Kwanini nivumilie?

kila kitu kina mwanzo na mwisho wake hata uvumilivu nao una mwanzo na mwisho wake,thus why wanawake wengi (sio wote) walioolewa hutoka nje ya ndoa zao ,kila siku mtu anakuja na vimbwanga vipya leo umemfuma na hili kesho unakutana na kubwa kuliko hata lile la jana,na sie hatuna roho za chuma mwishowe lazima tu utakachoka thus why watu huamua kutafuta watu wa nje wa kuwapunguzia some stress!

NB:Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe!
 
Wanaume hawawezi kuvumilia kwasababu wanawake wanafanya kwa siri na kwa uangalifu mkubwa sana......................

Hawagunduliki kirahisi kuliko wanaume wanajisahau wengine wakilewa wanaacha sms, simu nk so mwanamke anafanya na akili zote tena kwa uangalifu kwa hiyo HAWAGUNDULIKI ............................. na kuonekana watakatifu...............(Maswali mengi hapana taka)

kuuumbee ndio zenu.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom