Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 263
Kuna taarifa zinasema kuwa; Mkapa baada ya kusakamwa sana na UFISADI, siku moja akiwa nje ya nchi, alikutana na Mwandishi mmoja ambaye alikwenda huko kwa ajili ya kupokea Tuzo, baada ya kusalimiana walialikana katika Mgahawa na kunywa Chai ambapo Mazungumzo yao baada ya kujuliana hali yalikuwa hivi;
Mkapa: Vipi Siasa za kwetu, hali ikoje.
Mwandishi: Zipo zinaendelea tu.
Mkapa: Hongera kwa kuchukua tuzo, kwani huu ndiyo uandishi niliokuwa nikiusema wakati wa utawala wangu ila hamkunielewa tu.
Mwandishi: Asante. mbona umekuwa kimya sana.
Mkapa: Ahaa! Nimeamua, tena wewe si mwandishi bwana sasa leo nakupa mtihani. naomba Muulizeni Kikwete anaifahamu vipi EPA?
Mwandishi: Kwani ilikuwaje mkuu?
Mkapa: Unajua mie nikiwa Madarakani, Kikwete alikuwa akitambulika ndani ya UWT kwa Codename ya 'Malaika'. Siku Moja kabla ya kuingia katika Uteuzi wa wagombea wa Chama, nilifuatwa na watu wa Usalama na kuambiwa kuwa Malaika atashinda. Sikuwa namtaka awe kiongozi kwa vile nilimfahamu, lakini watu wa Usalama wakaniambia, Mzee hamna namna kwani ameshakamata mfumo wote wa chama na baadhi ya UWT, Jeshi na sekta muhimu, hivyo wakanitaadharisha kwamba iwapo nitamzuia nchi itayumba. Nilishangaa lakini sikuwa na namna zaidi ya kuinusuru nchi, niliwasiliana na wazee katika chama na kuamua kukubaliana nao kuiepusha nchi katika matatizo.
Lakini siki chache baada ya Dodoma kumpitisha Malaika, nilifuatwa na maofisa wake na kuelezwa kuwa Malaika alikuwa akitaka fedha kwa ajili ya kampeni, Ukweli nilimaka, na kuhoji nitazipata wapi. Wakanieleza amesema zipo BoT. Niliamua kumuuliza gavana (Balali) kwa simu, kuwa Chama kilikuwa kikitaka fedha kwa ajili ya Uchaguzi, Balali akajibu hakukuwa na fedha.
Kutokana na majibu hayo Malaika akamfuata Mkapa na kumueleza anajua kila kitu na kwamba kulikuwa na Fedha za malipo ya nje alikuwa akiomba hizo kwa ajili ya kampeni za chama. Nikamueleza Balali ambaye alisema fedha hizo haziwezi kutolewa mpaka kuwepo na doccument, baada ya majibu hayo kufikishiwa Malaika na watu wake walifika na kuwasilisha doccument kwa Balali na kuzitoa fedha hizo.
Mwandishi: Duh...inamaana EPA alicheza Malaika?
Mkapa: Ndiyo maana nakutaka ukipata nafasi muulizeni Kikwete anaijua vipi EPA?
Source: Habari hii nimeisikia kwa mwandishi mmoja nchini aliyewahi kushinda Tuzo akimsimlia mtu wangu mmoja wa Karibu nami.
Mkapa: Vipi Siasa za kwetu, hali ikoje.
Mwandishi: Zipo zinaendelea tu.
Mkapa: Hongera kwa kuchukua tuzo, kwani huu ndiyo uandishi niliokuwa nikiusema wakati wa utawala wangu ila hamkunielewa tu.
Mwandishi: Asante. mbona umekuwa kimya sana.
Mkapa: Ahaa! Nimeamua, tena wewe si mwandishi bwana sasa leo nakupa mtihani. naomba Muulizeni Kikwete anaifahamu vipi EPA?
Mwandishi: Kwani ilikuwaje mkuu?
Mkapa: Unajua mie nikiwa Madarakani, Kikwete alikuwa akitambulika ndani ya UWT kwa Codename ya 'Malaika'. Siku Moja kabla ya kuingia katika Uteuzi wa wagombea wa Chama, nilifuatwa na watu wa Usalama na kuambiwa kuwa Malaika atashinda. Sikuwa namtaka awe kiongozi kwa vile nilimfahamu, lakini watu wa Usalama wakaniambia, Mzee hamna namna kwani ameshakamata mfumo wote wa chama na baadhi ya UWT, Jeshi na sekta muhimu, hivyo wakanitaadharisha kwamba iwapo nitamzuia nchi itayumba. Nilishangaa lakini sikuwa na namna zaidi ya kuinusuru nchi, niliwasiliana na wazee katika chama na kuamua kukubaliana nao kuiepusha nchi katika matatizo.
Lakini siki chache baada ya Dodoma kumpitisha Malaika, nilifuatwa na maofisa wake na kuelezwa kuwa Malaika alikuwa akitaka fedha kwa ajili ya kampeni, Ukweli nilimaka, na kuhoji nitazipata wapi. Wakanieleza amesema zipo BoT. Niliamua kumuuliza gavana (Balali) kwa simu, kuwa Chama kilikuwa kikitaka fedha kwa ajili ya Uchaguzi, Balali akajibu hakukuwa na fedha.
Kutokana na majibu hayo Malaika akamfuata Mkapa na kumueleza anajua kila kitu na kwamba kulikuwa na Fedha za malipo ya nje alikuwa akiomba hizo kwa ajili ya kampeni za chama. Nikamueleza Balali ambaye alisema fedha hizo haziwezi kutolewa mpaka kuwepo na doccument, baada ya majibu hayo kufikishiwa Malaika na watu wake walifika na kuwasilisha doccument kwa Balali na kuzitoa fedha hizo.
Mwandishi: Duh...inamaana EPA alicheza Malaika?
Mkapa: Ndiyo maana nakutaka ukipata nafasi muulizeni Kikwete anaijua vipi EPA?
Source: Habari hii nimeisikia kwa mwandishi mmoja nchini aliyewahi kushinda Tuzo akimsimlia mtu wangu mmoja wa Karibu nami.