Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,062
- 79,089
Mi nafikiri ustaarabu unahitajika zaidi na si ubaguzi kwenye kushughulikia suala hili maana tutajikuta tuko kinyume hata na UN Resolution on Race and Human Rights though we have ratified the resolutions kwa vile tu tunaona kosa la Mchina ni kufanya biashara Kariakoo! Bila kuangalia weakness za sheria zetu na economic policies pia! Wakati katiba ya Tanzania inakataza ubaguzi, Waziri anatokea kusikojulikana na kuanzisha kampeni ambayo iko "wholly race oriented"! yaani pamoja na kuwa hawa wachina wamevunja sheria, huyu waziri anadiriki kuanzisha kampeni "kwa sababu Wachina wamevunja" na si kwa vile sheria zimevunjwa na kila anayefanya biashara kinyume na sheria?
Tujiulize huyu Mchina ana tofauti gani na Mpakistan au M-bangladesh au Mhindi au Muafrika mwingine yeyote anayefanya biashara Kariakoo kama anacho kibali cha kufanya kazi? Je kuna Wapakistan, Waafrika na Wahindi wangapi wanafanya biashara au kazi bila vibali Tanzania? Kwanini media yetu inaliona tatizo ni specifically Wachina tu (why race identity is an vivid issue here?) na si kutokuwa na valid permits kufanya biashara? au violation of the given working permits?
Ninavyoona jamii yetu sasa inaelekea katika ubaguzi uliokithiri! maana machungu ya maisha tulionayo tunabaki kuyaelekeza kwa wageni ambao wengi wao ni muhimu katika ushindani na kukua kwa biashara kiujumla! tunavyoelekea ipo siku tutahamia kwa Wapemba na Wachagga pia kama tatizo la kutopeleka mkono tumboni! Na kusahau chanzo cha yoote haya ni serikali husika haina incentives za kuweza kumsaidia machinga kushindana au wenye viwanda kuweza kuzalisha kwa bei nafuu! Tuamke jamani lets not be arose by cheap politics and become racists! Our anti-Chinese campaigns will cost us direly if we don't open up that pandora box that contains all the formula of our economic woos!
Meanwhile while Mauritius is atracting massive investments from them foreigners through improving their Judiciary system and offering incentives (tax and so on) to investors that are the same as those offered to the natives! sie tunawafukuza kisa chuki na tumeshindwa ku-compete nao kwa vile serikali haisaidii chochote katika kuboresha biashara ya mwananchi wa kawaida as a proof of failed policies za Mijitu isiyo visionary na kutojua jinsi ya kutumia opportunities za influx of foreigners katika biashara na kuongeza mapato! Ngoja Kagame au Kibaki au Museveni wawakaribishe na jinsi tulivyo na common market watakuwa wanauzia bidhaa zao tokea Kigali, Kampala na Nairobi huku watumiaji wakipaki Dar! BTW, where are our economists? are our politicians all what we have?
Raia wa kigeni leo kuondolewa sokani Kariakoo l Send to a friend Friday, 04 February 2011 20:35 0diggsdigg
Festo Polea na Patricia Kimelemeta
LEO serikali inaanza kazi ya kuwakamata wafanyabiashara wa kigeni wanaofanya biashara za umachinga, katika Soko la Kariakoo, kwa kuwa wanafanya kinyume na taratibu za kisheria.
Hatua hiyo, inatokana na Wachina hao, kufanya shughuli hizo, ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania wazalendo na hivyo kusababisha wakose mapato.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Viwanda, Biashara na Masomo, Dk Cyril Chami alisema kazi hiyo, ni endelevu na kwamba inaanzia Dar es Salaam na kwamba itaendelea katika mikoa mingine nchini.
Alisema, wakati shughuli hiyo, ikiendelea wananchi wanashauriwa kuwa wazalendo kwa kutoa taarifa polisi, pindi watakapoona raia yoyote wa kigeni, anafanya shughuli hizo.
Mipango wa serikali ni kuhakikisha wafanyabiashara wote, wanafanya kazi kwa kufuata taratibu na sheria zilizowekwa, ikiwa ni pamoja na kulipa ushuru,alisema Chami.
Alisema serikali itaendelea kutoa mafunzo kwa wajasiliamali wadogo ili waweze kumudu soko la ushindani.
Kwa mujibu wa Chami, serikali itaendelea kufanya uchunguzi ili waweze kuwabaini wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao, kinyume na taratibu na kuwachukulia hatua za kisheria.
Alisema, serikali itaendelea kutambua uwekezaji, uzalishaji wa biashara ili kuongeza ajira na kipato kwa wananchi wengi.
Chami alisema pia Serikali, itaendelea kuwakaribisha wawekezaji wa ndani na nje kwa lengo la kukuza uwekezaji na biashara kulingana na sheria na taratibu za nchi.
Chami alisema serikali, itahakikisha kila taasisi inayohusika na usimamizi wa sheria za kibiashara, inatenga fedha za kutosha kwa ajili ya kufuatilia shughuli za kibiashara.
Waziri serikali itajenga kituo cha biashara kwa ajili ya kurahisisha uingizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi na kudhibiti ubora wa bidhaa hizo.
Kingine ni kujenga kituo cha mauzo ya nje kwa ajili ya kurahisisha biashara ya Tanzania kuuzwa nje ya nchi, alisema.
Add this page to your favorite Social Bookmarking websites
Last Updated on Saturday, 05 February 2011 11:03
Raia wa kigeni leo kuondolewa sokani Kariakoo l
Tujiulize huyu Mchina ana tofauti gani na Mpakistan au M-bangladesh au Mhindi au Muafrika mwingine yeyote anayefanya biashara Kariakoo kama anacho kibali cha kufanya kazi? Je kuna Wapakistan, Waafrika na Wahindi wangapi wanafanya biashara au kazi bila vibali Tanzania? Kwanini media yetu inaliona tatizo ni specifically Wachina tu (why race identity is an vivid issue here?) na si kutokuwa na valid permits kufanya biashara? au violation of the given working permits?
Ninavyoona jamii yetu sasa inaelekea katika ubaguzi uliokithiri! maana machungu ya maisha tulionayo tunabaki kuyaelekeza kwa wageni ambao wengi wao ni muhimu katika ushindani na kukua kwa biashara kiujumla! tunavyoelekea ipo siku tutahamia kwa Wapemba na Wachagga pia kama tatizo la kutopeleka mkono tumboni! Na kusahau chanzo cha yoote haya ni serikali husika haina incentives za kuweza kumsaidia machinga kushindana au wenye viwanda kuweza kuzalisha kwa bei nafuu! Tuamke jamani lets not be arose by cheap politics and become racists! Our anti-Chinese campaigns will cost us direly if we don't open up that pandora box that contains all the formula of our economic woos!
Meanwhile while Mauritius is atracting massive investments from them foreigners through improving their Judiciary system and offering incentives (tax and so on) to investors that are the same as those offered to the natives! sie tunawafukuza kisa chuki na tumeshindwa ku-compete nao kwa vile serikali haisaidii chochote katika kuboresha biashara ya mwananchi wa kawaida as a proof of failed policies za Mijitu isiyo visionary na kutojua jinsi ya kutumia opportunities za influx of foreigners katika biashara na kuongeza mapato! Ngoja Kagame au Kibaki au Museveni wawakaribishe na jinsi tulivyo na common market watakuwa wanauzia bidhaa zao tokea Kigali, Kampala na Nairobi huku watumiaji wakipaki Dar! BTW, where are our economists? are our politicians all what we have?
Raia wa kigeni leo kuondolewa sokani Kariakoo l Send to a friend Friday, 04 February 2011 20:35 0diggsdigg
Festo Polea na Patricia Kimelemeta
LEO serikali inaanza kazi ya kuwakamata wafanyabiashara wa kigeni wanaofanya biashara za umachinga, katika Soko la Kariakoo, kwa kuwa wanafanya kinyume na taratibu za kisheria.
Hatua hiyo, inatokana na Wachina hao, kufanya shughuli hizo, ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania wazalendo na hivyo kusababisha wakose mapato.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Viwanda, Biashara na Masomo, Dk Cyril Chami alisema kazi hiyo, ni endelevu na kwamba inaanzia Dar es Salaam na kwamba itaendelea katika mikoa mingine nchini.
Alisema, wakati shughuli hiyo, ikiendelea wananchi wanashauriwa kuwa wazalendo kwa kutoa taarifa polisi, pindi watakapoona raia yoyote wa kigeni, anafanya shughuli hizo.
Mipango wa serikali ni kuhakikisha wafanyabiashara wote, wanafanya kazi kwa kufuata taratibu na sheria zilizowekwa, ikiwa ni pamoja na kulipa ushuru,alisema Chami.
Alisema serikali itaendelea kutoa mafunzo kwa wajasiliamali wadogo ili waweze kumudu soko la ushindani.
Kwa mujibu wa Chami, serikali itaendelea kufanya uchunguzi ili waweze kuwabaini wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao, kinyume na taratibu na kuwachukulia hatua za kisheria.
Alisema, serikali itaendelea kutambua uwekezaji, uzalishaji wa biashara ili kuongeza ajira na kipato kwa wananchi wengi.
Chami alisema pia Serikali, itaendelea kuwakaribisha wawekezaji wa ndani na nje kwa lengo la kukuza uwekezaji na biashara kulingana na sheria na taratibu za nchi.
Chami alisema serikali, itahakikisha kila taasisi inayohusika na usimamizi wa sheria za kibiashara, inatenga fedha za kutosha kwa ajili ya kufuatilia shughuli za kibiashara.
Waziri serikali itajenga kituo cha biashara kwa ajili ya kurahisisha uingizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi na kudhibiti ubora wa bidhaa hizo.
Kingine ni kujenga kituo cha mauzo ya nje kwa ajili ya kurahisisha biashara ya Tanzania kuuzwa nje ya nchi, alisema.
Add this page to your favorite Social Bookmarking websites
Last Updated on Saturday, 05 February 2011 11:03
Raia wa kigeni leo kuondolewa sokani Kariakoo l