wakichangi thread hii. Aidha, kumbuka anatafutwa KMK baada ya mzee wa sasa kustaafu na KM mtembeza bakuli kunyea kambi. Eti wanaangalia anayeweza kuwa KMK na kudhamiria kumharibia PR safari! Kama JK anataka kufanya usafi wa Serikali na kurejesha heshima amteue PR muone. Hata ule mtaji wa "POSHO" wa kambi fulani utakuwa kwishney! Anayemfahamu vizuri PR ni Padri Privanus Karugendo ambaye aliandika makala yenye mantiki, siku kumi zilizopita. Uliza ujuzwe.

Unamjua PR vizuri sana, umenena vyema
 
Ndugu zangu tutunze heshima ya kuitwa "Great Thinkers", kama humjui mtu usitende dhambi ya ushabiki na kuchafua hali ya hewa au kumsafisha asiyesafishika. Kwa wanaomfahamu PR na utumishi wake, Tanzania haina watumishi wengi waadilifu kama mtu huyu. Alipinga vikali IPTL, leo (miaka 17 baadaye) hata mtoto mdogo anajua ubaya wa dili la IPTL. Amefanya mengi mazuri kwa taifa hili, wewe nami hatuwezi. Kwanza ukikaa naye nusu saa unagraduate digrii ya kwanza.

Amesafisha Wizara ya Maji, kasafisha Wizara ya Mambo ya Ndani, na sasa anasafisha Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi. Akiwa Wizara ya Mambo ya Ndani, alishauri kuwa Mradi wa Vitambulisho ulivyobuniwa na wanaotakiwa kutunza usalama wa watu na mali zao utaiingiza Serikali kwenye kashfa nzito (wakamuhamisha) subiri kidogo uone madudu yajayo.

Huku aliko kakuta UFISADI PAPA WA ARDHI uliokubuhu kwa zaidi ya miongo minne. Huku kuna ka-mchezo ka kuuza viwanja vilivyopangwa kubaki kwa matumizi ya wazi. Kamchezo ako ni kati ya Mahakama, Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali na Mafisadi wa Ardhi na ni ka muda mrefu. Kwa mchezo huo, mafisadi huchukua maeneo rasmi ya wazi, wakipigwa stop na mamlaka husika (Kamishna wa Ardhi) hukimbilia Mahakama ya Ardhi kudai "settlement out of court" kwa kuwatisha watumishi wasiojiamini (au wala mlungula) kwamba wakikaidi watafungwa, ili hatimaye, Waheshimiwa wasio waaminifu watumie rungu la Nyumba inayoheshimiwa (Mahakama) kubariki DHULUMA KWA UMMA. Mabadiliko ya matumizi ya viwanja vya wazi hayawezi kufanywa kwa manufaa ya kikundi kidogo au mtu. Huu ni uvunjifu wa Sheria za Ardhi.Safari hii wamegonga mwamba wa kale (PR), hatishwi mtu, hafungwi mtu, na wala halipwi mtu. Wamechimba shimo, wataingia wenyewe. Hata majaji hawako juu ya sheria.

Ndugu zangu, watumishi wa ardhi wala rushwa na MAFISADI PAPA WA ARDHI, PR kawasambaratisha, baadhi yao naona wakichangi thread hii. Aidha, kumbuka anatafutwa KMK baada ya mzee wa sasa kustaafu na KM mtembeza bakuli kunyea kambi. Eti wanaangalia anayeweza kuwa KMK na kudhamiria kumharibia PR safari! Kama JK anataka kufanya usafi wa Serikali na kurejesha heshima amteue PR muone. Hata ule mtaji wa "POSHO" wa kambi fulani utakuwa kwishney! Anayemfahamu vizuri PR ni Padri Privanus Karugendo ambaye aliandika makala yenye mantiki, siku kumi zilizopita. Uliza ujuzwe.

Mkuu unaweza kutujuza hii makala inapatikana kwenye gazeti gani? Shukran.
 
Si wampe zote kwa mpigo?
tena wamuongezee na viboko!

No research, no right to speak.... Unamjua Patrick Rutabanzibwa vizuri? Kukaa kimya kunasaidia kuliko kukurupuka tu kuchangia hoja, sijui mengi kuhusiana na sakata hili, lakini PR ni mtu safi sana na kama maamuzi hayo yamefika hapo, naamini alikuwa anatetea maslahi ya Umma. PR ni mtu makini sana na anafanyakazi zake kwa weledi na uadilifu wa hali juu.
 
I FAIL to understand,some say he is cleaner then white,some say he is a fisadi- which is which
wanaompinga wana chuki kwani amewabana sana mafisadi wa ardhi ingawa bado wanadunda kwa kuuza vocha mara mbili-mbili
 
Ndugu zangu tutunze heshima ya kuitwa "Great Thinkers", kama humjui mtu usitende dhambi ya ushabiki na kuchafua hali ya hewa au kumsafisha asiyesafishika. Kwa wanaomfahamu PR na utumishi wake, Tanzania haina watumishi wengi waadilifu kama mtu huyu. Alipinga vikali IPTL, leo (miaka 17 baadaye) hata mtoto mdogo anajua ubaya wa dili la IPTL. Amefanya mengi mazuri kwa taifa hili, wewe nami hatuwezi. Kwanza ukikaa naye nusu saa unagraduate digrii ya kwanza.

Amesafisha Wizara ya Maji, kasafisha Wizara ya Mambo ya Ndani, na sasa anasafisha Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi. Akiwa Wizara ya Mambo ya Ndani, alishauri kuwa Mradi wa Vitambulisho ulivyobuniwa na wanaotakiwa kutunza usalama wa watu na mali zao utaiingiza Serikali kwenye kashfa nzito (wakamuhamisha) subiri kidogo uone madudu yajayo.

Huku aliko kakuta UFISADI PAPA WA ARDHI uliokubuhu kwa zaidi ya miongo minne. Huku kuna ka-mchezo ka kuuza viwanja vilivyopangwa kubaki kwa matumizi ya wazi. Kamchezo ako ni kati ya Mahakama, Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali na Mafisadi wa Ardhi na ni ka muda mrefu. Kwa mchezo huo, mafisadi huchukua maeneo rasmi ya wazi, wakipigwa stop na mamlaka husika (Kamishna wa Ardhi) hukimbilia Mahakama ya Ardhi kudai "settlement out of court" kwa kuwatisha watumishi wasiojiamini (au wala mlungula) kwamba wakikaidi watafungwa, ili hatimaye, Waheshimiwa wasio waaminifu watumie rungu la Nyumba inayoheshimiwa (Mahakama) kubariki DHULUMA KWA UMMA. Mabadiliko ya matumizi ya viwanja vya wazi hayawezi kufanywa kwa manufaa ya kikundi kidogo au mtu. Huu ni uvunjifu wa Sheria za Ardhi.Safari hii wamegonga mwamba wa kale (PR), hatishwi mtu, hafungwi mtu, na wala halipwi mtu. Wamechimba shimo, wataingia wenyewe. Hata majaji hawako juu ya sheria.

Ndugu zangu, watumishi wa ardhi wala rushwa na MAFISADI PAPA WA ARDHI, PR kawasambaratisha, baadhi yao naona wakichangi thread hii. Aidha, kumbuka anatafutwa KMK baada ya mzee wa sasa kustaafu na KM mtembeza bakuli kunyea kambi. Eti wanaangalia anayeweza kuwa KMK na kudhamiria kumharibia PR safari! Kama JK anataka kufanya usafi wa Serikali na kurejesha heshima amteue PR muone. Hata ule mtaji wa "POSHO" wa kambi fulani utakuwa kwishney! Anayemfahamu vizuri PR ni Padri Privanus Karugendo ambaye aliandika makala yenye mantiki, siku kumi zilizopita. Uliza ujuzwe.
Thank you great thinker

Kuna kundi linamuogopa kwani alitabiriwa kuwa katibu mkuu kiongozi sasa wanamuandalia kila namna wammalize... i remember alitaka hadi kuachia ngazi

WE PRAY FOR HIS STRENGTHS
 
Huyu mkulu amewahi kutajwa kwenye list of shame na ikabainishwa jinsi alivyoshiriki kuifisadi nchi hii.

Sasa kwa trend ninayoiona hapa ni kama kuna juhudi za makusudi za kujaribu ''kumsafisha''.

Wengine wanasema ni KM bora kabisa aliyepo kwa sasa na anastahili kuwa KMK. Kwa mimi ambaye simfahamu sana huyu mkulu kwa upande wake wa uzalendo baada ya kutajwa kama fisadi, naomba kuufahamu uzalendo wake walau huko wizara ya ardhi.

Kama nitafahamishwa na matukio halisi aliyoshiriki kwa moyo wa uzalendo katika kuisaidia hii nchi nitashukuru.

Naomba kuwasilisha.
 
NCHI HI WATAMPA NAFASI NYINGINE TENA YA KUREKEBISHA HAYO..................there is a special law for the haves and another one for the have nots........
 
Ukiwasikiliza watumishi pale Wizara ya Ardhi wanalalamika kwamba jamaa kabana nyanja zote za ufisadi! Jamaa inaonekana ni muadilifu sana
 
Huyu mkulu amewahi kutajwa kwenye list of shame na ikabainishwa jinsi alivyoshiriki kuifisadi nchi hii.

Sasa kwa trend ninayoiona hapa ni kama kuna juhudi za makusudi za kujaribu ''kumsafisha''.

Wengine wanasema ni KM bora kabisa aliyepo kwa sasa na anastahili kuwa KMK. Kwa mimi ambaye simfahamu sana huyu mkulu kwa upande wake wa uzalendo baada ya kutajwa kama fisadi, naomba kuufahamu uzalendo wake walau huko wizara ya ardhi.

Kama nitafahamishwa na matukio halisi aliyoshiriki kwa moyo wa uzalendo katika kuisaidia hii nchi nitashukuru.

Naomba kuwasilisha.
Mwita,
Kuna ripoti aliandika Brian Cocksley kuhusu sakata la IPTL. It was Rutabanzibwa aliyejaribu kuzuia wale wote walioiingiza Tanzania kwenye sakata hilo ambalo limepelekea Net Solutions, Richmond/Dowans na sasa Symbion. Itafute kwenye mtandao. Mimi I know him personally and I vouch for his integrity.
 
mkuu hawa ni wakufilisi kabisa. yaani hawa ndo source ya sisi kuwa masikini wakutupwa kwenye nchi ambayo inajiita ina amani kwa miaka 50 ya uhuru wa bendera.
<br />
<br />
source ya kutupwa ni wewe na familia yako. Kabla ya kuwaza kuwa serikali imekufanyia lazma ufikiri pia kuwa umeifanyia nin serikali.
 
Patrick rutabanzibwa ni msafi...kwake maslahi ya umma ni mbele...

Mimi ninashangaa sana watu wanaposema huyu jamaa ni msafi ; mbona yeye alitajwa kuwa ni mmoja wa signatories wa Kampuni ya Kifisadi [iliyofunguliwa na fedha toka BOT] iliyokuwa na account yake pale NBC. Wengine waliohusiswa kuwa signatories wa ile account ni pamoja na Ballali, Chenge , Vincent Mrisho, Mgonja na yeye Patrick Rutabanzibwa!! usafi wake wa kukataa hongo ya IPTL ilikuwa danganya toto tu, huwa anachukua rushwa kubwa kubwa.
 
Ndugu zangu tutunze heshima ya kuitwa "Great Thinkers", kama humjui mtu usitende dhambi ya ushabiki na kuchafua hali ya hewa au kumsafisha asiyesafishika. Kwa wanaomfahamu PR na utumishi wake, Tanzania haina watumishi wengi waadilifu kama mtu huyu. Alipinga vikali IPTL, leo (miaka 17 baadaye) hata mtoto mdogo anajua ubaya wa dili la IPTL. Amefanya mengi mazuri kwa taifa hili, wewe nami hatuwezi. Kwanza ukikaa naye nusu saa unagraduate digrii ya kwanza.

Amesafisha Wizara ya Maji, kasafisha Wizara ya Mambo ya Ndani, na sasa anasafisha Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi. Akiwa Wizara ya Mambo ya Ndani, alishauri kuwa Mradi wa Vitambulisho ulivyobuniwa na wanaotakiwa kutunza usalama wa watu na mali zao utaiingiza Serikali kwenye kashfa nzito (wakamuhamisha) subiri kidogo uone madudu yajayo.

Huku aliko kakuta UFISADI PAPA WA ARDHI uliokubuhu kwa zaidi ya miongo minne. Huku kuna ka-mchezo ka kuuza viwanja vilivyopangwa kubaki kwa matumizi ya wazi. Kamchezo ako ni kati ya Mahakama, Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali na Mafisadi wa Ardhi na ni ka muda mrefu. Kwa mchezo huo, mafisadi huchukua maeneo rasmi ya wazi, wakipigwa stop na mamlaka husika (Kamishna wa Ardhi) hukimbilia Mahakama ya Ardhi kudai "settlement out of court" kwa kuwatisha watumishi wasiojiamini (au wala mlungula) kwamba wakikaidi watafungwa, ili hatimaye, Waheshimiwa wasio waaminifu watumie rungu la Nyumba inayoheshimiwa (Mahakama) kubariki DHULUMA KWA UMMA. Mabadiliko ya matumizi ya viwanja vya wazi hayawezi kufanywa kwa manufaa ya kikundi kidogo au mtu. Huu ni uvunjifu wa Sheria za Ardhi.Safari hii wamegonga mwamba wa kale (PR), hatishwi mtu, hafungwi mtu, na wala halipwi mtu. Wamechimba shimo, wataingia wenyewe. Hata majaji hawako juu ya sheria.

Ndugu zangu, watumishi wa ardhi wala rushwa na MAFISADI PAPA WA ARDHI, PR kawasambaratisha, baadhi yao naona wakichangi thread hii. Aidha, kumbuka anatafutwa KMK baada ya mzee wa sasa kustaafu na KM mtembeza bakuli kunyea kambi. Eti wanaangalia anayeweza kuwa KMK na kudhamiria kumharibia PR safari! Kama JK anataka kufanya usafi wa Serikali na kurejesha heshima amteue PR muone. Hata ule mtaji wa "POSHO" wa kambi fulani utakuwa kwishney! Anayemfahamu vizuri PR ni Padri Privanus Karugendo ambaye aliandika makala yenye mantiki, siku kumi zilizopita. Uliza ujuzwe.
mjusikafiri, asante kwa kuyasema haya,
Wana jf wenzangu, naomba kutoa ushuhuda wa kinadharia kuhusu huyu jamaa, PR, naita wa kinadharia kwa sababu hauna vigezo, ni just by intuition tuu kuwa integrity ya mtu, unaiona machoni. Yaani ukimuona someone who really thinks and has brain, utamjua tuu hata kama amenyamaza kimya. Na ukimuona mtu ambaye ni mtupu kabisa, doesn't have brain to think utamjua tuu hata kama amenyamaza. Kwa wanaomjua PK, this man thinks and has a brain.

Hebu jikumbusheni enzi za primary, mwalimu akiuliza swali, kuna nyuso za wasiojua ambao they really don't know, utazijua, kuna wale vimbelembele kunyoosha vidole mbio mbio na kuishia kutema upupu utawaona, na kuna wale vichwa wa ukweli, mara nyingi ni wakimya, hawajionyeshi, hawasemi sana, hawana papara, saa nyingine hata kama wanajua jibu, hujikalia kimya, utawatambua kwenye mitihani tuu, hao ndio type ya PR!.

Thanks God, bunge letu linatangazwa live, kuna wabunge vichwa mule, kuna moderate na kuna madebe matupu amba hao kwa kupiga kelele... wee wacha tuu!.

Vivyo hivyo kwa serikali ya JK, naomba nisimjulimshe JK kwa heshima ya ukuu wa nchi, wala Makamo wake. Pinda ni kichwa kwa kumsoma usoni na matamshi yake, wamo mawaziri wa JK ambao ni vichwa kweli kweli akiwemo Magufuli, mama Tibaijuka nk, na pia wako mawaziri wa JK ni madebe matupu wengine mpaka na Ph.D zao za kwenye internet!.

Ndio maana Kila PK alipokutana na waziri mpuuzi mpuuzi, aliwashoosha na wengi waliishia kumshitaki kwa JK, kwa vile wengi wa mawaziri hao ni washikaji, PK aliishia kuhamishwa. Hebu fanya reference ni mara ngapi umemuona huyu jamaa akiongea ua kufanya press co?. Very few kwa sababu yeye ni mtendaji na sio msemaji.

Kwenye mbio za kumtafuta KMK, to be honest PK ni miongoni mwa most senior toka enzi za Mkapa, ila hatapewa huo u KMK kwa sababu serikali ya JK haiko serious, ndio maana alipoingia kwenye chama alimuweka Makamba ambaye ni debe tupu kabisa, na Ikulu akamuweka Luhanjo msomeni usoni hata akiongea!. Wakithubutu kumuweka PR, hata maroroso ya offer za chumba na zawadi za suti, zingepata pa kupenyea. Nadhani angeireform hata PPU ambayo kazi yake ni kujibu tuu shutuma!.
 
mjusikafiri, asante kwa kuyasema haya,
Wana jf wenzangu, naomba kutoa ushuhuda wa kinadharia kuhusu huyu jamaa, PR, naita wa kinadharia kwa sababu hauna vigezo, ni just by intuition tuu kuwa integrity ya mtu, unaiona machoni. Yaani ukimuona someone who really thinks and has brain, utamjua tuu hata kama amenyamaza kimya. Na ukimuona mtu ambaye ni mtupu kabisa, doesn't have brain to think utamjua tuu hata kama amenyamaza. Kwa wanaomjua PK, this man thinks and has a brain.

Hebu jikumbusheni enzi za primary, mwalimu akiuliza swali, kuna nyuso za wasiojua ambao they really don't know, utazijua, kuna wale vimbelembele kunyoosha vidole mbio mbio na kuishia kutema upupu utawaona, na kuna wale vichwa wa ukweli, mara nyingi ni wakimya, hawajionyeshi, hawasemi sana, hawana papara, saa nyingine hata kama wanajua jibu, hujikalia kimya, utawatambua kwenye mitihani tuu, hao ndio type ya PR!.

Thanks God, bunge letu linatangazwa live, kuna wabunge vichwa mule, kuna moderate na kuna madebe matupu amba hao kwa kupiga kelele... wee wacha tuu!.

Vivyo hivyo kwa serikali ya JK, naomba nisimjulimshe JK kwa heshima ya ukuu wa nchi, wala Makamo wake. Pinda ni kichwa kwa kumsoma usoni na matamshi yake, wamo mawaziri wa JK ambao ni vichwa kweli kweli akiwemo Magufuli, mama Tibaijuka nk, na pia wako mawaziri wa JK ni madebe matupu wengine mpaka na Ph.D zao za kwenye internet!.

Ndio maana Kila PK alipokutana na waziri mpuuzi mpuuzi, aliwashoosha na wengi waliishia kumshitaki kwa JK, kwa vile wengi wa mawaziri hao ni washikaji, PK aliishia kuhamishwa. Hebu fanya reference ni mara ngapi umemuona huyu jamaa akiongea ua kufanya press co?. Very few kwa sababu yeye ni mtendaji na sio msemaji.

Kwenye mbio za kumtafuta KMK, to be honest PK ni miongoni mwa most senior toka enzi za Mkapa, ila hatapewa huo u KMK kwa sababu serikali ya JK haiko serious, ndio maana alipoingia kwenye chama alimuweka Makamba ambaye ni debe tupu kabisa, na Ikulu akamuweka Luhanjo msomeni usoni hata akiongea!. Wakithubutu kumuweka PR, hata maroroso ya offer za chumba na zawadi za suti, zingepata pa kupenyea. Nadhani angeireform hata PPU ambayo kazi yake ni kujibu tuu shutuma!.

Acheni kumpigia debe huyu fisadi kuwa msafi mbona hamzungumzi juu ya account ambayo alikuwa signatory pale NBC na mafisadi wenzie wakina Mgonja, Mrisho, Chenge na Ballali; mnaishia kusema tu alisifiwa na makala ya Karugendo!! Come clean you guys on Patrick's role in the operation of that bank account. Je mnakumbuka kuwa huyu jamaa aliwahi kuwa commissioner wa energy pale wizara ya Nishati na madudu yaliyofanyika enzi zake? Hata hivyo hawezi kufikiriwa kuwa KMK kwasababu ya umri anakaribia kustaafu ; mkweree safari hii kama alivyoteua muislam kuwa CJ na KMK atafanya hivyo hivyo kutimiza ajenda yake ya udini!!
 
watanzania tunamalizwa na ushabiki, hakuna tofauti ya wapiga debe na watu wanaojiita great thinkers. Hapa tunatakiwa wote tuifuatilie hii kesi na kujiuliza kulikoni hawa matapeli wanaojulikana kitaifa kuwa maharamia wa kupora na kuuza ardhi kwa wahindi washinde kesi ya kipumbavu namba hii. Mimi nimewahi kufanyakazi kwenye kampuni hewa ya huyu mtu anaitwa Abba Patrick, ndio hawa anayedaiwa kushinda kesi, kwa kuuza kitapeli kiwanja cha shule ya oysterbay primary akidai kwamba ni ya kahama mining, mtakumbuka hili swala lilichekesha watu mpaka wanafunzi waliosoma shule ile iliyokua ya kwanza ya English medium wakaandamana ndio hawa matapeli wakasimamishwa na serikali, hivi inakujia kichwani shule ya oysterbay iwe mali ya hizi kampuni za hawa watu walioingia mjini juzi juzi? Hawa hawa ndio walihusika na utapele wa viwanja vya wazi vya pale oysterbay kwenye uwanja wa wazi zamani tukipeleka kuosha mbwa kwa dawa, wakishirikiana na tapeli Londa na wafanyakazi wa Ardhi wakaishia kufukuzwa kufuatia tume ya Lukuvi mwaka jana, cha kushangazi nchi hii ni huyu Jaji nchimbi anayonekana kununuliwa, eti wapewe viwanja viwili oysterbay ku replace kiwanja cha shule ya oysterbay walichokipata kwa kutapeli kwa sababu tu wanachora line na watu wa ardhi huko huko, na yote hii ni kuwauzia wahindi viwanja vyetu ndio kazi yao ya udalali, huku wakisemekana kuwa watu wa karibu wa Ridhana Kikwetu, habari ya kuaminika ni kwamba hata kabla ya hukumu matapeli hawa walituma watu kwenye vyombo vya habari kueleza kitakachotokea mahakamani kwamba PS Rutabanzibwa atafungwa, na ndicho kilichosemwa walijuaje hukumu kabla haijatoka? sasa badala ya kusherehekea kuiibiwa kwa land ya watoto wenu na hawa ma agent wa wahindi ningetegemea mshinikize takukuru iingilie kati, hawa ni matapeli wa kimataifa, na mimi nikiwa nafanyakazi huko nafahamu kwama kahama mining walishakataa kuhusika wala kuwa wamiliki wa viwanja hivyo, nawahakikishia kwa asilimia mia moja kwamba hizo documents na mchakato mzima umejaa Rushwa na ushenzi mkubwa na hawa watu wataishia kufungwa tu pamoja na huo mtandao wao ambapo mtu anayeitwa Miraji ndio aliyekuwa akipiga simu newsroom kualika waandishi kuhudhuria kesi kuona maajabu, ni maajabu ya pesa uchwala za wahindi, leo mkuruhusu kesho wote mtakua maboa wa wahindi kama walivyo wao.
 
watanzania tunamalizwa na ushabiki, hakuna tofauti ya wapiga debe na watu wanaojiita great thinkers. Hapa tunatakiwa wote tuifuatilie hii kesi na kujiuliza kulikoni hawa matapeli wanaojulikana kitaifa kuwa maharamia wa kupora na kuuza ardhi kwa wahindi washinde kesi ya kipumbavu namba hii. Mimi nimewahi kufanyakazi kwenye kampuni hewa ya huyu mtu anaitwa abba patrick, ndio hawa anayedaiwa kushinda kesi, kwa kuuza kitapeli kiwanja cha shule ya oysterbay primary akidai kwamba ni ya kahama mining, mtakumbuka hili swala lilichekesha watu mpaka wanafunzi waliosoma shule ile iliyokua ya kwanza ya english medium wakaandamana ndio hawa matapeli wakasimamishwa na serikali, hivi inakujia kichwani shule ya oysterbay iwe mali ya hizi kampuni za hawa watu walioingia mjini juzi juzi? Hawa hawa ndio walihusika na utapele wa viwanja vya wazi vya pale oysterbay kwenye uwanja wa wazi zamani tukipeleka kuosha mbwa kwa dawa, wakishirikiana na tapeli londa na wafanyakazi wa ardhi wakaishia kufukuzwa kufuatia tume ya lukuvi mwaka jana, cha kushangazi nchi hii ni huyu jaji nchimbi anayonekana kununuliwa, eti wapewe viwanja viwili oysterbay ku replace kiwanja cha shule ya oysterbay walichokipata kwa kutapeli kwa sababu tu wanachora line na watu wa ardhi huko huko, na yote hii ni kuwauzia wahindi viwanja vyetu ndio kazi yao ya udalali, huku wakisemekana kuwa watu wa karibu wa ridhana kikwetu, habari ya kuaminika ni kwamba hata kabla ya hukumu matapeli hawa walituma watu kwenye vyombo vya habari kueleza kitakachotokea mahakamani kwamba ps rutabanzibwa atafungwa, na ndicho kilichosemwa walijuaje hukumu kabla haijatoka? Sasa badala ya kusherehekea kuiibiwa kwa land ya watoto wenu na hawa ma agent wa wahindi ningetegemea mshinikize takukuru iingilie kati, hawa ni matapeli wa kimataifa, na mimi nikiwa nafanyakazi huko nafahamu kwama kahama mining walishakataa kuhusika wala kuwa wamiliki wa viwanja hivyo, nawahakikishia kwa asilimia mia moja kwamba hizo documents na mchakato mzima umejaa rushwa na ushenzi mkubwa na hawa watu wataishia kufungwa tu pamoja na huo mtandao wao ambapo mtu anayeitwa miraji ndio aliyekuwa akipiga simu newsroom kualika waandishi kuhudhuria kesi kuona maajabu, ni maajabu ya pesa uchwala za wahindi, leo mkuruhusu kesho wote mtakua maboa wa wahindi kama walivyo wao.
mtoto wa mkuru ama?
 
Mwita,
Kuna ripoti aliandika Brian Cocksley kuhusu sakata la IPTL. It was Rutabanzibwa aliyejaribu kuzuia wale wote walioiingiza Tanzania kwenye sakata hilo ambalo limepelekea Net Solutions, Richmond/Dowans na sasa Symbion. Itafute kwenye mtandao. Mimi I know him personally and I vouch for his integrity.

Mkuu Jasusi ahsante kwa kunifahamisha, ngoja nijaribu kuitafuta hiyoi ripoti, bila shaka nitajifunza mengi huko nisiyoyafahamu juu ya huyu mtani wangu.


mjusikafiri, asante kwa kuyasema haya,
Wana jf wenzangu, naomba kutoa ushuhuda wa kinadharia kuhusu huyu jamaa, PR, naita wa kinadharia kwa sababu hauna vigezo, ni just by intuition tuu kuwa integrity ya mtu, unaiona machoni. Yaani ukimuona someone who really thinks and has brain, utamjua tuu hata kama amenyamaza kimya. Na ukimuona mtu ambaye ni mtupu kabisa, doesn't have brain to think utamjua tuu hata kama amenyamaza. Kwa wanaomjua PK, this man thinks and has a brain.

Hebu jikumbusheni enzi za primary, mwalimu akiuliza swali, kuna nyuso za wasiojua ambao they really don't know, utazijua, kuna wale vimbelembele kunyoosha vidole mbio mbio na kuishia kutema upupu utawaona, na kuna wale vichwa wa ukweli, mara nyingi ni wakimya, hawajionyeshi, hawasemi sana, hawana papara, saa nyingine hata kama wanajua jibu, hujikalia kimya, utawatambua kwenye mitihani tuu, hao ndio type ya PR!.

Thanks God, bunge letu linatangazwa live, kuna wabunge vichwa mule, kuna moderate na kuna madebe matupu amba hao kwa kupiga kelele... wee wacha tuu!.

Vivyo hivyo kwa serikali ya JK, naomba nisimjulimshe JK kwa heshima ya ukuu wa nchi, wala Makamo wake. Pinda ni kichwa kwa kumsoma usoni na matamshi yake, wamo mawaziri wa JK ambao ni vichwa kweli kweli akiwemo Magufuli, mama Tibaijuka nk, na pia wako mawaziri wa JK ni madebe matupu wengine mpaka na Ph.D zao za kwenye internet!.

Ndio maana Kila PK alipokutana na waziri mpuuzi mpuuzi, aliwashoosha na wengi waliishia kumshitaki kwa JK, kwa vile wengi wa mawaziri hao ni washikaji, PK aliishia kuhamishwa. Hebu fanya reference ni mara ngapi umemuona huyu jamaa akiongea ua kufanya press co?. Very few kwa sababu yeye ni mtendaji na sio msemaji.

Kwenye mbio za kumtafuta KMK, to be honest PK ni miongoni mwa most senior toka enzi za Mkapa, ila hatapewa huo u KMK kwa sababu serikali ya JK haiko serious, ndio maana alipoingia kwenye chama alimuweka Makamba ambaye ni debe tupu kabisa, na Ikulu akamuweka Luhanjo msomeni usoni hata akiongea!. Wakithubutu kumuweka PR, hata maroroso ya offer za chumba na zawadi za suti, zingepata pa kupenyea. Nadhani angeireform hata PPU ambayo kazi yake ni kujibu tuu shutuma!.

Pasco nakushukuru kwa maelezo yako marefu na ya kueleweka.

Lakini ningependa kusikia kutoka kwako kuhusu hizi tuhuma kama zilivyoelezwa hapa chini na huyu mdau.

Acheni kumpigia debe huyu fisadi kuwa msafi mbona hamzungumzi juu ya account ambayo alikuwa signatory pale NBC na mafisadi wenzie wakina Mgonja, Mrisho, Chenge na Ballali; mnaishia kusema tu alisifiwa na makala ya Karugendo!! Come clean you guys on Patrick's role in the operation of that bank account. Je mnakumbuka kuwa huyu jamaa aliwahi kuwa commissioner wa energy pale wizara ya Nishati na madudu yaliyofanyika enzi zake? Hata hivyo hawezi kufikiriwa kuwa KMK kwasababu ya umri anakaribia kustaafu ; mkweree safari hii kama alivyoteua muislam kuwa CJ na KMK atafanya hivyo hivyo kutimiza ajenda yake ya udini!!
 
Back
Top Bottom