Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
mmmhhhhh
babu hafanyagi hivyo bana
ana kagua tuuuu
Babu huyo babu babu babu babuuuu,babu huyo,leo babu kazi anayo,maana AD leo anaona na kumaki visivyoonekana!
mmmhhhhh
babu hafanyagi hivyo bana
ana kagua tuuuu
Tuliachana kwasababu pesa ilikata!
Eeeer?AD unajua babu yako Aspirin atakutia bakora leo?
Na hilo ndilo neno la ODM, Afrodenzi, come this way............mmmhhhhh
babu hafanyagi hivyo bana
ana kagua tuuuu
Tatizo nakuvunja mbavu afu unasahau kunigongea kaLIKE. si unajua ODM na kale ka LIKE ni sawa na CCM na Igunga?......come this way......ahahhahah! Asprin umevunja mbavu zangu!!
MMU kumbe nayo ni sababu tosha?mahusiano, mapenzi na urafiki...
Eeeer?
Na hilo ndilo neno la ODM, Afrodenzi, come this way............
Tatizo nakuvunja mbavu afu unasahau kunigongea kaLIKE. si unajua ODM na kale ka LIKE ni sawa na CCM na Igunga?......come this way......
Amin amin nakuapia, ODM hatakuacha tena kamwe.... atakuwa anakukagua kila mara uhitajipo huduma ya ukaguzi... ngoja babu akanunue mafuta ya masaji....
Huyo huyo!Ndo yule yule ulimdanganya kama una Ngoma? au mwingine?
Babu huyo babu babu babu babuuuu,babu huyo,leo babu kazi anayo,maana AD leo anaona na kumaki visivyoonekana!
mme uchakachua akajione ngoja asepehivi mwenye uzi keshapata uvumbuzi wa uzi wake?....kwanza yuko wapi?
MMU kumbe nayo ni sababu tosha?
sasa na we Aspirin naona kweli umezeeka,yaani unaingia kwenye mtego wa AD hivi hivi?
mme uchakachua akajione ngoja asepe
mi bado sijawahi kuachana
wewe kama mimi.
Kwa Afroie wangu, hata asiponiingiza mtegoni, najiingiza mwenyewe. Angalizo Neno "mtegoni" lisomeke kama lilivyo na neno "kujiingiza" lisitafsiriwe vinginevyo. Vinginevyo, ngoja nitafute contacts za PAW.sasa na we Aspirin naona kweli umezeeka,yaani unaingia kwenye mtego wa AD hivi hivi?
Preta come this way........toka utoke Igunga ndo ukagoma kupita Yaeda?....bado nakusubiri ujue....
toka utoke Igunga ndo ukagoma kupita Yaeda?....bado nakusubiri ujue....
nimetoka igunga na hasira hadi nimejivunja nywele. Nitakuja zikikua.
Kwa Afroie wangu, hata asiponiingiza mtegoni, najiingiza mwenyewe. Angalizo Neno "mtegoni" lisomeke kama lilivyo na neno "kujiingiza" lisitafsiriwe vinginevyo. Vinginevyo, ngoja nitafute contacts za PAW.