afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Rugby ya kimeru au kichagga?
ile nyingine ya ki Iraq......
Rugby ya kimeru au kichagga?
ahsante kwa udadavuzi,wewe rugby mchezo wa kitasha,sisi wengine huku msasani mandazi road hobby yetu kucheza kiduku!
kabisa..
nacheza na kuangalia..
woow....Afro utakuwa una nguvu sana wewe........
Nguvu zp hizo?woow....Afro utakuwa una nguvu sana wewe........
Afu hii sredi tunajadili nini vile?ile nyingine ya ki Iraq......
Kwa hiyo hapa tunazungumzia Rugby au Kuachana?
Nimekumbuka sayansi darasa la tatu: "Maada ni kitu chochoche chenye uzito, ujazo na kinachochukua nafasi" mwisho wa kukariri. Ahsante mwalimu Pyuza.mbona nje ya maada!!
Rugby ya ki IraqAfu hii sredi tunajadili nini vile?
Afu hii sredi tunajadili nini vile?
Kwa hiyo babu ni Maada?jinsi babu anavyo waacha wajukuu baada ya kuwakagua ...
Kila mtu ana sababu zake za kuachana na mwenzie, kama walivyokuwa na sababu za kupendana na kuwa wapenzi.mara nyingi tumekuwa tunaachana lakini hatuambiani ni kwann tumeachana mda mwingine c sababu za msingi pengine tunaweza kujufuza kutokana na makosa hayo hebu tuambiane
Mto Mada ndo anataka kujua hizo sababu nini? Msaidieni mie sijawai kuacha wala kuachwa kawa hiyo sina sababu!Kila mtu ana sababu zake za kuachana na mwenzie, kama walivyokuwa na sababu za kupendana na kuwa wapenzi.
Rugby ya ki Iraq
Babu una nguvu wewe?
jinsi babu anavyo waacha wajukuu baada ya kuwakagua ...
Kwa hiyo babu ni Maada?
Kuachana kwa rugby siyo? Orayt!Thread inajadili Rugby....
Ulishawai kuona Jinsi wachezaji wa Rugby wakipasha kabla ya Mechi?Thread inajadili Rugby....