Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Kipindi cha Mwalimu Julius K. Nyerere, sheikh Yahya Hussein alitimuliwa nchini na akawa akiishi maisha ya kutangatanga nchi za Arabuni kama chokoraa.
Je ni sababu zipi zilizopelekea Mwalimu kumtoa Nduki mnajimu huyu wa Kikwete?
Je ni sababu zipi zilizopelekea Mwalimu kumtoa Nduki mnajimu huyu wa Kikwete?