Kwanini ninagombea Ubunge wa EAC - My Case!

- Naah! maan I paid for my education in Europe na US, sure did not pay here in Tanzania cause under Awamu ya kwanza, education was free for all Tanzanians, I want to believe you be civilized enough to apologize for this!

William.

Akher uandke kishwahli kuliko hayo. Unazd kudhihisha udhaifu wako
 
Tatizo lenu mnajisahau sana kwenye posho mpaka hata vichaa wanashinda kwenye majimbo yenu Kama mtera . Wewe ulivyozoea anasa za ulaya sijui hata Kama hiyo posho itakutosha
 
Wewe andika kiswahili tu, unazidi kujiaibisha.

- Will stick with english! ha! ha! ha! ha! I mean if you a PhD holder can spend all of your time to follow me to my wife and kids, here at JF it means there is something good in me that drives you nuts and now my English is a problem to you but not to others, it tells a lot about you and you! ha! ha! ha! ha! keep it up bro, this is me and this is my English too bad that I am not you or have a PhD in English like you and have a great academic job as the one you have! ha! ha! ha1 ha!

William.
 
Kwenye ile thread nyingine umejibu maswali 2 tuu kati ya 10

Je unaweza kuchukua fursa hii ukajibu maswali 8 yaliyobaki?

---------------------------------------------------------------------------------


Nimesikiliza interview yake aliyoifanya ambayo imepostiwa michuzi blog. Inaonekana huyu yuko out of touch na maendeleo ya dunia


Hoja zake kubwa ni hizi:


1. Anasema hakuna haraka ya kujiunga na Federation kwa sababu wananchi hawajaelemishwa...ni kweli kabisa lakini amesahau kuwa hili suala halikuanza kuangalia leo wala jana na si kazi ya nchi zingine kuwapa wa Tanzania elimy juu ya hii federation.


2. Amesema kuwa Tanzania itapata matatizo ya uchumi kama Greece ambayo imepata matatizo ya uchumi kwa sababu imeingia kwenye Euro. Lakini ukweli ni kuwa si kweli matatizo ya Greece ya uchumi ya Greece hayakutokana na kujiunga na Euro bali matatizo ya Greece yametokana na Greece (serikali) kutokuwa makini kwenye spending yao,cheap lending and failure to implement financial reforms ambayo essentially iliacha Greece kuwa badly exposed wakati global economic downturn ilipostruck. Hii haiuhusiani na Greece kujiunga na EU .


3. Amesema kuwa watanzania wengi walipo nje (diaspora) ni wepesi kukosoa serikali na utawala nyumbani kwa sababu ni CHADEMA...sijui kazitoa wapi hizi data lakini naaamini kuwa William amekuwa too simplistic na accusations zake. In short anataka kuwafanya waTanzania wajinga kiasi cha kuwa no one can think critically and independently na hatuna option zaidi ya CHADEMA.


4. William anasema kuwa angefurahi sana kama National Service ikarudishwa ili kurejesha uzaelndo kwa vijana lakini ukweli kasahau:


a) Kwa nini iliondolewa in the first place


b) Uzalendo hauwezi kupatikana kwa kulazimishana


c) Atapata wapi budget ya kuirudisha hiyo National service


d) Uzalendo haupatikani kama serikali haitazami wananchi wake


5. William amesema kuwa anaunga mkono kila kitu ambacho serikali ya sasa inakifanya. Hii inatisha sana kwa mwana JF na mtu aliyesoma na kuishi nje ya nchi. Inamaana William ana unga mkono mpaka mabaya ambayo serikali imeyafanya. This is dangerous thinking, hata huyo Nyerere hakuunga mkono kila kitu ambacho serikali ilikuwa inafanya iweje huyu amekuja na kutoa endorsement ya 100% bila ya kuwa critical kwenye mabaya, akiingia inamaana William atakuwa na rubbestamp kila kitu huko serikalini? Is this the hope we can believe in? kweli?


6. Amesema kuwa Tanzania middle class wamekuwa wengi....well ukweli ni kuwa tanzania ina population ya almost 44 million na the so called middle class ni less than 8% sasa na ni wale wale ambao ni watoto wa kishua na extension zao. Namshauri williama atoke aende rufiji, Mkuranga Kisarawe na tendahimba kama atakuta middle class hata mmoja.


7. Anasema kuwa watu walipo nje wasikae nje na kulalamika. ukweli ni kuwa the entire system imekamwata na wale wale. Na nathubutu kumwambia atuletee list ya wana diaspora waliorudi na wakapewa nafasi ya kufanya mabadiliko kama alivyofanya kagame wa Rwanda's government ambaye serikali yake ilikuwa aggresive kwenye ku recruit highly educated members of the Diaspora....na waliporudi wakapewa nafasi ya kufanya mabadiliko na yanaoneka. Sasa william nitajie idara hata moja iliyopewa watu waliokuwa Diaspora na ambayo imepewa nafasi ya kufanya mabadiliko?


Je william anajua:


a) It takes 4months to register a business in Tanzania na it costs about 800 usd? wakati Rwanda it only takes 15 minutes and costs nothing!


b) Je anajua kuwa 70% ya Watanzania ni under 30 ambao wako detached na political elites ambao wako out of touch na maendeleo


c) Je William anajua kuwa hao vijana ambao wamezaliwa early 1990's ambao amewapatronise kwenye interview ndio hao hao leo wanapiga kura?


d) Je william anajua kuwa BRELA walinunua software ya bilioni 2 ambaoilitakiwa ifanye kufanya biashara Tanzania iwe ni rahisi lakini mpaka leo ile kitu imefeli, pesa zimetumika na so far imefanyiwa sabotage ili watu waendelea kula rushwa pale BRELA...cha ajabu waziri Nyalandu analijua hili, Waziri Mary Nagu analijua hili and no one cares.




8. William anasema kuwa viongozi wafungue FACEBOOK pages lakini haoni kama hiyo ni ndoto ya alinacha kwani commander in chief ofisi yake (Ikulu) haina website sasa why should someone like Mary Nagu au Nchimbi have a facebook page?




9. William anasema kuwa achievements zake kubwa ilikuwa ni kuandaa sherehe ya kumpokea Asha Migiro alipoteuliwa kuwa Dpeuty SG wa Ban Ki Moon, mimi binafsi sioni kama hiyo ni issue na sioni kama ni achievement ya maana.




10 Anasema kuwa alikuwa instrumental kuanzisha jumuiya ya Watanzania New York na kwa hili nampa pongezi.




In short sijapenda generalisations zake na kwa inter interview ya 1 hour nilitegemea kupata mawazo yaliyobobea na mapya toka kwa mwana JF na mwana diaspora ambaye anaenda kutuwasilisha.




William kama mawazo yako ni hayo then I give up!

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/244296-william-malecela-dissaster-waiting-to-happen.html

- I am here to present my case for why I am running for EAC Assembly, not anything else and will do it on my time and terms not yours!


William.
 
ndg Wily,

kwanza nakupa pongezi kwa kujitolea! Naamini Mungu yupo upande wako kama ni kweli umejitoa kwaajili ya nchi yako.

Ndg, tumeona vijana wenzetu wengi wakishika madaraka na kupotea kimaadili. Sio hapo tu bali kutufanya vijana wote tuonekane wababaishaji.

Napenda kukuambia kwamba vijana tunaweza badilisha nchi kama tunataka. Please husiwe mtu wa kutaka kuongeza ulicho nayo..

One love bro
'unijui, sikujui'
 
kiburi ndicho kinachoiponza na kuiangusha ccm......... Kwa jinsi ulivyojibu inaonyesha wewe ni zao
lile lile.....
Na kama ulikuwa hutaki maswali ulianzisha thread ya nini?

- I am here to present my case for why I am running for EAC Assembly, not anything else and will do it on my time and terms not yours!


William.
 
- Well, I never failed anything unless Division 4 at form four means fail, this is my Education it is up to you to decided if I have enough education to be an MP to the EAC or not, and if you don't mind why don't show us the education of the past MPs there or in our Parliament, I mean does all our MPs have this kind of education of mine? Are serious bro?

William.
Thanks kwa kuwa mkweli...

Twende kwenye ajira, unasapoti watanzania kuweka employment barriers zinazozuia free movement of labor na matokeo yake watanzania wengi hawafanyi kazi kwa bidii, wazembe na hawawajibiki ila wa kwanza kulalamika mishahara ikichelewa with their Lazy-But-Know-it-all-attitude AU unasapoti free movement of labor itakayotuwezesha kushindana na the best in the region ili na sisi tuweze kuwa washindani hapa EA. Kumbuka to be the best you have to beat the best. What is your stand?
 
- Will stick with english! ha! ha! ha! ha! I mean if you a PhD holder can spend all of your time to follow me to my wife and kids, here at JF it means there is something good in me that drives you nuts and now my English is a problem to you but not to others, it tells a lot about you and you! ha! ha! ha! ha! keep it up bro, this is me and this is my English too bad that I am not you or have a PhD in English like you and have a great academic job as the one you have! ha! ha! ha1 ha!

William.

Comprehension ndogo.

Kukufuatilia hakumaanishi "there is something good in you". Tatizo ego kubwa kuliko ubongo.

Watu wakifuatilia uongozi wa nchi na jinis watu wanavyochaguliwa unaona wanakufuatilia wewe.

Mie sijaleta habari ya kiingereza hapa, wewe mwenyewe umesema kwamba unaandika kiingereza ili watu wajue huna matatizo na kiingereza, lugha ya mawasiliano huko bungeni.

Sasa naona unakubali kiingereza chako mgogoro na hivyo majigambo yako ya kwanza hayakuwa na msingi.

Kuna vingine vingapi unavyojigamba bila msingi?
 
Comprehension ndogo.

Kukufuatilia hakumaanishi "there is something good in you". Tatizo ego kubwa kuliko ubongo.

Watu wakifuatilia uongozi wa nchi na jinis watu wanavyochaguliwa unaona wanakufuatilia wewe.

Mie sijaleta habari ya kiingereza hapa, wewe mwenyewe umesema kwamba unaandika kiingereza ili watu wajue huna matatizo na kiingereza, lugha ya mawasiliano huko bungeni.

Sasa naona unakubali kiingereza chako mgogoro na hivyo majigambo yako ya kwanza hayakuwa na msingi.

Kuna vingine vingapi unavyojigamba bila msingi?

Upepo wa bahari umem dhuru sana.. Ni hasara kwa taifa endapo litawakilishwa na watu wenye upeo mdogo na dhaifu kama huyo jamaa.
 
- Well, I never failed anything unless Division 4 at form four means fail, this is my Education it is up to you to decided if I have enough education to be an MP to the EAC or not, and if you don't mind why don't show us the education of the past MPs there or in our Parliament, I mean does all our MPs have this kind of education of mine? Are serious bro?

William.
what the hell is this???
 
- Well, I never failed anything unless Division 4 at form four means fail, this is my Education it is up to you to decided if I have enough education to be an MP to the EAC or not, and if you don't mind why don't show us the education of the past MPs there or in our Parliament, I mean does all our MPs have this kind of education of mine? Are serious bro?

William.

William

Tafadhali tuhurumie tunaokusoma kwa kuandika mawazo yako kwa Kiswahili, huongei "English well," na nnadhani hilo linakuzuwia wewe kujieleza vizuri.

Haijalishi kama ulikaa miaka 23@NYC, tutakuelewa kwa sababu Kiingereza ni lugha yako ya tatu au ya nne pengine, zungumza tu Kiswahili tuelewane vizuri

Taifa kwanza mkuu, ego baadae
 
Back
Top Bottom