Kwanini mwanamke lazima awe na wanaume wanne?

Kipenzi Chao

Member
Oct 12, 2010
99
4
Nilitokea siku moja nipo na mdada mmoja ambaye aliweza kuwa muwazi kwangu kwa kiasi fulani baada ya mimi kutumia mbinu fulani ya kumdadisi kuhusu jinsia yao....! Kwa mujibu wa maelezo yake, wanawake hupenda sana vitu vinne katika maisha yao, ambapo hata moja ikikosekana, basi huchukua hatua za kumtafuta mwanaume wa kuziba nafasi hiyo...! Vitu hivyo ni:

  1. Huhitaji usalama: Kutokana na hili lazima atafutwe mwanaume mwenye misuli, giant, na mwenye nguvu ya kukabiliana na purrukushani yoyote itakayojitokeza mbele ya mwanamke huyo...!
  2. Huhitaji matunzo ya fedha/kiuchumi: hivyo lazima awepo wmanaume ambaye kwa namna moja ama nyingine yuko "well off", si bahili, na wala si mchoyo. Hii ni ili aweze kudhamini movements zake, na chochote kile atakachohitaji...!
  3. Huhitaji mwanaume handsome kwa ajili ya kuongozana naye mtaani, na kwenye maeneo yaliyowazi sana. Hapa atahitajika mwanaume handsome, msafi, mpole nk.
  4. Huhitaji kutoshelezwa kitandani: Kwa kweli alidai hakuna mwanamke mwenye kuweza kuvumilia mapungufu haya, na hivyo lazima atafutwe wa kushikilia idara hii....!
Je, ewe mwanaume, ukijitizama mwenyewe umeweza kuwa na sifa zote hizo kiasi cha kuwaweza kushikilia idara zote hizo? Kama kuna idara unadhani haupo sawa, basi ujue una mwenzio anayekusaidia idara husika....!
Je, wadada wengine humu JF mnasemaje?
 
Wanawake wengine ni mabaunsa (hawahitaji kulindwa), wanayo hela (hawataki ofa ya mtu), hawaendekezi u-handsome, wanachotaka mpini tu. Sa hao wa hivyo unawasemea vipi?
 
rekebisha Tito yako,wanaume wanne?maybe ni yy huyo dada not all ladies want that,wat we need ni upendo wa dhati,heshima,uvumilivu,mcha Mungu mengine madogomdgogo yanajiseti with time!
 
Nilitokea siku moja nipo na mdada mmoja ambaye aliweza kuwa muwazi kwangu kwa kiasi fulani baada ya mimi kutumia mbinu fulani ya kumdadisi kuhusu jinsia yao....! Kwa mujibu wa maelezo yake, wanawake hupenda sana vitu vinne katika maisha yao, ambapo hata moja ikikosekana, basi huchukua hatua za kumtafuta mwanaume wa kuziba nafasi hiyo...! Vitu hivyo ni:

  1. Huhitaji usalama: Kutokana na hili lazima atafutwe mwanaume mwenye misuli, giant, na mwenye nguvu ya kukabiliana na purrukushani yoyote itakayojitokeza mbele ya mwanamke huyo...!
  2. Huhitaji matunzo ya fedha/kiuchumi: hivyo lazima awepo wmanaume ambaye kwa namna moja ama nyingine yuko "well off", si bahili, na wala si mchoyo. Hii ni ili aweze kudhamini movements zake, na chochote kile atakachohitaji...!
  3. Huhitaji mwanaume handsome kwa ajili ya kuongozana naye mtaani, na kwenye maeneo yaliyowazi sana. Hapa atahitajika mwanaume handsome, msafi, mpole nk.
  4. Huhitaji kutoshelezwa kitandani: Kwa kweli alidai hakuna mwanamke mwenye kuweza kuvumilia mapungufu haya, na hivyo lazima atafutwe wa kushikilia idara hii....!
Je, ewe mwanaume, ukijitizama mwenyewe umeweza kuwa na sifa zote hizo kiasi cha kuwaweza kushikilia idara zote hizo? Kama kuna idara unadhani haupo sawa, basi ujue una mwenzio anayekusaidia idara husika....!
Je, wadada wengine humu JF mnasemaje?


Huyo uliyemuuliza hata kama akivipata vyote hivyo hawezi kutulia, trait ya kwanza -Usalama, mda wote anakuwa anatembea na huyo mwanaume? Na kama ameolewa huyo mwenye misuri anamkinga vipi wakati hakai naye kumpa huo usalama? Ulivyomuona huyo dada yuko sawa sawa? Kwa hayo maelezo kama ni kweli basi anaonekana ni kiluka njia? Ameolewa? Kama hajaolewa basi ndiyo sababu maana Inaonekana hawezi kukaa na mume mmoja, na kama ameolewa basi ana hatari, maana hiyo miguu yake inayo mlusha lusha mtaani mumewe ataikata, kama si mumewe-Ukimwi utamumaliza.

Mume handsome wa kutembea naye Ili iweje? Kama umeamua kuolewa naye huyo mwanaume inamaana umeliza naye. Itakuwaje Uolewe na mume mwenye Pesa, wa kukutosheleza Kitandani etc.siyo handsome ukatafute handsome wa kuongozana naye navyokuwa mnatembea? Utaongozana na huyo handsome mda gani na wewe una mumeo?

Kwa kuangalia hivyo vigezo naweza kusema huyo dada hapo kipindi munaulizana hayo mambo alikuwa hajaolewa. Mpe pole na mwambie ndoa siyo kama anavyofikilia yeye, ni utoto unamsumbuwa.
 
Je huyo mdada naye ajua kuwa wanaume pia wahitaji mwanamke mwenye sifa sita? Which means at least wanawake 3 wenye sifa 2@ au 6 wenye sifa moja moja
 
Mh! Basi kama ndo hivyo kuna mwenzangu mmoja atakuwa ananilindia (rejea kigezo namba moja) Ila vingine vilivyobaki mimi ni three in one!
 
Kwanini huyo dada aliacha kutaja vitu vya msingi, jamani u-handsome ataupeleka wapi au utamsaidia nini?!baunsa kwa ajili ya ulinzi,,,:biggrin1:,
Nadhani hapo kila mtu inategemea na mtazamo wake pamoja interest,coz kuna wengine wanaangalia hivyo vigezo but me NO:A S 103::A S 103::A S 103:
 
APANA
acha uwongo wewe....unaongelea wanawake wakawaida au hao wafanyabiashara au wale warembo bongo lala yeye anataka aletewe tu?
pole duu alikuingiza chaka vbaya mno
APO CHA UKWELI NI NAMBA 4 TU....Huhitaji kutoshelezwa kitandani ...apa kidogo sawa sawa
ata km ukiwa una mahela km mchanga ata km ukiwa na magari home kwako km yard vile bt km game yako ni ya kitoto apo lazma atakusepesha au atakudharau....dudu lazima liwe LAKUTOSHA
na ukicheki msingi mkubwa wa migogoro katika ndoa ni UNYUMBA ..ayo mengineyo ni vijisingizio tu lakin msingi wa matatizo meng ya ndoa ni DUDU..ata km akiwa maskin lakin game akikupa la kutosha ahh mbona unamwona tajiri tu ..lakin kinyume chake ana ela ana magari bt game hakuna ahh daily kwa baba paroko mashtaka mia mia!!!
nyie wenye ndoa tafadhali peanen mtosheke shetan aswije akapata nafasi ya kuwasambaratisha!!!1
 
APANA
acha uwongo wewe....unaongelea wanawake wakawaida au hao wafanyabiashara au wale warembo bongo lala yeye anataka aletewe tu?
pole duu alikuingiza chaka vbaya mno
APO CHA UKWELI NI NAMBA 4 TU....Huhitaji kutoshelezwa kitandani ...apa kidogo sawa sawa
ata km ukiwa una mahela km mchanga ata km ukiwa na magari home kwako km yard vile bt km game yako ni ya kitoto apo lazma atakusepesha au atakudharau....dudu lazima liwe LAKUTOSHA
na ukicheki msingi mkubwa wa migogoro katika ndoa ni UNYUMBA ..ayo mengineyo ni vijisingizio tu lakin msingi wa matatizo meng ya ndoa ni DUDU..ata km akiwa maskin lakin game akikupa la kutosha ahh mbona unamwona tajiri tu ..lakin kinyume chake ana ela ana magari bt game hakuna ahh daily kwa baba paroko mashtaka mia mia!!!
nyie wenye ndoa tafadhali peanen mtosheke shetan aswije akapata nafasi ya kuwasambaratisha!!!1

ORAIT loud and clear..
 
Nilitokea siku moja nipo na mdada mmoja ambaye aliweza kuwa muwazi kwangu kwa kiasi fulani baada ya mimi kutumia mbinu fulani ya kumdadisi kuhusu jinsia yao....! Kwa mujibu wa maelezo yake, wanawake hupenda sana vitu vinne katika maisha yao, ambapo hata moja ikikosekana, basi huchukua hatua za kumtafuta mwanaume wa kuziba nafasi hiyo...! Vitu hivyo ni:

  1. Huhitaji usalama: Kutokana na hili lazima atafutwe mwanaume mwenye misuli, giant, na mwenye nguvu ya kukabiliana na purrukushani yoyote itakayojitokeza mbele ya mwanamke huyo...!
  2. Huhitaji matunzo ya fedha/kiuchumi: hivyo lazima awepo wmanaume ambaye kwa namna moja ama nyingine yuko "well off", si bahili, na wala si mchoyo. Hii ni ili aweze kudhamini movements zake, na chochote kile atakachohitaji...!
  3. Huhitaji mwanaume handsome kwa ajili ya kuongozana naye mtaani, na kwenye maeneo yaliyowazi sana. Hapa atahitajika mwanaume handsome, msafi, mpole nk.
  4. Huhitaji kutoshelezwa kitandani: Kwa kweli alidai hakuna mwanamke mwenye kuweza kuvumilia mapungufu haya, na hivyo lazima atafutwe wa kushikilia idara hii....!
Je, ewe mwanaume, ukijitizama mwenyewe umeweza kuwa na sifa zote hizo kiasi cha kuwaweza kushikilia idara zote hizo? Kama kuna idara unadhani haupo sawa, basi ujue una mwenzio anayekusaidia idara husika....!
Je, wadada wengine humu JF mnasemaje?
me binafsi nahitaji mtu tunayesikilizana bwana,maumbile au kukutosheleza kitandani yako katika standard fulani kwani binadamu wote wanafanana katika tendo ukiondoa matatizo madogo madogo ya kiafya yakumfanya mtu asimridhishe mwenza wake mfano maumbile madogo.kuchoka haraka,saikoloia ya mtu mfano anashindwa kuingia chumvini au kulamba koni n.k.kwa upande wangu mimi naona kunahitajika kuvumiliana katika kila jambo ikiwa ni pamoja hayo ya mwanaume gani.kwa ujumla mwanamke anahitaji kuw aprovided na hivo vitu kifupi kupatiwa vyote anatakavyo viitaji so we need a man who will provide when i need smthing ila kama hana ni kuvimiliana nae as i love him na ndio mapenzi.swali je ukiwa na mpenzi wako halafu dudu ikakatika kw abahaati mbaya inamaana utamwacha?
me naona mapenzi yakiwepo hayo yote yanafuata na wala hautayaangalia namimi ndio PRINCIPAL YANGU YA MAISHA YA MALOVEDAV. MOTTO MAPENZI KWANZA....
 
Back
Top Bottom