Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Nilishangaa kusikia hotuba ya Rais ikikataza kuongelea Muungano! Nilifikiri kuwa maoni ya wananchi ndiyo yapewwe kipaumbele kwa kuwa wananchi ndio wenye mamlaka na nchi yao kumbe sio! Mashaka ya wengi juu ya kumpa Rais mwenyewe kutoa hadidu za rejea yameisha dhihilika ni ya ukweli.
Nadhani mambo yooote, yangeongelewa, hata muungano, kwani muungano aliuweka Mungu na kutoa masharti tusiujadiri? Kama ni mawazo ya wanadamu, ni laazima ujadiliwe na kama ikiwezekana uboreshwe kama kuna kitu cha kuuboresha.
Nawasilisha.
Nadhani mambo yooote, yangeongelewa, hata muungano, kwani muungano aliuweka Mungu na kutoa masharti tusiujadiri? Kama ni mawazo ya wanadamu, ni laazima ujadiliwe na kama ikiwezekana uboreshwe kama kuna kitu cha kuuboresha.
Nawasilisha.