Nimekuwa nikijiuliza sana juu ya Ngono kupendwa sana(hata mimi naipenda) na kuonekana ndio msingi mkuu wa utafutaji mali.Hivi ukiacha ngono unaweza kudhurika?Manufaa yake ni nini hasa?Kama ni muhimu sana kwa binadamu kuna haja ya kuruhusu biashara ya Ngono ili kuipatia serikali kipato?Tushirikishane wana JF juu ya utamu huu wa Ngono unaofanya kila Binadamu aipende.