Kwanini napinga mchakato wa Katiba Mpya ulivyo sasa na kwanini wewe pia yakupasa uupinge

Mkuu Mwanakijiji lazima nikiri umenipa darasa kubwa sana! kilichoniogopesha kama sisi walau japo kidogo tumepita darasani lakini sikung'amua hili vipi kuhusu wananchi wenzangu wengine? Hofu yangu ni kuwa hutaeleweka si tu na wananchi wa kawaida hata na wasomi! umesema jambo la msingi sana, Kwa mfano sisi wakatoliki tunaamini ili uwe na msimamo thabiti wa imani lazima uelewe kwanza msingi wa imani yako kabla ya mengine.Hivyo katiba bora inategemea sana msingi wake ambao ni wananchi wenyewe na si wananchi kushirikishwa sehemu fulani tu. Wadau wa maendeleo na Chama kikuu cha upinzani tunategemea waoneshe ukomavu na msimamo mkali juu ya hili na hasa elimu kwa umma.lakini pia hao wapiganaji wetu lazima wao kwanza waelimike vizuri juu ya swala la katiba ili uwe msingi wa msimamo wao. Heshima kwako mkuu Mwanakijiji.
 
Miaka 30 ijayo itapatikna katiba mpya.linalofanyika sasa ni mchakato kulahisisha na kutia wepesi kwa kuwa Wananchi ndani ya Taifa hili sisi binafsi tunaitaji mabadiliko ya kifkra, kwa kuwa kihalisia na jadi watanzania wote ni loyal kwa watawala wao na hawana tabia ya kwenda tofauti na watawala wao na hii ni kutoka na jadi na asilia ya watangulizi [Mababu],hivyo kwa wakati huu walio kayumba sekondalri school watajifunza haya usemayo mpaka watakapokuwa mature kutofautisha na kubainisha tofauti hizo kisha kuja na wazo la KUKAMILISHA KATIBA MPYA.Kwa kukamilisha huko ndiko tutasema katiba mpya imeumdwa.
 
yale yale ya edwin mtei- "waislamu ni wengi kuliko wakiristo", Kama nikiunga mkono, naunga mkono aina ya tume itakayozingatia usawa wa haki na wajibu wa raia na si usawa wa idadi ilimradi idadi-tukianza kudai usawa wa kinamba namba basi sijaona mzanaki hata mmoja kwenye hiyo tume, je wazanaki maslahi yao yatawasilishwa na nani?


You missed the whole point!
 
Mwanakijiji,
Msome pia Jenerali Ulimwengu kwenye makala zake ndani ya RaiaMwema. Hoja zenu zinafanana. Nisichokifahamu mimi ni kwa vipi na kwa namna gani mchakato huu ungeikwepa CCM, serikali yake na hata Bunge lake. Tungeanzia wapi? Hebu ngoja tuuanze mchakato wenyewe hivyo ulivyo. Naamini mpo watu kama ninyi, vipo vyama makini vya upinzani, zipo asasi makini zisizo za kiserikali na above all wapo WATANZANIA makini wengi tu kwa sasa. Tupate KATIBA MPYA. Mengine yote ikiwemo Tume huru ya uchaguzi yatatokana na KATIBA hii. Ilikuwa ni ndoto mwaka 1995 chama cha upinzani kushinda uchaguzi mdogo kama ule wa AruMeru Mashariki lakini sasa kwa Katiba hii mbovu imewezekana! Tusijikatishe tamaa.
 
hizi hakuna kifungu kitakachonisaidia kuishtaki serikali kwa kutumia hoa hizi ili mchakato wa katiba usimame mpaka kesi iishe hata kama ntashindwa lakin msg itakuwa sent!
 
nawashangaeni nyinyi mnaliona hilo sasa na kulipinga, mimi niliupinga na nimepinga chochote kile chenye mkono wa ikulu na bunge la mabwege tangu mwaka juzi october 2010 kura yangu kwa Dr.Slaa ilipobakwa na hii mijitu, sina imani nayo kwa vyovyote kwa lolote.
Ukombozi wa kweli wa taifa hili hautapatikana kamwe bila jasho na damu, hautapatikana kamwe kwa kusema Mungu anajua,
tusahau kupata ukombozi wa taifa letu kupitia mijizi ileile, nani kasema jizi linashiba? oooops, jizi likishiba linamtafutia mtoto, mjukuu na hata kimbwetegele na kimada
 
Haukubaliki kimsingi,sababu ni kwamba wanaouratibu haikuwa agenda yao,kwa hiyo hatuna sababu ya kuwaamini kwamba watafanya kile tunakitaka

Najipa matumaini kwamba kadiri tunavyosonga mbele katika mchakato huu sisi wananchi tutazidi kupata mamlaka zaidi na siku tutapata katiba tunaitaka

Isingewezekana kupata kila kitu hapa mwanzoni kwa sababu waratibu ni watu ambao hawakutaka kuandika katiba mpya
 
Mwanakijiji,
Msome pia Jenerali Ulimwengu kwenye makala zake ndani ya RaiaMwema. Hoja zenu zinafanana. Nisichokifahamu mimi ni kwa vipi na kwa namna gani mchakato huu ungeikwepa CCM, serikali yake na hata Bunge lake. Tungeanzia wapi? Hebu ngoja tuuanze mchakato wenyewe hivyo ulivyo. Naamini mpo watu kama ninyi, vipo vyama makini vya upinzani, zipo asasi makini zisizo za kiserikali na above all wapo WATANZANIA makini wengi tu kwa sasa. Tupate KATIBA MPYA. Mengine yote ikiwemo Tume huru ya uchaguzi yatatokana na KATIBA hii. Ilikuwa ni ndoto mwaka 1995 chama cha upinzani kushinda uchaguzi mdogo kama ule wa AruMeru Mashariki lakini sasa kwa Katiba hii mbovu imewezekana! Tusijikatishe tamaa.

Siyo "kuikwepa" kwa maana ya kwamba wasihusike kwani hiyo itakuwa tena kinyume na dhana nzima ya Katiba ya wananchi wote. Msingi wa Katiba Mpya ulipaswa kuwa wananchi "wote" na "wote" manake kila Mtanzania bila mmoja kuwa na nafasi zaidi juu ya wengine. Njia kubwa ilipaswa kupanua wigo wa wahusika na hivyo kuhakikisha wahusika wengi zaidi wanashiriki. HIvyo, utaona hoja yangu haijawahi kuwa kwamba Rais asihusike au wana CCM wasihusike; hoja yangu ni kuwa wasiwe na nafasi ya juu kuliko wananchi wengine kwani matokeo yake ni Katiba Mpya ya CCM itakayoppatikana. Fikiria kweli kwamba Katiba Mpya ipitishwe na asilimia 50 ya wapiga kura wote? siyo asilimia 50 ya wananchi!

Rais kwa mfano amechaguliwa na asilimia 61 ta wapiga kura ambao ni karibu milioni 6 hivi kati ya watu miliioni 42! Sasa kama kiwango kingekuwa ni asilimia 50 ina maana watu kama milioni 4 hivi ndio wanaweza kumchagua Rais. Lakini je watu milioni 4 kwenye chama chenye wanachama milioni 5 hivi haiwezekani kwamba wenye chama kuwa ni wengi zaidi na wakapitisha katiba ambayo itaungwa mkono na chama chao?


Ukiweka kiwango cha katiba mpya lazima ipite kwa zaidi ya asilimia 70 ya wapiga kura manake ni kuwa lazima kutakuwa namazungumzo, compromises n.k. Kwa sasa hivi, CCM haiitaji kabisa wapinzani kwenye suala hili zaidi ya 'token participation' ambayo wamepatiwa hadi hivi sasa.
 
Nikushukuru ndugu yangu M. M. Mwanakijiji, umewafungua wengi sana, japo wanaona tumechelewa kutamka bayana lakini naamini ujumbe utawafikia wote!

Unajua ukifikiria sana utaona kuwa CCM iliwazidi kete CDM; pale Rais Kikwete "alipokubali" kuwa kutakuwa na Katiba Mpya basi baadhi ya wapinzani wakiwemo ndugu zangu wa CDM wakawa kama mbwa mbele ya chatu; wakalainika. Matokeo yake hata sasa ni vigumu kabisa kwa wao kujenga hoja kuwa mchakato ni mbaya.
 
Mimi sioni kama kuna tatizo,ili mradi tu wananchi wahamasishwe na maoni yao yazingatiwe,kusiwe na kikundi cha watu wachache na kutaka kuwasemea wanachi hiyo hatuta ikubari,
 
Mwanakijiji,
Msome pia Jenerali Ulimwengu kwenye makala zake ndani ya RaiaMwema. Hoja zenu zinafanana. Nisichokifahamu mimi ni kwa vipi na kwa namna gani mchakato huu ungeikwepa CCM, serikali yake na hata Bunge lake. Tungeanzia wapi? Hebu ngoja tuuanze mchakato wenyewe hivyo ulivyo. Naamini mpo watu kama ninyi, vipo vyama makini vya upinzani, zipo asasi makini zisizo za kiserikali na above all wapo WATANZANIA makini wengi tu kwa sasa. Tupate KATIBA MPYA. Mengine yote ikiwemo Tume huru ya uchaguzi yatatokana na KATIBA hii. Ilikuwa ni ndoto mwaka 1995 chama cha upinzani kushinda uchaguzi mdogo kama ule wa AruMeru Mashariki lakini sasa kwa Katiba hii mbovu imewezekana! Tusijikatishe tamaa.
Mkuu, kinachotokea ni kama kile kilichotokea Kenya. Kama unakumbuka Boma commission na Wako commission na jinsi zilzivyoleta msuguano na wananchi.

Kama suala ni kupata katiba mpya hatuna sababu ya kuwa na tume, Ikulu ingeweza kuandika.
Maana halisi ya madai ya katiba mpya ni kuandika katika inayotokana na wananchi ili serikali yoyote ijayo iitumie na pia iwaongoze wananchi na taifa.

Nimewahai kuandika(maandishi yananitetea) nikisema kuwa wananchi ndio wanaopaswa kupanga na kuratibu shughuli za uandikaji wa katiba. Serikali kama mdau wa kuandika katiba ina jukumu la kusimamia taratibu hizo kwa kwa usalama na rasilimali.

Uwezekano wa kutoishirikisha CCM upo, uwezekano wa kuwa na bunge lisilo la CCM katika uandaaji wa katiba upo.
Kuna njia nyingi sana za wapi tungenzia. Kwa mfano, Mkutano wa kitaifa ukiwashirikisha wananchi kutoka katika makundi yao. Mkutano huo ndio ungeunda tume ya kuandika katiba na maoni yangejadiliwa na bunge la katiba lisilo la CCM.
Halafu kura ya maoni.

CCM ambayo haikuwahi kuongelea katiba tumeona ilivyoichukua hoja hiyo.
Tumeona wabunge wa CCM bila haya wala tafakuri wakikubali tu mswada ambao mwenyekiti wao ameona uwalakini.

Kosa limefanywa na wananchi na hili pia tulilisema sana.
Hakuna sababu ya kuamini vyama vya siasa. CDM walipotumia nguvu ya umma kudai katiba mpya,serikali ilibidi ikubliane kwasababu wenye nchi wametaka. Kwa bahati mbaya wananchi wakaamini kuwa CDM ilikyokuwa na nguvu yao ingewawakilisha vyema. Tukaona vikao vya siri bila hata kujua nini kimejadiliwa. Tuliionya CDM kuwa siyo maudhui tu, tatizo ni utaratibu mzima wa mchakato wote. Hakuna aliyejali na wote wakaunga mkono mswada.

Tume imeundwa na malalmiko yameshanza hata kabla ya maoni hayajaanza kutolewa.
Wapo wenye hoja kuwa kuna upendeleo wa uwakilishi, Zbar ikiwa na wajumbe sawa katika uwiano wa idadi ya wananchi kwa uwiano wa 1: 40

Yapo malamiko kuwa kuna dini imependelewa. Hawa watu wana hoja kwa mtazamo wao wa muundo wa tume.
Ubutu wa hoja yao unakuja kwa hoja kuwa wao waliridhia tume kwa mswada unaompa rais uwezo wa kuiunda. Walimwamini kuwa ana uwezo wa kuteuwa wajumbe makini na waadilifu. Sasa inakuwaje wanaona kuna mushkeli ili hali walimwamini Rais kwa sheria?

Wale walio na hoja kuwa Rais amefanya uteuzi mzuri nao pia wana hoja muhimu.
Hoja yao inajengwa na ukweli kuwa bila kujali dini au kabila wajumbe watatenda haki kwa mujibu wa hadidu rejea
Udhaifu wa hoja hii ni kuwa, je! mbele ya safari wataridhia na kuridhika na matokeo ya kazi ya tume?
Kama tume haitakadhi haja, je watakuwa na mahali pa kusota kidole?

Ili tupate tume huru ya uchaguzi inayoundwa kwa mujibu wa sheria zinazotokana na sheria mama inayoitwa katiba ni lazima katiba hiyo iwe huru. Uhuru wa katiba unatokana na uhalali kutoka kwa wananchi. Uhalali wa wananchi kuandika katiba unatokana na mchakato unao washirikisha

Tuna nafasi bado ya kususa, vinginevyo tukubali matokeo
 
Unajua ukifikiria sana utaona kuwa CCM iliwazidi kete CDM; pale Rais Kikwete "alipokubali" kuwa kutakuwa na Katiba Mpya basi baadhi ya wapinzani wakiwemo ndugu zangu wa CDM wakawa kama mbwa mbele ya chatu; wakalainika. Matokeo yake hata sasa ni vigumu kabisa kwa wao kujenga hoja kuwa mchakato ni mbaya.

Niliwahi kuandika hapa, kuwa Kikwete ni gwiji wa sayansi ya siasa malimbuko, wale tuaminio siasa huru huamini kuwa binadamu aina ya JK ni sumu kushikana mikono na ukaruhusu atoe tabasamu lake kwa, hakika dhamiri uliyokuwa ukiisimamia hupote ghafla na kuwa msikiliza wake tu!

Kama utakuwa na kumbukumbu nzuri mkuu, kuna mkurugenzi mmoja wa CIA alikuwa muumini sana wa sayansi ya ushawishi wa aina ya jk, yeye alitumia kila lasilimali aliyojaaliwa na muumba kukuteketeza, ikiwemo mfumo maarufu wa blackmail hasa pale alipo ona nguvu ya mageuzi ya kiti chake!

Nilionya sana hatua ya CDM kukubali kualikwa magogoni chini ya uvuli wa juice nikiamini ukarimu wa kimsonge ndio silaha iliyowamaliza CUF ndio humuongoza jk ktk magumu yote!

Kweli walikaa na mwisho wa siku wote tunaona viini macho tu, na ninaamini wengi watayaona ya jk badala ya filauni!

Jambo jema nikueneza hii elimu uliyoitoa hapa mkuu naamini wengi waipatapo watajitambu labda wale wa hafidhina mgando tu ndio waiaminio pepo ya ccm!
 
Mwanakijiji,

When the President announced his Presidential Constitutional Review Commission that will preside over the process of writing a new Constitution, I said I will reserve my comments until I read the first draft of the new Constitution. As most people were supporting the Commission, I thought my be "nimerukwa na akili". However, your article has prompted me to comment on even before Commission starts embarking on its task.

Our current Constitution was made by a group of people which was not inclusive. Large numbers of people were excluded from political process and system of government. It is unquestionable that constitutions made by commissions, such as the one appointed by the President, without participation of people's representatives cannot make government system inclusive.

The need for Constituent Assembly

Unlike forms of constitution-making in which a constitution is unilaterally imposed by a sovereign lawmaker, the Constituent Assembly, also known as a Constitutional Convention or Constitutional Assembly, creates a constitution through "internally imposed" actions. This means members of the Constituent Assembly are themselves citizens, but not necessarily the rulers, of the country for which they are creating the constitution. Constituent Assembly also restructures the State's institutions and policies.

In the past, state's institutions were made to suit the interests of elites. Therefore, for transformation and making Tanzania a prosperous Country, Constituent Assembly is a matter of necessity for the new Constitution. Constituent Assembly is the most important instrument of making constitution by all and addresses the problem of exclusion by inclusive democracy.

In inclusive democracy, no institution can have special powers. Whether or not we want to have an institution with special powers, this should be decided by the Constituent Assembly. Since it is the highest body of people, Constituent Assembly can decide in this matter. Constituency Assembly is, therefore, necessary for building the structure of inclusive democracy and root out the possibility of conflict in future.

Purposes/objective of Constituency Assembly

The new constitution should be made by the Constituent Assembly for the following purposes/objectives. Firstly, Constituent Assembly adopts diversity as a core value. Constitution is a fundamental law of our country, so it should make system of government inclusive of all. All people must participate in it, so that every individual will own it irrespective of religion, ethnicity, sex, and geography.

Tanzania's unity is dependent on recognition of Tanzania as a country of all people equally. Thus, language, culture and identity of all groups must be recognized as national assets. Only this way, we can preserve the unity of the people. Constitution, therefore, by recognizing diversity must promote unity. Effectively, constitution making process must give chance to every individual to debate and express their opinions.

Secondly, as you pointed out, Constituent Assembly makes the people sovereign. The power of the State rests on people, which is known as sovereignty. By making constitution through their representatives, people exercise the power of sovereignty. Through constituent assembly, the people are defining structure of democracy and structure of government in which political parties must work. Constituent Assembly in this sense will devolve sovereignty from the President and political parties to the people.

Thirdly, Constituent Assembly lets the people to decide the structure of the State. Recognition and protection of fundamental human rights is one of the most important steps of controlling government from being tyrant. So, people will decide what kind of rights they want to make fundamental rights in the new Constitution. People must be able to directly rule them. The self governance is most basic foundation of democracy. So, by making constitution through Constituent Assembly, people will be able to decide what kind of local governance should be recognized by the State.

The Process

The Constituent Assembly should be elected by direct votes of the people. Members of the Constituent Assembly should be elected according to the proportional election system.

Tenure of Constituent Assembly should be two years from the date of the first assembly. But it can be extended for another six months if emergency situation in the country occurs.

Every member in the Constituent Assembly can propose a bill and discussion takes place. This way, every individual through his/her representative can make proposal for bills of the new Constitution.

People can participate in the discussion through submitting proposals, and inviting members for discussion. People can create pressure groups to make their issues recognized. Participation of everybody is crucial in making of the new constitution to be owned by all people and not by some few elites.

Now, we, the people of the United Republic of Tanzania, have two options in the making of a new Constitution. The first option (which is already in the pipeline) is that at the non-democratic extreme of the spectrum, we may have a sovereign lawgiver or intermediaries laying down the new constitution for all future generations. The second option (which many Tanzanians have never thought about it) is that at the democratic extreme, we may have a Constituent Assembly elected by universal suffrage for the sole task of writing the new constitution.
 
Back
Top Bottom