Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
- Thread starter
- #21
kwanini aliihisi hivo? Mimi sikuwepo enzi za mwalimu kwa kweli lakini hii philosopy unazani ingeweza kuapply kwake? Si alikuwa anapendwa sana mwalimu enzi hizomandela anaweza kusema kaachia madaraka mapema.
Myerere kakaa miaka 23 kwenye power, huwezi kusema "kaachia madaraka mapema". Miaka 23 ni umri wa mtu aliyefikisha "age of majority" tayari.
Unachoweza kuuliza ni kwa nini aliachia madaraka bila ya kulazimika.
Jibu ni kwamba aliona kashindwa na kuendelea kungeharibu legacy yake kama "philosopher king" akajua principle ya quit while you can, before the masses causescu you brutally at the central square.