Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,856
- 400
Viongozi wa Chadema,
Wananchi tunashangaa kwa nini NEC imeanza kutangaza matokeo ya urais kutoka kwenye majimbo ambayo chadema haiungwi mkono sana. Binafsi ninakubaliana na wazo la mwana JF mmoja kwamba this is a "calculated move" inayolenga kuwaandaa wananchi kisaikolojia ili wasishangae matokeo yatakayochakachuliwa kutoka kwenye majimbo yenye kura nyingi za Dr. Slaa. Ndiyo maana narudia kwa mara nyingine tena kushauri kwamba viongozi wa chadema wakatae katakata matokeo ya urais na kupeleka kesi mahakamani ili haki itendeke ikiwa ni pamoja na kuhesabu kura upya.
Wananchi tunashangaa kwa nini NEC imeanza kutangaza matokeo ya urais kutoka kwenye majimbo ambayo chadema haiungwi mkono sana. Binafsi ninakubaliana na wazo la mwana JF mmoja kwamba this is a "calculated move" inayolenga kuwaandaa wananchi kisaikolojia ili wasishangae matokeo yatakayochakachuliwa kutoka kwenye majimbo yenye kura nyingi za Dr. Slaa. Ndiyo maana narudia kwa mara nyingine tena kushauri kwamba viongozi wa chadema wakatae katakata matokeo ya urais na kupeleka kesi mahakamani ili haki itendeke ikiwa ni pamoja na kuhesabu kura upya.