barabaraya18
Senior Member
- Sep 18, 2006
- 106
- 8
Hivi kwa nini balozi Mwanaidi anazidi kutafuta lawama?
Nyerere alikuwa baba yetu wote wakristo na wasio wakristo.Hata wakati anaombolezwa tulikuwa pamoja pale uwanja wa Taifa. Lakini leo kwa sababu ambazo anazijua mwenyewe Balozi wetu Bi Mwanaidi Mjaar kaamua kuwaba Babayetu wa Taifa Mwalimu Nyerere aombewe Kanisani lakini sio Ukumbi ambao watu wenye madhehebu mengine wangejisikia comfortable kumwombea dua Mwalimu
Hivi kwa nini wasiandae kitu kama Lecture ya kumkumbuka mwalimu na yale ambayo alitufunza kwenye ukumbi badala ya kujikita kwenye udiini usio na kichwa wala miguuu?
Kama familia ya mwalimu ingeamua kufanya hivyo in private ningeelewa lakini siyo hii ya Ubalozi na Balozi kuendelea na mchezo wao wa kibaguzi
Balozi mwanaidi hivi kwa nini unatumia back door kuwabagua watu ambao ulitakiwa uwawakilishe bila kuangalia mitazamo yao ya kidini?
Na zaidi ya hayo mbona hajafanya Juhudi za kumsomea Al haj Abeid Amani Karume hicho kisomo?
You would have thought Balzi ambaye ni lawyer by profession angejua a trade vipi kwenye mambo haya
Nyerere alikuwa baba yetu wote wakristo na wasio wakristo.Hata wakati anaombolezwa tulikuwa pamoja pale uwanja wa Taifa. Lakini leo kwa sababu ambazo anazijua mwenyewe Balozi wetu Bi Mwanaidi Mjaar kaamua kuwaba Babayetu wa Taifa Mwalimu Nyerere aombewe Kanisani lakini sio Ukumbi ambao watu wenye madhehebu mengine wangejisikia comfortable kumwombea dua Mwalimu
Hivi kwa nini wasiandae kitu kama Lecture ya kumkumbuka mwalimu na yale ambayo alitufunza kwenye ukumbi badala ya kujikita kwenye udiini usio na kichwa wala miguuu?
Kama familia ya mwalimu ingeamua kufanya hivyo in private ningeelewa lakini siyo hii ya Ubalozi na Balozi kuendelea na mchezo wao wa kibaguzi
Balozi mwanaidi hivi kwa nini unatumia back door kuwabagua watu ambao ulitakiwa uwawakilishe bila kuangalia mitazamo yao ya kidini?
Na zaidi ya hayo mbona hajafanya Juhudi za kumsomea Al haj Abeid Amani Karume hicho kisomo?
You would have thought Balzi ambaye ni lawyer by profession angejua a trade vipi kwenye mambo haya