Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Wasanii wetu wakiimba nyimbo zao kwa ajili ya biashara zinakuwa tamu sana kuzisikiliza.
Haohao wakiimba nyimbo za maafa au magonjwa hutopata hamu hata kidogo ya kuurudia wimbo huo.
Midundo mibaya, mirindimo mibaya ya sauti, yaani kero tu.
Sijui tatizo haswa ni nini?
Haohao wakiimba nyimbo za maafa au magonjwa hutopata hamu hata kidogo ya kuurudia wimbo huo.
Midundo mibaya, mirindimo mibaya ya sauti, yaani kero tu.
Sijui tatizo haswa ni nini?