Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Khaa! hapo nshakosa mwana na maji ya moto..........babu naenda kuangalia kitanda cha Mugabe..
nsiporudi jua kuna mawili....
Khaa! hapo nshakosa mwana na maji ya moto..........babu naenda kuangalia kitanda cha Mugabe..
nsiporudi jua kuna mawili....
mara nyingi tumekuwa tunaachana lakini hatuambiani ni kwann tumeachana mda mwingine c sababu za msingi pengine tunaweza kujufuza kutokana na makosa hayo hebu tuambiane
Najaribu, una wekaje mada katika jamiiforum wall?
Mie niliamua tuachane kwa 7bu mwenzangu alibadilika na kuwa mlevi wa kupindukia ikawakila wakati ni kugombana mwisho wa kugombana napokea kichapo,yakanishinda nikasepa!
Preta come this way........
nimetoka igunga na hasira hadi nimejivunja nywele. Nitakuja zikikua.
njoo bana....nitakuazima lesi wigi langu...
Usilie sana,hapo ilikuwa upenzi tu huko ndoan cjui ingekuwaje?heeeeee! Kichapo??? Yee...uwiiiiiiiiiiiiiii!
Eti?Najaribu, una wekaje mada katika jamiiforum wall?
Hahahah.......... mi nlishastaafu fesibuuku, mambo ya wall nshasahaugi.......!babu asprin naomba ujibu swali la lorus.
With or without?here I come babu....
Khe! with top without bottom?both.....
Ulishawai kuona Jinsi wachezaji wa Rugby wakipasha kabla ya Mechi?
Khe! with top without bottom?
Bishanga nkiachwa utani bembeleza??
Kwa Afroie wangu, hata asiponiingiza mtegoni, najiingiza mwenyewe. Angalizo Neno "mtegoni" lisomeke kama lilivyo na neno "kujiingiza" lisitafsiriwe vinginevyo. Vinginevyo, ngoja nitafute contacts za PAW.
Haka kajukuu kakiwa kwenye siku zake za kwenda angani huwa sikaelewielewi..... ngoja nifanye unajimu kwanza.......
tunasema with na without.........yaani Preta aje with or without kwa ODM aliye without but with.with bottom without top....e e....hivi tunasema nini hapa....